Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u


Wote sio wazuri ni wahuni tu😂😂 naomba tusiabishe nchi yetu

Professor Assad, Ulimwengu na Mama Makinda ndiyo think tank sio hawa wajinga jinga
 
Wote sio wazuri ni wahuni tu😂😂 naomba tusiabishe nchi yetu

Professor Assad, Ulimwengu na Mama Makinda ndiyo think tank sio hawa wajinga jinga
Nasikia Makinda yalikuwa yakisokontolwa na dogo wa Kibamba enzi hizo yakiwa madogo na yana meno!
 
Mama D, nimempenda bure Polepole! Haiwezekani watu waseme uongo kuhusu JPM na asijitokeze mtu kueleza ukweli. JPM aliisaidia nchi hii kiasi cha kupoteza uhai wake, lakini michadema ya humu na wapuuzi akina Zitto wanaona ndiyo kumkomoa. Naona mwanzo mzuri kwa Polepole hasa aliposema mama alikuwa mshauri mkuu na leo anamkana kama Petro kwa Yesu! Hii haikubaliki na Mpango alivyo mnafiki ananyamaza wakati alikuwa waziri wa mipango na fedha. It’s a shame

Kolola Yuda na Petro wote walikua wafuasi na wanafunzi wa Yesu. Ila katika hatma ya lile jambo lao wote walimkosea Yesu.

Yuda alimsaliti Yesu, wakati Petro alimkana Yesu
Wote wawili walitenda makosa sawa ila vile vipande30 vya fedha ndio vilimgharimu Yuda


Mwisho wa jambo Petro akiachwa kama mwamba ambao juu yake lilijengwa kanisa na Yuda alipatiwa kamba akajihukumu kihehe akaishia kufa mwenyewe bila shurti
 
Hii sio sehemu ya mahubiri yako ya kikanjanja, hili sio taifa la kidini.
Kolola Yuda na Petro wote walikua wafuasi na wanafunzi wa Yesu. Ila katika hatma ya lile jambo lao wote walimkosea Yesu.

Yuda alimsaliti Yesu, wakati Petro alimkana Yesu
Wote wawili walitenda makosa sawa ila vile vipande30 vya fedha ndio vilimgharimu Yuda


Mwisho wa jambo Petro akiachwa kama mwamba ambao juu yake lilijengwa kanisa na Yuda alipatiwa kamba akajihukumu kihehe akaishia kufa mwenyewe bila shurti
 
..huwezi kusema mtu fulani ni " think tank. "

..think tank maana yake ni TAASISI inayofanya utafiti, na kutoa ushauri, kuhusu sera mbalimbali.

..ukiniuliza mimi, kwa hapa Tz, taasisi kama ESRF [ Economic and Social Research Foundation], naweza kuiita think tank / policy institute ya masuala ya sera za uchumi na kijamii.

..kwenye nchi za wenzetu kuna think tanks za masuala mbalimbali kama Foreign Policy, masuala ya ulinzi , masuala ya fedha na uchumi, etc etc.


cc Nguruvi3, Chige, Kiranga, Erythrocyte , MALCOM LUMUMBA
 
Kolola Yuda na Petro wote walikua wafuasi na wanafunzi wa Yesu. Ila katika hatma ya lile jambo lao wote walimkosea Yesu.

Yuda alimsaliti Yesu, wakati Petro alimkana Yesu
Wote wawili walitenda makosa sawa ila vile vipande30 vya fedha ndio vilimgharimu Yuda


Mwisho wa jambo Petro akiachwa kama mwamba ambao juu yake lilijengwa kanisa na Yuda alipatiwa kamba akajihukumu kihehe akaishia kufa mwenyewe bila shurti
Mama D.
Kubwa lao hapa nakupa 5 kavu
Umen'gongelea penyiwe!!
Nchale huo!!
 
Back
Top Bottom