Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u

Same as comparing rat Na panya - difference Ni language
 
Tatizo watanzania tunaangalia mtoa mada na sio content ya mada husika..., In short wote hao in my opinion wameshatoa Pumba katika wakati tofauti...., ila hio haimaanishi kwamba hawawezi kuongea point from time to time..., In short wote ni wanasiasa wanaobabwaja....

Thinkers? I doubt it...., sio wao tu ni vigumu kipindi hiki kupata any thinkers... As for think tanks you need experience kwahio wazee wetu wote waliohudumu katika Siasa tunaweza kuwatumia kama Think Tanks
 
Tatizo watanzania tunaangalia mtoa mada na sio content ya mada husika..., In short wote hao in my opinion wameshatoa Pumba katika wakati tofauti...., ila hio haimaanishi kwamba hawawezi kuongea point from time to time..., In short wote ni wanasiasa wanaobabwaja....

Thinkers? I doubt it...., sio wao tu ni vigumu kipindi hiki kupata any thinkers... As for think tanks you need experience kwahio wazee wetu wote waliohudumu katika Siasa tunaweza kuwatumia kama Think Tanks
Good point, mfano Msekwa, mwandosya, msuya, butiku
 
Ili uwe think tank kwanza lazima uwe una msimamo,huyumbishwi kisiasa hata upepo uvume mkali.
Sasa huyo kibwengo anakosa sifa hiyo, wakat wa JK alikuwa kindaki ndaki katiba mpya, alipopewa v8 akayakana mawazo yake yooote ya awali.
Ni ngumu sana kupata mwanasiasa mwenye msimamo Africa kwa sababu ya njaa
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Polepole kichwa we acha tu
 
Ili uwe think tank kwanza lazima uwe una msimamo,huyumbishwi kisiasa hata upepo uvume mkali.
Sasa huyo kibwengo anakosa sifa hiyo, wakat wa JK alikuwa kindaki ndaki kariba mpya, alipopewa v8 akayakana mawazo yake yooote ya awali.
Ni ngumu sana kupata mwanasiasa mwenye msimamo Africa kwa sababu ya njaa
Unaijua Vieiteee wewe, na huyu mwingine alitembea toka ubungo Hadi magogoni kwa magoti kumuomba jiwe msamaha
 
Wakati Polepole anatoa elimu Nape anatoa msuto
Mama D, nimempenda bure Polepole! Haiwezekani watu waseme uongo kuhusu JPM na asijitokeze mtu kueleza ukweli. JPM aliisaidia nchi hii kiasi cha kupoteza uhai wake, lakini michadema ya humu na wapuuzi akina Zitto wanaona ndiyo kumkomoa. Naona mwanzo mzuri kwa Polepole hasa aliposema mama alikuwa mshauri mkuu na leo anamkana kama Petro kwa Yesu! Hii haikubaliki na Mpango alivyo mnafiki ananyamaza wakati alikuwa waziri wa mipango na fedha. It’s a shame
 
Back
Top Bottom