Siasa za Beirut zinalipa Kama rival akisajiliwa je, ni sahihi kumpa Wizara ilokuwa ya Mpinzani wa Dr Mwezi huu? Au tungevuta vuta muda?

Siasa za Beirut zinalipa Kama rival akisajiliwa je, ni sahihi kumpa Wizara ilokuwa ya Mpinzani wa Dr Mwezi huu? Au tungevuta vuta muda?

Hapo beirut kimewaka!

Mmoja akaambiwa kwa kuwa umehusika na jambo fulan basi kaa pembeni sana tupange upya ka karatasi ka kulinda Beirut yetu wakati wa kuangaliana Tel aViv wakagundua mpalestina ambaye kaangukia mikono ya wayahudi, wakasema kwanza tutakupa nafasi ukasimamie kule ambako alitokea Mwaisapile ili tumalize nguvu wa Palestina!

Kwanza inabidi umsemevibaya Mahamoud Abbas

Basi ndo anasubiriwa kwenye ka mkeka ! Baada ya Jamaa mmoja kuachia kiti atapewa nafasi asimamie ukanda wa Gaza ili kuziba kiti cha alojiuzulu,


Tukanywe Kikombe sasa


Britanicca
Nchi isiyoishiwa vihoja..
 
Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni anatarajiwa kurudi bungeni ili kuisambaratisha Zaid CHADEMA stay tuned!
 
Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni anatarajiwa kurudi bungeni ili kuisambaratisha Zaid CHADEMA stay tuned!

Hapo ndipo inapothibitika kuwa nchi hii imrjaa watu wajinga kupindukia!

Kwa hiyo kazi ya mbunge wa Tanzania ni kuisambaratisha CHADEMA! Ndiyo maana watawala wanaamua kufanya kila aina ya uchafu kwa sababu wanajua kuwa nchi imejaa wajinga. Fikiria mtu hajuia hata kazi za mbunge!!
 
Hapo ni Mchungaji Msigwa,Kafulila au Makonda,mmoja wapo ana-replace.
 
CCM ina mbinu 1000 za kushinda uchaguzi. Unazijua zote? Maana hata Katibu Mkuu anazozijua hazizidi tano!!?
Hawana mbinu yoyote zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola. Usitake kuwafanya hao mabumunda kuonekana wana akili hiyo wakati hawana.
 
Hapo ndipo inapothibitika kuwa nchi hii imrjaa watu wajinga kupindukia!

Kwa hiyo kazi ya mbunge wa Tanzania ni kuisambaratisha CHADEMA! Ndiyo maana watawala wanaamua kufanya kila aina ya uchafu kwa sababu wanajua kuwa nchi imejaa wajinga. Fikiria mtu hajuia hata kazi za mbunge!!
Wewe usie mjinga upo nchi gani?
 
Back
Top Bottom