Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hatuwezi kupuuza taarifa hiiNi suala la muda tu Halima Mdee atajiunga rasmi na CCM na Taarifa fulani fulani nilizonazo ni kwamba kuna Uwaziri wa Wizara muhimu atateuliwa. Tunzeni hii post yangu tafadhali.
Anatakiwa ajiandae kwa umilele wake sasa na sio kutembelewa na hayo majizi ya kijani.Na mwishoni atatembelewa na Israeli[emoji4]
NakaziaNa mwishoni atatembelewa na Israeli[emoji4]
Watu mna visa!Mara ya kwanza alitembelewa Wodini na Waziri Mkuu , Jana ametembelewa na Spika wa Bunge , leo ametembelewa na Rais .
Hii ni Bahati kubwa sana !
View attachment 2890779
ndioHuyo ni nani?
Mama yake Halima?
Umeuliza swali gumu. Lkn lina majibu....watakuja watu wakujibu. Mm nilishajibiwaga manake nilikuwa nashangaa kama wwKwani sasa hivi si wamoja hao? Kuna uadui gani kati yao?
Ila jamani kila alipo Halima kuna Bulaya, mi nataka BFF kama huyo.
Huu upendo ni wa ajabu!
Basi na mimi nijibu ulichojibiwa wewe.Umeuliza swali gumu. Lkn lina majibu....watakuja watu wakujibu. Mm nilishajibiwaga manake nilikuwa nashangaa kama ww
Mama mkwe wa BulayaHuyo ni nani?
Mama yake Halima?
Mama mkwe wa Bulaya
Mbowe aliwaalika kanisani wabunge wa chadema!Mara ya kwanza alitembelewa Wodini na Waziri Mkuu , Jana ametembelewa na Spika wa Bunge , leo ametembelewa na Rais .
Hii ni Bahati kubwa sana !
View attachment 2890779
lisu atachukia
Mbowe hana kanisaMbowe aliwaalika kanisani wabunge wa chadema!
Ni suala la muda tu Halima Mdee atajiunga rasmi na CCM na Taarifa fulani fulani nilizonazo ni kwamba kuna Uwaziri wa Wizara muhimu atateuliwa. Tunzeni hii post yangu tafadhali.
Ile mia unusu alapokea yeye na kwa mdomo wao walimshukuru Mbowe kwa mwualiko!Mbowe hana kanisa
Kabisa, Lissu alitembelewa na Samia Nairobi, leo hataki kumpa pole MdeeMara ya kwanza alitembelewa Wodini na Waziri Mkuu , Jana ametembelewa na Spika wa Bunge , leo ametembelewa na Rais .
Hii ni Bahati kubwa sana !
View attachment 2890779
Kuna kumtembelea mgonjwa na kuna kwenda kumuona kama bado hajafaKabisa, Lissu alitembelewa na Samia Nairobi, leo hataki kumpa pole Mdee
Akijibu nitagKwani halima mdee siyo ccm?