Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kuna habari nimieona ambapo madiwani wa Arusha mjini walikuwa kwenye kikao rasmi cha kazi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hicho kikao kilikuwa kama kikao cha chama huku watu wenye maslahi yao binafsi wakifanya siasa za minyukano.
Mambo mengine ya ajabu katika hiko kikao ni pamoja na diwani kulia machozi kabisa eti mbunge wao wa Arusha wanayetoka katika chama kimoja hashirikiani na madiwani! Alienda mbele zaidi akasema alikuwepo kwenye kikao hicho akakimbia aliposikia mkuu wa mkoa anakuja.
Kuna diwani amemuomba mkuu wa mkoa msamaha kwa wananchi kumchagua mbunge wa sasa wa Arusha!
Kuna diwani amemfananisha mkuu wa mkoa wa Arusha na Mfalme!
Pia nimeona madiwani wengi katika hiko kikao sarufi ya lugha ya kiswahili ni tatizo, kuna mmoja amenyoa O anasema Makonda anapambania "dhidi" ya maendeleo ya maslahi ya watu Arusha akimaanisha anipaginia maendeleo ya Arusha! Kikako kizima ni kituko kitupu.
Pia soma
Mambo mengine ya ajabu katika hiko kikao ni pamoja na diwani kulia machozi kabisa eti mbunge wao wa Arusha wanayetoka katika chama kimoja hashirikiani na madiwani! Alienda mbele zaidi akasema alikuwepo kwenye kikao hicho akakimbia aliposikia mkuu wa mkoa anakuja.
Kuna diwani amemuomba mkuu wa mkoa msamaha kwa wananchi kumchagua mbunge wa sasa wa Arusha!
Kuna diwani amemfananisha mkuu wa mkoa wa Arusha na Mfalme!
Pia nimeona madiwani wengi katika hiko kikao sarufi ya lugha ya kiswahili ni tatizo, kuna mmoja amenyoa O anasema Makonda anapambania "dhidi" ya maendeleo ya maslahi ya watu Arusha akimaanisha anipaginia maendeleo ya Arusha! Kikako kizima ni kituko kitupu.
Pia soma