bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
hata kama alikuwa dikteta lakini na waingereza walimwingiza chaka kwa wazungu. Nadhani walitaka asifanikiwe kwa vyo vyote vile. Ila na wao walikumbana na kisiki cha mpingo.Yule alikuwa dikteta,tapeli na mwizi wa mali za umma.
Ni ujinga, nchi imekuwa fukara sababu ya maamuzi ya mjinga mmojaBaada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa raia wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.
Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View: https://twitter.com/BloombergAfrica/status/1791501940385317125?t=O5kGCm3t2SSf7HdDHvEqKw&s=19
My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.
Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Pia soma Zimbabwe: Mamia ya Wakulima wa Kizungu Waliotimuliwa na Hayati Mugabe Warejea kwa wingi kuendeleza kilimo chao
SureYale yale kama alivyofanya dikteta Magufuli kwenye makinikia
Bado yupohata kama alikuwa dikteta lakini na waingereza walimwingiza chaka kwa wazungu. Nadhani walitaka asifanikiwe kwa vyo vyote vile. Ila na wao walikumbana na kisiki cha mpingo.
Angekuwa mzalendo angetawala Zimbabwe hata miaka kumi na mitano halafu angefanya uchaguzi huru mtu mwingine atawale na kuendeleza mazuri aliyoyaanzisha ya kuwafukuza Wazungu,Lakini hakuamini katika akili za wengine na ndiyo maana muda ulipofika wa kumtema chini aliugua na kufa kwa sababu alikuwa na tamaa ya kuabudiwa kama mtu muhimu sana kuwahi kutokea Zimbabwe.Huu ulikuwa udhaifu wa dikteta Mugabe kama vile udhaifu wa Yoeri Mseveni na Kagame.hata kama alikuwa dikteta lakini na waingereza walimwingiza chaka kwa wazungu. Nadhani walitaka asifanikiwe kwa vyo vyote vile. Ila na wao walikumbana na kisiki cha mpingo.
Achana na hoja mufisilisi wazibabwe sio wajinga kudai uhuru kwaiyo wewe ukibiwa ufanyiwe kinyume kisa huduma za Bure utakubali?Zimbabwe ilipokuwa inatawaliwa na Mzungu ilikuwa nchi tajiri sana hata kuzidi nchi yetu.Kulikuwa kama Ulaya maisha yalikuwa mazuri.Wazimbabwe hawakuwa na njaa,walisoma bure,walitibiwa bure.Walikuwa na viwanda ila baada ya mshenzi Mugabe kutawala kila kitu kiliharibika Zimbabwe.
Wazimbabwe wapi walifanywa kinyume? Mbona wanawalilia tena hao Wazungu na wanawalipa pesa Juu?Achana na hoja mufisilisi wazibabwe sio wajinga kudai uhuru kwaiyo wewe ukibiwa ufanyiwe kinyume kisa huduma za Bure utakubali?
Wangedai uhuru kwa Haki Mugabe asingetawala miaka yote ile kwa sababu wangemtoa na kumweka mwingine wa kuwavusha kwenye dimbwi la umaskini.Achana na hoja mufisilisi wazibabwe sio wajinga kudai uhuru kwaiyo wewe ukibiwa ufanyiwe kinyume kisa huduma za Bure utakubali?
Ni ujinga kupora ardhi mtu anayelima kwa kutumia zana za kisasa, kisha kumpa mtu anayetumia jembe la mkono eti ni uzalendo. Hayo mashamba wakati Mugabe anawapota wazungu yalikuwa yanazakisha Hadi ziada, wakapewa weusi yakiwa na miundombinu yote ikaishia kufa. Huu ujinga ndio alifanya Nyerere kupora wazungu Mali zao, viwanda wakapewa makada wa ccm vikafa vyote.Mkuu Chukua soda nakuja kulipa
Mugabe na huyo aliyewarudishia mashamba na fidia wazungu mjinga ni huyu aliyewarudisha wazungu, sijui kahongwa nini Waafrika wengi ni useless
Tunatanguliza maslahi ya watu weupe kuzidi ya kwetu
Tumekaa tu hapa na utapiamlo, baadhi wanaona wanapesa lakini tukizigeuza in terms of dollar Sisi ni Makapuku..!🚮
Mkuu Sio kweli Kwa balozi anahusika Kwa lolote hapa 👆.Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.
Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
Ushauri mzuri huu uliyoenda shule.Asante mkuu.Mkuu Sio kweli Kwa balozi anahusika Kwa lolote hapa 👆.
Alichokufanya Mugabe ni siasa za chuki juu ya jamii Fulani, kumbuka Hao anao waita white ni raia wa Zimbabwe.
Kabla ya Hapo Zimbabwe ilikuwa na uchumi mzur Sana , Sasa Leo Kiko wapi?,
Acheni wivu wa kijinga wawezesheni vijana wenu waweze kumiliki sectors mbalimbali za uchumi na Sio kwenda kupora Mali za watu
Ni kweli kabisa ,Hao anao waita White's wamefanya Zimbabwe uchumi wake ukawa Imara, alivyo wafukuza nn kimetokea,Ni ujinga kupora ardhi mtu anayelima kwa kutumia zana za kisasa, kisha kumpa mtu anayetumia jembe la mkono eti ni uzalendo. Hayo mashamba wakati Mugabe anawapota wazungu yalikuwa yanazakisha Hadi ziada, wakapewa weusi yakiwa na miundombinu yote ikaishia kufa. Huu ujinga ndio alifanya Nyerere kupora wazungu Mali zao, viwanda wakapewa makada wa ccm vikafa vyote.
Nasikia wa vyeti fake nao wapo njiani!Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa raia wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.
Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View: https://twitter.com/BloombergAfrica/status/1791501940385317125?t=O5kGCm3t2SSf7HdDHvEqKw&s=19
My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.
Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Pia soma Zimbabwe: Mamia ya Wakulima wa Kizungu Waliotimuliwa na Hayati Mugabe Warejea kwa wingi kuendeleza kilimo chao
Jibu hoja wewe cheti feki.Nasikia wa vyeti fake nao wapo njiani!
Hoja gani!Jibu hoja wewe cheti feki.
Madhara ya siasa za kukurupuka.Hoja gani!
Kwenye siasa hakuna kukurupuka ukiona mtu anamuataki sana mtu kila mara jua ana mapungufu makubwa huyo kwenye kichwa na alipitia mazito!Madhara ya siasa za kukurupuka.
Wanaenda wapi?Nasikia wa vyeti fake nao wapo njiani!
Warudishwe makazini!Wanaenda wapi?
Warudishwaje wakati walilipwa Chao? Standard 7 walirudishwa wakajiendeoezeWarudishwe makazini!