Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Huyo sauti ya zege tumeshamchoka hivyo hoja zozote kumhusu Gwajima haziwezi kuwa na ushawishi wowote.Umekimbilia kujibu hoja nyepesi ili uonekane una akili kubwa..!
Kazi ya gwajima ni kubwabwaja bila fact.
Bora wewe umekuwa mkweli.CCM wenzangu, mm mnisamehe, Gwajima hapana, hapana, hapana mara 3, kabisa.. Wrong choice kabisa[emoji34]
Wafuasi wa Gwajima mmeahidi kutoa mnaouita 'uchafu' wa Halima hadharani..lakini siku zinayoyoma bado mnabwabwaja hata huo uchafu hatuuoni.Huyo sauti ya zege tumeshamchoka hivyo hoja zozote kumhusu Gwajima haziwezi kuwa na ushawishi wowote.
Gwajima anao udhaifu mwingi tu but he is a lesser devil compared to Mdee.
Bora kuingia cha kike kwa Gwajima kuliko cha kiume kwa Mdee.Wafuasi wa Gwajima mmeahidi kutoa mnaouita 'uchafu' wa Halima hadharani..lakini siku zinayoyoma bado mnabwabwaja hata huo uchafu hatuuoni.
Kubalini tu mmeingia Cha 'kike' kumrudisha huyo
Mbona hayo 'mabomu' hatuyaoni toka aanze kurukaruka madhabahuniHivi haya huonekana tu mtu akihama upinzani? Nyie ndio mliokuwa watetezi wake wakuu hata ilipotoka ile video mlimtetea. Wakati anaropoka mnayopenda mlisema hakuna Askofu kama yeye.
Upinzani bana, alafu akianza kufumua mabomu yenu ( anawajua vizuri sana) msianze kulialia. Mchokozeni tu
Amesoma PHD ya mambo ya kawaida
Ana shahada ya mambo ya kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana kawabeba waumini wake kwa mabasi kwenda kaweNawasikitikia hao kondoo wake.
Train ina kuja kuzinduliwa bila kuwepo njia (reli)
Kweli waumini wake wali muelewe angesema kabisa na huko mbinguni itafika lini!
Ok, mjibie basi na hiyo ya kununua treni wakati hajajenga reli.Douglas siku zote ondoa ujinga kwanza ndipo uongee mbele za watu.
Birmingham ipo Uingereza na ipo Marekani pia. Kumbuka kuwa wamarekani wazungu asili yao ni ulaya Uingereza ikiwemo.
Ipo miji Marekani yenye majina ya miji ya Ulaya kwa sababu asili ya watu ni ile ile.
Ni sawa na Ngara kuna bugarama na Kahama pia kuna bugarama,chimbuko la watu katika maeneo hayo unaweza kukuta ni moja na maana ya majina ya maeneo inakuwa ni ile ile.
Jitahidi utafute maarifa ili usinaswe katika mtego mbovu kama huu wa Birmingham[emoji23][emoji23].
Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena?
View attachment 1568877
Jamaa tapeli kweli kweli.
Aisee umenenaMchungaji akitaka gari kanisa linamchangia.
Muumini akitaka gari kanisa linamuombea.
Kanisa lake lilikuwa linaitwa kanisa la misukule. Wengine waliamini kwamba kama umefiwa na unaamini kwamba marehemu alilogwa, basi Gwajima atamrudisha. Wengi walinaswa kwenye mtego huo.
Jamaa ni muongo sana, halafu ndio mchunga kondoo.
Huko nyuma nikiamini Gwaji ni mtu timamu upstairs lakini kwa haya yanayoanza kujitokeza, anakichoongea na anavyokiongea huyu bwana hayuko sawa na kama yuko sawasawa basi ana ajenda ya siri ya kukidharirisha chama chake ccm na viongozi wake sio bure! "Bi Kidude" wetu atamtenda kazi kwenye debe la kura!Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena?
View attachment 1568877
Haàaaaaaaahaaaaaaa