Siasa zimezidi The Law School of Tanzania. Hiki chuo kimulikwe!

Siasa zimezidi The Law School of Tanzania. Hiki chuo kimulikwe!

Jitihada zako za kuchomoa betri zinaonekana. Umesahau kuwa ni wewe ulisema tuhuma za rushwa huzijui. Kumbe na wewe umekuwa ukizisikia? Hukuwa umeonyesha Hilo awali.

Kwamba kuna mitihani migumu inatungwa kuliko uwezo wa wanafunzi? Hii ni hoja yako mpya kabisa kuwahi kuisikia. Umeipata wapi wewe hoja hii? Kumbuka nimejaribu kuainisha wazi wazi tatizo na hata ufumbuzi wake.

"Pana tatizo la utahini. Ufumbuzi pande tatu ziwe tofauti. Yaani mtahiniwa, mtunga mtihani na msahihishaji. Mtunga mtihani asiwe msahishaji na asiwe mwalimu husika wa somo. Kama ilivyo kwa shule za msingi na secondary ambako masomo na mitihani ni kwa mujibu wa syllabus."

Kwamba takwimu zilipaswa kuwa je?

Haupo mtihani ambao matokeo yake hayafuati formula ya normal distribution na yakawa halali:

View attachment 2381370

Kwa utaratibu huu takwimu zingekuwa hivi:

View attachment 2381372

Ambako idadi ya DISCO ingekuwa takribani sawa na idadi ya walio perform with distinction au first class.

Mfano angalau ingekuwa hivi:

Wenye distinction au first class 3
DISCO 4
supp 26
Pass 600

Ni aibu kuwa malengo mazuri yaliyokuwapo ya kuwa na TLS yamegeuzwa siasa na sasa chuo ni kijiwe cha ndugu waliojiapiza kuwafelisha wahitimu waliofaulu vyuo vikuu kwa starehe zao.

Kwa uhalali upi? Au kwa ugumu upi wa sheria?
-ni kweli tuhuma za rushwa nimezisikia, kama wanavyosikia wengine.
-ni kweli kuna mitihani inakuwa migumu kuliko uwezo wa mwanafunzi na hii ndio sababu inayochangia watu kufeli, mfano mdogo wangu alifanya supp ya somo la Ethics anadai waliofaulu hilo somo hawazidi 50 out of 700, inaonekana pale LST kuna baadhi ya mitihani ni migumu kupita kiasi hata hao wenye PhD wanafeli
-huo mfumo unaotaka utumike kama wa secondary kwa kweli utasubiri sana hadi wakubali, cha muhimu mkuu ni kupambana tu, mdogo wangu alikuwa na Supp nyingi tu akapambana hadi akamaliza
-yaani supp 600, disco 4 na fest sitting 3 hiki kitu hakiwezekani, kwa maana nyingine unataka Law School iwe ni Shule ya Kupitisha Watu kirahisi rahisi hapana haikubaliki kabisa, huku ni kushusha Viwango Na heshima ya Uwakili
-halafu usichanganye TLS na LST inaonekana hauko makini
-kuhusu kusema ni kijiwe cha ndugu waliojiapiza kufelisha watu hii hoja ina walakini, kwa sababu Mwezi wa 7 kuna Mawakili 300 wameapishwa, hao 300 wametoka wapi,kama sio kupambana na shule?.
 
-ni kweli tuhuma za rushwa nimezisikia, kama wanavyosikia wengine.
-ni kweli kuna mitihani inakuwa migumu kuliko uwezo wa mwanafunzi na hii ndio sababu inayochangia watu kufeli, mfano mdogo wangu alifanya supp ya somo la Ethics anadai waliofaulu hilo somo hawazidi 50 out of 700, inaonekana pale LST kuna baadhi ya mitihani ni migumu kupita kiasi hata hao wenye PhD wanafeli
-huo mfumo unaotaka utumike kama wa secondary kwa kweli utasubiri sana hadi wakubali, cha muhimu mkuu ni kupambana tu, mdogo wangu alikuwa na Supp nyingi tu akapambana hadi akamaliza
-yaani supp 600, disco 4 na fest sitting 3 hiki kitu hakiwezekani, kwa maana nyingine unataka Law School iwe ni Shule ya Kupitisha Watu kirahisi rahisi hapana haikubaliki kabisa, huku ni kushusha Viwango Na heshima ya Uwakili
-halafu usichanganye TLS na LST inaonekana hauko makini
-kuhusu kusema ni kijiwe cha ndugu waliojiapiza kufelisha watu hii hoja ina walakini, kwa sababu Mwezi wa 7 kuna Mawakili 300 wameapishwa, hao 300 wametoka wapi,kama sio kupambana na shule?.

Unapoona nimeandika TLS badala ya LST tambua kuwa hicho ni kihere here cha android kusahihisha mambo ndivyo sivyo.

Kwamba mwezi 7 kuna mawakili 300 waliapishwa kuwa walitoka wapi? Kwani wewe usiyekuwa staff LST mwenye kuambiwa tu na nduguyo, ulijua hao walikuwa ni aggregate wa miaka mingapi hadi kufikia ku graduate?

Tupe data mkuu.

Ikikupendeza pana wito rasimi pia huku:

Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hukuwa na neno lolote kuhusiana na "Normal distribution" ya matokeo.

Zingatia: Uwakili siyo rocket science.
 
Unapoona nimeandika TLS badala ya LST tambua kuwa hicho ni kihere here cha android kusahihisha mambo ndivyo sivyo.

Kwamba mwezi 7 kuna mawakili 300 waliapishwa kuwa walitoka wapi? Kwani wewe usiyekuwa staff LST mwenye kuambiwa tu na nduguyo, ulijua hao walikuwa ni aggregate wa miaka mingapi hadi kufikia ku graduate?

Tupe data mkuu.

Ikikupendeza pana wito rasimi pia huku:

Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hukuwa na neno lolote kuhusiana na "Normal distribution" ya matokeo.

Zingatia: Uwakili siyo rocket science.
-na sio rahisi kujua ni miaka mingapi walifanya hiyo mitihani, cha muhimu u achotakiwa kujua ni kwamba kuna mawakili huwa wanaapishwa wengi tu zaidi ya 600 kwa mwaka eg mwaka jana
-Uwakili sio rocket science, sasa ndio upambane ufaulu, kama unaona uwakili ni rahisi pambana ufaulu mitihani yake.
 
kuhusu kusema ni kijiwe cha ndugu waliojiapiza kufelisha watu hii hoja ina walakini, kwa sababu Mwezi wa 7 kuna Mawakili 300 wameapishwa, hao 300 wametoka wapi,kama sio kupambana na shule?.
Kijiwe cha ndugu ni kwa sababu waliopo kama walimu hawajulikani wameingia kwa njia zipi, hakukuwa na matangazo ya ajira nk

Wanalipana mishahara kutokana na ada za wanafunzi, hili ni jambo la hatari. Fikiri kama askari usalama barabarani wangeambiwa kuwa mishahara yao itatokana na makusanyo ya faini za barabarani, huko road ingekuwaje sijui.. sasa hali hiyo ndiyo kwa hawa walimu wa LST

-Uwakili sio rocket science, sasa ndio upambane ufaulu, kama unaona uwakili ni rahisi pambana ufaulu mitihani yake.
Uwakili sio rocket science maana yake ni kuwa wanaosoma wanaweza kufaulu kikawaida tu na sio kwa takwimu za chini kama zilivyo sasa LST na huku ikionekana uzembe ni wa wanafunzi, hawajui kitu. Sheria sio ngumu kwa watu waliosoma na kufaulu LLB halafu waje kufanya marudio maana hakuna tofauti ya plaint ya LLB na plaint ya LST.
- Mtu analalamika kuwa kuna rushwa na uonezi wewe unasema apambane afaulu, atafauluje sasa huku mfumo ni uleule?? Analalamikia utaratibu mbovu uliopo, sasa suluhisho sio yeye kufaulu bali ni utaratibu kubadilishwa
 
Kijiwe cha ndugu ni kwa sababu waliopo kama walimu hawajulikani wameingia kwa njia zipi, hakukuwa na matangazo ya ajira nk

Wanalipana mishahara kutokana na ada za wanafunzi, hili ni jambo la hatari. Fikiri kama askari usalama barabarani wangeambiwa kuwa mishahara yao itatokana na makusanyo ya faini za barabarani, huko road ingekuwaje sijui.. sasa hali hiyo ndiyo kwa hawa walimu wa LST


Uwakili sio rocket science maana yake ni kuwa wanaosoma wanaweza kufaulu kikawaida tu na sio kwa takwimu za chini kama zilivyo sasa LST na huku ikionekana uzembe ni wa wanafunzi, hawajui kitu. Sheria sio ngumu kwa watu waliosoma na kufaulu LLB halafu waje kufanya marudio maana hakuna tofauti ya plaint ya LLB na plaint ya LST.
- Mtu analalamika kuwa kuna rushwa na uonezi wewe unasema apambane afaulu, atafauluje sasa huku mfumo ni uleule?? Analalamikia utaratibu mbovu uliopo, sasa suluhisho sio yeye kufaulu bali ni utaratibu kubadilishwa
-Umewahi kuangalia matokeo ya Law school ya kenya ?
 
Law school ni mchongo wa watu wachache. Wame-maniputate sheria ilikuingiza vipato kwa njia ambazo ni ngumu kwa outsider kuzi-trace.

Neno langu sio sheria.
 
Mmmh, kwenye Paper uingie na Madesa, then unafeli !! [emoji23].

Huu ni Ulimwengu tofauti haswa, Soma soma uone Mengi.
 
Mwananchi : Jumatatu Oktoba 10,2022

Uchunguzi ufanyike
 

Attachments

  • Screenshot_20221010-000327 (1).png
    Screenshot_20221010-000327 (1).png
    183.3 KB · Views: 5
Je mwanachama wa chama cha wanasheria Tanganyika anaweza kufungua kesi ili kutetea wahitimu wa degree ya sheria wasitahiniwe katika shule ya sheria ili kutambulika kama mawakili waliofikia viwango ?

Na ikiwa hawatafanya mitihani ya shule ya sheria, wahitimu hawa kutoka vyuo mbalimbali ndani na nje ya Tanzania tutajua vipi ubora wao wa kuweza kutuwakilisha sisi tusiojua sheria wala misamiati na lugha ya kiswahili / kiingereza ya sheria?


02 February 2022
Dodoma, Tanzania

SIKU YA SHERIA

Tanganyika Law Society TLS ambacho kilikuwa chama huru cha wanataaluma ya sheria kukubali kuhamia Dodoma makao makuu huku kikiwa na jengo lake la Wakili House jijini Dar es Salaam walilolijenga kwa juhudi zao kama wanataaluma ni hatua mojawapo ya kujitumbukiza ktk kibano cha mhimili wa dola.


Source : Wakili TV

TLS kuwa omba omba kiasi sasa serikali leo tarehe 2 February 2022 kutambuliwa na serikali kuwa TLS hii siyo ile iliyokuwa huru chini ya viongozi madhubuti kama kina Tundu Lissu, Fatma Karume, Dr. Rugemeleza Nshala, Rwechungura kwa kuwataja kwa uchache haliopigania TLS kuendelea kuwa huru.

Mwaka 2020 mwezi January serikali ilianza zoezi la kuizonga na kuimaliza pumzi ya TLS kwa kuwasilisha muswada ulipingwa na kambi ya upinzani bungeni na wadau wengine watetezi wa uhuru

Strong reactions greet Tanganyika Law Society new law​

Thursday January 30 2020​

Dodoma. Parliament has passed a law through the government Miscellaneous Amendments Act, which among other things, ‘curtails’ Tanganyika Law Society (TLS) autonomy.

Under the Bill, which was tabled in Parliament on Tuesday evening by Attorney General Prof Adelardus Kilangi, the government will have a mandate to appoint its representatives to the TLS annual general meeting, where important issues about the Bar including the election of the association president, are made.

If the Bill is assented to by President John Magufuli, then Constitution and Legal Affairs minister will also have powers to appoint government representatives in TLS meetings.

The Bill drew strong reactions from Opposition lawmakers, who argued that the Bill was passed in order to restrict TLS and lawyers’ powers.

Some of the MPs, who spoke during the debate, claimed that the Bill was tabled in order to impose the Executive powers on the Judiciary.

Parliament also turned down some of the recommendations from TLS, which included extension of president’s tenure to three years. Currently, TLS president’s tenure expires after a year READ MORE : Strong reactions greet Tanganyika Law Society new law
Kwani unadhan kabla ya law school kuanzishwa... Hao mawakili walikua wanapatikanaje.


Sheria ni ujanja ujanja tu.... Pata masters au degree... Soma vitabu saana, fuatilia kesi nyingi, jiamini..... Kwisha.

Law school ni upigaji na lengo ni kupunguza kasi ya mawakili... Gharama
 
Kwani unadhan kabla ya law school kuanzishwa... Hao mawakili walikua wanapatikanaje.


Sheria ni ujanja ujanja tu.... Pata masters au degree... Soma vitabu saana, fuatilia kesi nyingi, jiamini..... Kwisha.

Law school ni upigaji na lengo ni kupunguza kasi ya mawakili... Gharama

bagamoyo anaonekana kuwa ni mnufaika na LST kama ilivyo. Kuna na mwingine. Utawajua na utetezi wao tokea gizani.
 
Kwa kweli pole hizi ziwafikie walioko bado mikononi mwa Simba.

Nani anaweza kuthubutu kulisema hili dhidi ya miungu watu wale akiwa angali mikononi mwao?

Si kuwa hata wanaovuka wanalazimika kuto kujihusisha tu?

Ukondoo wetu unaanzia mbali.

Au nasema uongo zangu?
Ebanaeee! Hii habari imesomwa magazetini muda huu na Wasafi Fm.

Wameweka mjadala kwanini idadi kubwa hivyo ya wanafunzi wafeli?

Wanasema wanasheria wameomba uchunguzi ufanyike kubaini chanzo cha tatizo la kufeli.

Pale kuna tatizo sio bure mkuu.
 
bagamoyo anaonekana kuwa ni mnufaika na LST kama ilivyo. Kuna na mwingine. Utawajua na utetezi wao tokea gizani.

Nadhani kubwa ni kuhakikisha viwango vya juu kabisa vya huduma ya uwakili kwa sisi wateja / customers maamuma wa sheria tunapo lipia na kuwapa kazi mawakili ili tupate thamani tunayotegemea kwa fedha tuliyoilipia / value for money.
 
brazaj,

Huu uzi murua kuhamishiwa jukwaa la elimu, nadhani moderators wa jamiiforums wameamua kuhujumu ujumbe mkubwa uliotaka kuwakilisha kwa watunga sera na sheria yaani wanasiasa walio mawaziri, wabunge na wakuu wengine wenye mamlaka serikalini, hivyo sehemu sahihi ingekuwa jukwaa la siasa la JamiiForums.
 
Nimeona mada za kuchambua taarifa ya kufeli kwa wanafunzi Law School of Tanzania.


Binafsi na mimi nimepitia Law School, na haya ndiyo ninayoyafahamu kuhusiana na hiki chuo.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
 
Nimeona mada za kuchambua taarifa ya kufeli kwa wanafunzi Law School of Tanzania.


Binafsi na mimi nimepitia Law School, na haya ndiyo ninayoyafahamu kuhusiana na hiki chuo.

1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.

2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.

3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.

4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.

5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.

6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).

7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.

8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.

9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.

10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.

11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.

12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.

Zinahitajika jitihada za makusudi zisizokoma kuyasambaratisha magenge ya uhalifu kama yaliyopo pale law school.

Matatizo haya hayatakwisha menyewe.

Haipo sababu ya chuo hiki kuendelea kuwepo katika misingi hii.
 
Back
Top Bottom