Ni suala la muda tu halima anahamia ccm very soon! We kaa ujiulize ni lini ccm wameanza kuwa wema na kuwatembelea wazazi wa mpinzani hospital? Tena hadi waziri mkuu na spika wa bunge! Time will tell.Mzee Halima Ni CCM, inside out left to right, back to front.
Chhajabu ninini watu wa CCM wakitembeleana?
Wangemtembelea dadake Heche hapo sawa.
Haichekeshilisu atachukia
Kama wangekuwa chama kimoja, jeee chama chako kinachojiita ni chama kikuu cha upinzani, huo mkwanja wa ruzuku mngekuwa mngekuwa mnapata mpunga wote huo kama sio hao wabunge wenu wa vitii maalumu?Kwani si wako chama kimoja? pole kwa mama
unataka kukenua umesikia mimi daktari wa menoHaichekeshi
Hii nayo pia hata haichekeshi.unataka kukenua umesikia mimi daktari wa meno
Yaani hao Covid ni cdm? Yaani maigizo mengine unaweza kucheka.Mbunge wa CCM tena Spika kumtembelea mama wa mbunge viti maalum kupitia CHADEMA ni jambo la busara sana. Spika ana upendo hata kwa chama kinachokaribia kufa.
Kwani sasa hivi si wamoja hao? Kuna uadui gani kati yao?
Ila jamani kila alipo Halima kuna Bulaya, mi nataka BFF kama huyo.
Huu upendo ni wa ajabu!
Ni suala la muda tu halima anahamia ccm very soon! We kaa ujiulize ni lini ccm wameanza kuwa wema na kuwatembelea wazazi wa mpinzani hospital? Tena hadi waziri mkuu na spika wa bunge! Time will tell.
Kwamba CCM na kila Halima ni watu tofauti? Hizi siasa majitaka sizipendagi hasa zikinasibishwa na Afya za watuSiasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kan
Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.View attachment 2889997
Ficha ujinga wako .Halima Mdee ni Mbunge wa CCMMbunge wa CCM tena Spika kumtembelea mama wa mbunge viti maalum kupitia CHADEMA ni jambo la busara sana. Spika ana upendo hata kwa chama kinachokaribia kufa.
Mmeshaanza LolSema alipo halima kuna ester, au alipo mdee kuna bulaya.
Hayo mambo ndo makamu mwenyekiti wao anayapigania kuita ni faragha yasiingiliwe.
kuna watu wamechafukwa eti dah 🐒Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.View attachment 2889997
Bado hamjasema.Naona tanzania tuko vizuri kwenye haki za LGBTQ [emoji16], mtu na mwenza wake hapo, hata spika analitambua hilo.
Wewe ungelala kwenye zizi la mbuzi, mbuzi wasingeona utofauti.Kama wangekuwa chama kimoja, jeee chama chako kinachojiita ni chama kikuu cha upinzani, huo mkwanja wa ruzuku mngekuwa mngekuwa mnapata mpunga wote huo kama sio hao wabunge wenu wa vitii maalumu?
Kama wangekuwa chama kimoja, jeee chama chako kinachojiita ni chama kikuu cha upinzani, huo mkwanja wa ruzuku mngekuwa mngekuwa mnapata mpunga wote huo kama sio hao wabunge wenu wa vitii maalumu?
Ni bulayaMola amponye upesi.
Wa mwanzo kulia ni Nani?
Aisee! Watu mna vijembe hasaMbunge wa CCM tena Spika kumtembelea mama wa mbunge viti maalum kupitia CHADEMA ni jambo la busara sana. Spika ana upendo hata kwa chama kinachokaribia kufa.
Ni mbunge wa CHADEMA. Chama cha kina Kamanda AsiyechokaFicha ujinga wako .Halima Mdee ni Mbunge wa CCM