Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama D.
Kubwa lao hapa nakupa 5 kavu
Umen'gongelea penyiwe!!
Nchale huo!!
Mkuu JokaKuu, sisi watanzania bado tunaamini kwamba mtu mmoja anaweza kuwa taasisi ndiyo maana huwa inatuwia vigumu sana kung'amua mambo ya msingi kama haya. Hivyo usishangae kabisa, hata kiuongozi sisi bado tuko kwenye awamu ile ambayo mwanafalsafa wa Ujerumani Max Weber aliwahi kusema "A Charismatic Leadership", mambo kama zidumu fikra za mwenyekiti na raisi ana nia njema...huwezi kusema mtu fulani ni " think tank. "
..think tank maana yake ni TAASISI inayofanya utafiti, na kutoa ushauri, kuhusu sera mbalimbali.
..ukiniuliza mimi, kwa hapa Tz, taasisi kama ESRF [ Economic and Social Research Foundation], naweza kuiita think tank / policy institute ya masuala ya sera za uchumi na kijamii.
..kwenye nchi za wenzetu kuna think tanks za masuala mbalimbali kama Foreign Policy, masuala ya ulinzi , masuala ya fedha na uchumi, etc etc.
cc Nguruvi3, Chige, Kiranga, Erythrocyte , MALCOM LUMUMBA
Elimu kama itolewayo na CCM kwa watoto wetu!!!????Wakati Polepole anatoa elimu Nape anatoa msuto
Umemaliza mkuu MALCOM LUMUMBA .Mkuu JokaKuu, sisi watanzania bado tunaamini kwamba mtu mmoja anaweza kuwa taasisi ndiyo maana huwa inatuwia vigumu sana kung'amua mambo ya msingi kama haya. Hivyo usishangae kabisa, hata kiuongozi sisi bado tuko kwenye awamu ile ambayo mwanafalsafa wa Ujerumani aliwahi kusema "A Charismatic Leadership", mambo kama zidumu fikra za mwenyekiti na raisi ana nia njema.
Mtoa mada hajakosea kabisa kwasababu tofauti kabisa na sehemu nyingine duniani ambako sera za kiulinzi hutungwa, hutengenezwa na kuchakatwa na haya matanuri ya fikra (Think Tanks), Tanzania na sehemu nyingi za Afrika sera kubwa za nchi (Strategic Policies) huwa zinatungwa na kuchakatwa na mtu mmoja tu halafu taasisi nyingine za nchi zinafanya kutekeleza. Ndiyo maana kila Raisi akiondoka yanakuja mambo mapya tu, hata ya hovyo.
Hivyo unapozungumzia Think Tank unamaanisha diverse intellectual minds (Erudite) working in unison as a corporate creature in churning social, economic, security and political affairs through advanced research. Lengo hapa ni, helping a government or an organisation in making informed and pragmatic decision. Huku kwetu Humphrey Polepole na Nape Nnauye ni think tanks, siwalaumu kwa nafasi yao kuna chembe ya ukweli,...
Hana elimu, uelewa, exposure, wala uwezo wa kuchambua kitu chochote. Anachoweza sana sana ni mipasho tu kama hiyo aliyorusha.Nape sjawahi kumskia hata akichambua critical issue za kitaaluma
Upo sahihi kabisa mkuu , maelezo yako yanajitosheleza..huwezi kusema mtu fulani ni " think tank. "
..think tank maana yake ni TAASISI inayofanya utafiti, na kutoa ushauri, kuhusu sera mbalimbali.
..ukiniuliza mimi, kwa hapa Tz, taasisi kama ESRF [ Economic and Social Research Foundation], naweza kuiita think tank / policy institute ya masuala ya sera za uchumi na kijamii.
..kwenye nchi za wenzetu kuna think tanks za masuala mbalimbali kama Foreign Policy, masuala ya ulinzi , masuala ya fedha na uchumi, etc etc.
Miaka 5 iliyopita imethibitisha kauli yako bila shaka.watanzania tunaamini kwamba mtu mmoja anaweza kuwa taasisi ndiyo maana huwa inatuwia vigumu sana kung'amua mambo ya msingi kama haya. Hivyo usishangae kabisa, hata kiuongozi sisi bado tuko kwenye awamu ile ambayo mwanafalsafa wa Ujerumani aliwahi kusema "A Charismatic Leadership", mambo kama zidumu fikra za mwenyekiti na raisi ana nia njema.
Ni chagize kidogo tu. Tulikuwa na sera ya kurekebisha uchumi wakati wa Mkapa. JK akaja na Elimu kwanza kabla ya kuhamia Kilimo kwanza kwa mabdiliko ya Mawaziri wakuu. Baada ya hapo tukawa na Viwanda. Sera zote hizo zimetokea katika miaka 15 hadi 20. Je, kulifanyika tathmini ya kujua mafanikio na mapungufu ya kila sera? Na kwanini kila kiongozi ana sera zake na si sera za Taifa?Mtoa mada hajakosea kabisa kwasababu tofauti kabisa na sehemu nyingine duniani ambako sera za kiulinzi hutungwa, hutengenezwa na kuchakatwa na haya matanuri ya fikra (Think Tanks), Tanzania na sehemu nyingi za Afrika sera kubwa za nchi (Strategic Policies) huwa zinatungwa na kuchakatwa na mtu mmoja tu halafu taasisi nyingine za nchi zinafanya kutekeleza. Ndiyo maana kila Raisi akiondoka yanakuja mambo mapya tu, hata kama ya hovyo.
Ahsante na hiyo ndio maana ya 'Think tank'Hivyo unapozungumzia Think Tank unamaanisha diverse intellectual minds (Erudite) working in unison as a corporate creature in churning social, economic, security and political affairs through advanced research. Lengo hapa ni, helping a government or an organisation to make an informed and pragmatic decision. Huku kwetu Humphrey Polepole na Nape Nnauye ni think tanks, siwalaumu kwa nafasi yao kuna chembe ya ukweli,...
[emoji16][emoji16] Kwamba alipoteza uhai kwa sababu ya nchi?[emoji1][emoji1]Mama D, nimempenda bure Polepole! Haiwezekani watu waseme uongo kuhusu JPM na asijitokeze mtu kueleza ukweli. JPM aliisaidia nchi hii kiasi cha kupoteza uhai wake, lakini michadema ya humu na wapuuzi akina Zitto wanaona ndiyo kumkomoa. Naona mwanzo mzuri kwa Polepole hasa aliposema mama alikuwa mshauri mkuu na leo anamkana kama Petro kwa Yesu! Hii haikubaliki na Mpango alivyo mnafiki ananyamaza wakati alikuwa waziri wa mipango na fedha. It’s a shame
Taga limejificha hatimae limeshindwa kuvumilia, hakika ukitaka kuona nyeti za Kuku subiri upepo upulize.Pole pole ni mwanaume , japo ni jeshi la mtu mmoja
Njaa mbaya Sana.Ili uwe think tank kwanza lazima uwe una msimamo,huyumbishwi kisiasa hata upepo uvume mkali.
Sasa huyo kibwengo anakosa sifa hiyo, wakat wa JK alikuwa kindaki ndaki kariba mpya, alipopewa v8 akayakana mawazo yake yooote ya awali.
Ni ngumu sana kupata mwanasiasa mwenye msimamo Africa kwa sababu ya njaa