inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Siyo NGO,ni shirika la biashara,bidhaa kuu Imani,bidhaa mwambata ni elimu,afya nkVatican ni NGO ilochangamka 🥵🥵
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo NGO,ni shirika la biashara,bidhaa kuu Imani,bidhaa mwambata ni elimu,afya nkVatican ni NGO ilochangamka 🥵🥵
Unamaanisha sisi waumini wake ni vitega uchumi tu ndani ya kanisa?Siyo NGO,ni shirika la biashara,bidhaa kuu Imani,bidhaa mwambata ni elimu,afya nk
Utakipata hapo hapo chumbani kwako. Kwa gharama ya Tsh 16,000 kujiunga na ,'anybook'Asante kwa kitabu, nitakitafuta nijielimishe
Tena ni mtaji wakati wa kampeni,malipo ni ruzuku kwenye taasisi zetu na kuingiza vitu bila kodiUnamaanisha sisi waumini wake ni vitega uchumi tu ndani ya kanisa?
You are the guy.hicho hapo mkuu, nimewahi kukisoma pia[emoji23]View attachment 2049132
Tukimbilie wap sasa ndg?Tena ni mtaji wakati wa kampeni,malipo ni ruzuku kwenye taasisi zetu na kuingiza vitu bila kodi
Huna haja ya kukimbiaTukimbilie wap sasa ndg?
Makanisa ya kilokole tunasikia ni ya mchongo.
Tuendelee kuwa vitega uchumi?Huna haja ya kukimbia
Huku ukimdhukuru munguTuendelee kuwa vitega uchumi?
Na iwe hivo kwako.Huku ukimdhukuru mungu
Shukrani sana mkuuhicho hapo mkuu, nimewahi kukisoma pia[emoji23]View attachment 2049132
Na masister ni cheap labour kwa jina la "viapo vya utii" kaangalie kazi wanazofanya daily ufugaji wa ng'ombe mbuzi nguruwe,uzalishaji mashambani, ushonaji, viwsnda vidogo kama usindikaji usagaji unga uokaji.Wanaingizia taasisi mamilioni kwa posho ya chakula na malazi.Unamaanisha sisi waumini wake ni vitega uchumi tu ndani ya kanisa?
Nilshtuka mapema sanaa!!!Na masister ni cheap labour kwa jina la "viapo vya utii" kaangalie kazi wanazofanya daily ufugaji wa ng'ombe mbuzi nguruwe,uzalishaji mashambani, ushonaji, viwsnda vidogo kama usindikaji usagaji unga uokaji.Wanaingizia taasisi mamilioni kwa posho ya chakula na malazi.
Wadada waliosoma seminary/mission huwa wanawataja masister(wengi wao) kama watu wenye roho mbaya.Na masister ni cheap labour kwa jina la "viapo vya utii" kaangalie kazi wanazofanya daily ufugaji wa ng'ombe mbuzi nguruwe,uzalishaji mashambani, ushonaji, viwsnda vidogo kama usindikaji usagaji unga uokaji.Wanaingizia taasisi mamilioni kwa posho ya chakula na malazi.
Ndugu yangu,lugha yoyote inapenda uipende ndiyo utaing'amua kwa wepesi.Usishangae kila mara ukaona naandika lugha mbalimbali.Wahehe utawajua tu
Link hiyo hapo nimekuwekea-sioni kwa nini usome summary
Masabato na mkatoliki wote washenzi tu hizo siyo dini zenu mmelishwa tu na hamjitambui mnaigiza mila na desturi za watu wengine,sijui nini hamuelewi!!Nyie nyote majuha tu. Nawashangaa sana mnaolumbana kisa dini za wazungu. Sijui tulirogewa wapi sisi miafrika
Bidhaa ni mtu mweusi hasa mwafrikaSiyo NGO,ni shirika la biashara,bidhaa kuu Imani,bidhaa mwambata ni elimu,afya nk
Aacha uduwamzi, tunaposikiliza taarifa ya habari ile huwa ni summary ya kilichozungumzwa, kwahiyo yale huwa ni ni maoni ya mtangazaji? wee sema haujui maana ya sammary.Pole Mkuu- unapenda sana summary. Utakuwa umesoma wakati huu wa power point. Link hiyo hapo nimekuwekea-sioni kwa nini usome summary- na unajua summary mara nyingi ni maoni ya mtu. Ninawaheshimu sana sitaki muende kwa maoni yangu wakati mnayo haki na maoni yenu.