euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,811
- 4,178
Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni anatarajiwa kurudi bungeni ili kuisambaratisha Zaid CHADEMA stay tuned!
Huko Bungeni Kuna Chadema wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa Dr Mchungaji Peter Msigwa hivi karibuni anatarajiwa kurudi bungeni ili kuisambaratisha Zaid CHADEMA stay tuned!
Huko Bungeni Kuna Chadema wangapi?
Tumia akili!Hapo beirut kimewaka!
Mmoja akaambiwa kwa kuwa umehusika na jambo fulan basi kaa pembeni sana tupange upya ka karatasi ka kulinda Beirut yetu wakati wa kuangaliana Tel aViv wakagundua mpalestina ambaye kaangukia mikono ya wayahudi, wakasema kwanza tutakupa nafasi ukasimamie kule ambako alitokea Mwaisapile ili tumalize nguvu wa Palestina!
Kwanza inabidi umsemevibaya Mahamoud Abbas
Basi ndo anasubiriwa kwenye ka mkeka ! Baada ya Jamaa mmoja kuachia kiti atapewa nafasi asimamie ukanda wa Gaza ili kuziba kiti cha alojiuzulu,
Tukanywe Kikombe sasa
Britanicca
Ukiangalia wanavyomhenyesha kama yupo JKT huku wakimpigisha interview za kuandikiwa, wakimbebesha mabango, hicho unachokiongea kinawezekanaHapo beirut kimewaka!
Mmoja akaambiwa kwa kuwa umehusika na jambo fulan basi kaa pembeni sana tupange upya ka karatasi ka kulinda Beirut yetu wakati wa kuangaliana Tel aViv wakagundua mpalestina ambaye kaangukia mikono ya wayahudi, wakasema kwanza tutakupa nafasi ukasimamie kule ambako alitokea Mwaisapile ili tumalize nguvu wa Palestina!
Kwanza inabidi umsemevibaya Mahamoud Abbas
Basi ndo anasubiriwa kwenye ka mkeka ! Baada ya Jamaa mmoja kuachia kiti atapewa nafasi asimamie ukanda wa Gaza ili kuziba kiti cha alojiuzulu,
Tukanywe Kikombe sasa
Britanicca
Wivu wa nini!?.Wacha wivu!
TEUZI tayariTEUZI