Zanzibar 2020 Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua

Zanzibar 2020 Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua

Wanabodi,

Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.

Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.

Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, Maalim Seif Sharrif Hamad atakuwa Makamo wa I, wa rais, namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.

Natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamo wa II, ili kutoa sare sare maua na makamo wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.

Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne

Pasco
Rejea ya macho
wee bwana pascal mbona kadri siku zinavyenda unazidi kuwa KUBWA JINGA
 
Wanabodi,

Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.

Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.

Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, Maalim Seif Sharrif Hamad atakuwa Makamo wa I, wa rais, namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.

Natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamo wa II, ili kutoa sare sare maua na makamo wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.

Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne

Pasco
Rejea ya macho
Makamo=Makamu

Samahani mkuu ni hilo tu.
 
Maalim hawezi kuingia hapo.
Ccm bara hawawezi kukubali.
Mwinyi pazia tu hapo Zanzibar Mambo yote chamwino.
Maalim Seif apokee tu hiyo position ili akafight kupenyeza baadhi ya ahadi zake nyingi za kampeni zitekelezwe, kwa maslahi mapana ya Taifa.

Pia itampa nafasi ya kuijenga zaidi ACT Wazalendo huku akijiandaa kustaafu siasa kwa heshima

Akisusa maisha yatasonga tu na haitamsaidia yeye binafsi, chama chake na Wazanzibar wote
 
Wanabodi,

Kwa vile uchaguzi wa Zanzibar pia umesababisha vidonda na bado ni vibichi, damu bado haijakauka, hivyo naomba kuanza bandiko hili kwa a healing massage ya kuponya vidonda kwa kuungana na Watanzania wengine wote wapenda haki, amani na utulivu, kutoa pole kwa wahanga wa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu, ukiwemo umwakigaji damu, natoa pole kwa wote, na kama ni kweli kuna dhulma zozote zilizofanyika, then JAJI MKUU WA MAJAJI WOTE DUNIANI KWA KUTUMIA SHERIA KUU YA HAKI DUNIANI, THE LAW OF KARMA, will take care of this.

Sasa uchaguzi umeisha, life has to go on, pole sana kwa washindwa, na hongera kwa washindi.

Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, Maalim Seif Sharrif Hamad atakuwa Makamo wa I, wa rais, namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.

Natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamo wa II, ili kutoa sare sare maua na makamo wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.

Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne

Pasco
Rejea ya macho
Mkiacha unafiki taifa litaenda mahala pazuri na huo muungano unaosemwa utalindwa kwa gharama zozote kiasi cha maisha ya raia kuonekana si chochote utajilinda wenyewe na kuwa muungano wa mfano.
Je maalim kupewa cheo kutalipa damu zilizomwaga? Kutatibu majeraha na vilema watu walivotiwa?
Ungesema washtakiwe wote waliosababisha mauaji hayo ningekuelewa kinyume na hivyo tunaandaa taifa la watu waovu huku tukichekelea.
 
Mimi kama ningekuwa kiongozi wa Chadema ningetumia maono ya P kufikia mafanikio.

Lakini badala yake P akitoa ushauri wenye maono yanayoishi,Chadema wanampalamia kwa matusi mazito wengine ni watoto wadogo hata P anaweza kuwazaa.
 
Katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja, Mwenyekiti wa CCM alimwomba Dkt Mwinyi amchague Makamu toka Pemba.. lkn sio huyo unayeshauri..
 
Wewe nakuona kama mtu muovu hapa JF na hata siku nikisikia umepatwa na baya kutoka kwa hao unaowatetea hapa JF, hakika sitokuhurumia wala kukupa pole.

Umekosa utu kwa kiwango cha kutisha na ni mtu hatari sana wewe.
Naunga mkono hoja. Nami nimeondoa kabisa heshima yangu kwa huyu Bwana P.
 
Mkuu jina lako ni "Pascal", jina la ki-Kristo japo sina uhakika kama wewe ni Mkristo kweli! Hivi kweli kwa dhamiri safi kabisa unaweza kujitokeza hadharani hapa kwenye jukwaa la heshima hivi KUPONGEZA huo UHARAMIA uliofanyika Zanzibar? Jua kwamba Mungu anakuona!
 
'sare zinazofanana mpaka macho'...wewe msukuma una tamaa sana.
Mkuu Proved , kumsingizia mtu kuwa anatamani macho ya wakubwa, ni unajichumia dhambi bure tuu, nilichosema ni mimi huwa napenda macho fulani, na nayapenda tuu hayo macho na sio kuwatamani wenye macho hayo!.
Nitake radhi!.
P
 
Maalim Seif apokee tu hiyo position ili akafight kupenyeza baadhi ya ahadi zake nyingi za kampeni zitekelezwe, kwa maslahi mapana ya Taifa.

Pia itampa nafasi ya kuijenga zaidi ACT Wazalendo huku akijiandaa kustaafu siasa kwa heshima

Akisusa maisha yatasonga tu na haitamsaidia yeye binafsi, chama chake na Wazanzibar wote
Naunga mkono hoja
 
Mkuu Proved , kumsingizia mtu kuwa anatamani macho ya wakubwa, ni unajichumia dhambi bure tuu, nilichosema ni mimi huwa napenda macho fulani, na nayapenda tuu hayo macho na sio kuwatamani wenye macho hayo!.
Nitake radhi!..
Bro P una ubongo ulio komaa mnoo ndiyo maana unaweza kupuuza na kuvumilia matusi, JF ya wakati huu ni ngumu sana kuona mtu anajibu hoja kwa hoja.

JF lilikuwa darasa tosha la kujenga hoja na kujibu hoja nzito kuhusu masuala mazito, mapana na manene ya kitaifa na kimataifa.
 
Back
Top Bottom