Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu polepole aliyekuwa anashiliiana na mwendazake kupoteza na kuua wanaonekana Wana mawzo tofauti. Cc tundu lisu alichapwa risasi 32 kwa nataka za polepolePolepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .
Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
Umeniwahi.Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .
Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Nasikia Makinda yalikuwa yakisokontolwa na dogo wa Kibamba enzi hizo yakiwa madogo na yana meno!Wote sio wazuri ni wahuni tu😂😂 naomba tusiabishe nchi yetu
Professor Assad, Ulimwengu na Mama Makinda ndiyo think tank sio hawa wajinga jinga
Wakati mwangosi anapigwa bomu Nape alisema nini kama unakumbuka? Ulimboka alipotupwa mabwepande ?Huyu huyu polepole aliyekuwa anashiliiana na mwendazake kupoteza na kuua wanaonekana Wana mawzo tofauti. Cc tundu lisu alichapwa risasi 32 kwa nataka za polepole
Mama D, nimempenda bure Polepole! Haiwezekani watu waseme uongo kuhusu JPM na asijitokeze mtu kueleza ukweli. JPM aliisaidia nchi hii kiasi cha kupoteza uhai wake, lakini michadema ya humu na wapuuzi akina Zitto wanaona ndiyo kumkomoa. Naona mwanzo mzuri kwa Polepole hasa aliposema mama alikuwa mshauri mkuu na leo anamkana kama Petro kwa Yesu! Hii haikubaliki na Mpango alivyo mnafiki ananyamaza wakati alikuwa waziri wa mipango na fedha. It’s a shame
Kwahiyo kwenu ccm kuua ni kitu Cha kawaida Sana auWakati mwangosi anapigwa bomu Nape alisema nini kama unakumbuka? Ulimboka alipotupwa mabwepande ?
Kolola Yuda na Petro wote walikua wafuasi na wanafunzi wa Yesu. Ila katika hatma ya lile jambo lao wote walimkosea Yesu.
Yuda alimsaliti Yesu, wakati Petro alimkana Yesu
Wote wawili walitenda makosa sawa ila vile vipande30 vya fedha ndio vilimgharimu Yuda
Mwisho wa jambo Petro akiachwa kama mwamba ambao juu yake lilijengwa kanisa na Yuda alipatiwa kamba akajihukumu kihehe akaishia kufa mwenyewe bila shurti
Hii sio sehemu ya mahubiri yako ya kikanjanja, hili sio taifa la kidini.
Ila uliwahi kumwona polepole akiifafanua ile tril 1.5 ilivyotafunwa na li dikteta la chato.Nape sjawahi kumskia hata akichambua critical issue za kitaaluma
sukuma gangPole pole ni mwanaume , japo ni jeshi la mtu mmoja
Mama D.Kolola Yuda na Petro wote walikua wafuasi na wanafunzi wa Yesu. Ila katika hatma ya lile jambo lao wote walimkosea Yesu.
Yuda alimsaliti Yesu, wakati Petro alimkana Yesu
Wote wawili walitenda makosa sawa ila vile vipande30 vya fedha ndio vilimgharimu Yuda
Mwisho wa jambo Petro akiachwa kama mwamba ambao juu yake lilijengwa kanisa na Yuda alipatiwa kamba akajihukumu kihehe akaishia kufa mwenyewe bila shurti