Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia Mabilioni Wakulima wa Kizungu Walioporwa Mashamba Yao na Mugabe

Ni ujinga, nchi imekuwa fukara sababu ya maamuzi ya mjinga mmoja
 
hata kama alikuwa dikteta lakini na waingereza walimwingiza chaka kwa wazungu. Nadhani walitaka asifanikiwe kwa vyo vyote vile. Ila na wao walikumbana na kisiki cha mpingo.
Angekuwa mzalendo angetawala Zimbabwe hata miaka kumi na mitano halafu angefanya uchaguzi huru mtu mwingine atawale na kuendeleza mazuri aliyoyaanzisha ya kuwafukuza Wazungu,Lakini hakuamini katika akili za wengine na ndiyo maana muda ulipofika wa kumtema chini aliugua na kufa kwa sababu alikuwa na tamaa ya kuabudiwa kama mtu muhimu sana kuwahi kutokea Zimbabwe.Huu ulikuwa udhaifu wa dikteta Mugabe kama vile udhaifu wa Yoeri Mseveni na Kagame.
 
Achana na hoja mufisilisi wazibabwe sio wajinga kudai uhuru kwaiyo wewe ukibiwa ufanyiwe kinyume kisa huduma za Bure utakubali?
 
Achana na hoja mufisilisi wazibabwe sio wajinga kudai uhuru kwaiyo wewe ukibiwa ufanyiwe kinyume kisa huduma za Bure utakubali?
Wazimbabwe wapi walifanywa kinyume? Mbona wanawalilia tena hao Wazungu na wanawalipa pesa Juu?

Wazimbabwe walikuwa na shida zipo kabla ya yule tapeli Mugabe kuvurunda uchumi wao?

Ni kama nyie mlivyokuwa mnawaimbia watu uzalendo na unyonge wakati mnafisadi keki ya Taifa.
 
Achana na hoja mufisilisi wazibabwe sio wajinga kudai uhuru kwaiyo wewe ukibiwa ufanyiwe kinyume kisa huduma za Bure utakubali?
Wangedai uhuru kwa Haki Mugabe asingetawala miaka yote ile kwa sababu wangemtoa na kumweka mwingine wa kuwavusha kwenye dimbwi la umaskini.
 
Ni ujinga kupora ardhi mtu anayelima kwa kutumia zana za kisasa, kisha kumpa mtu anayetumia jembe la mkono eti ni uzalendo. Hayo mashamba wakati Mugabe anawapota wazungu yalikuwa yanazakisha Hadi ziada, wakapewa weusi yakiwa na miundombinu yote ikaishia kufa. Huu ujinga ndio alifanya Nyerere kupora wazungu Mali zao, viwanda wakapewa makada wa ccm vikafa vyote.
 
Mkuu Sio kweli Kwa balozi anahusika Kwa lolote hapa 👆.
Alichokufanya Mugabe ni siasa za chuki juu ya jamii Fulani, kumbuka Hao anao waita white ni raia wa Zimbabwe.
Kabla ya Hapo Zimbabwe ilikuwa na uchumi mzur Sana , Sasa Leo Kiko wapi?,
Acheni wivu wa kijinga wawezesheni vijana wenu waweze kumiliki sectors mbalimbali za uchumi na Sio kwenda kupora Mali za watu
 
Ushauri mzuri huu uliyoenda shule.Asante mkuu.
 
Ni kweli kabisa ,Hao anao waita White's wamefanya Zimbabwe uchumi wake ukawa Imara, alivyo wafukuza nn kimetokea,
 
Nasikia wa vyeti fake nao wapo njiani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…