britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hapo beirut kimewaka!
Mmoja akaambiwa kwa kuwa umehusika na jambo fulan basi kaa pembeni sana tupange upya ka karatasi ka kulinda Beirut yetu wakati wa kuangaliana Tel aViv wakagundua mpalestina ambaye kaangukia mikono ya wayahudi, wakasema kwanza tutakupa nafasi ukasimamie kule ambako alitokea Mwaisapile ili tumalize nguvu wa Palestina!
Kwanza inabidi umsemevibaya Mahamoud Abbas
Basi ndo anasubiriwa kwenye ka mkeka ! Baada ya Jamaa mmoja kuachia kiti atapewa nafasi asimamie ukanda wa Gaza ili kuziba kiti cha alojiuzulu,
Tukanywe Kikombe sasa
Britanicca
Mmoja akaambiwa kwa kuwa umehusika na jambo fulan basi kaa pembeni sana tupange upya ka karatasi ka kulinda Beirut yetu wakati wa kuangaliana Tel aViv wakagundua mpalestina ambaye kaangukia mikono ya wayahudi, wakasema kwanza tutakupa nafasi ukasimamie kule ambako alitokea Mwaisapile ili tumalize nguvu wa Palestina!
Kwanza inabidi umsemevibaya Mahamoud Abbas
Basi ndo anasubiriwa kwenye ka mkeka ! Baada ya Jamaa mmoja kuachia kiti atapewa nafasi asimamie ukanda wa Gaza ili kuziba kiti cha alojiuzulu,
Tukanywe Kikombe sasa
Britanicca