Sidhani kama kuna ukweli kuwa Waarabu walikuwa wakihasi watumwa wanaume

Sidhani kama kuna ukweli kuwa Waarabu walikuwa wakihasi watumwa wanaume

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Imezoeleka sana kwa watu kusema kuwa Uarabuni hakuna watu weusi kama Amerika licha ya watumwa wengi kupelekwa huko. Wengi hudai kuwa waarabu walikuwa wajiwahasi watumwa wakiume ili wasizaliane. hili naona si jambo la kweli hata kidogo.

Sababu ni kuwa kitendo cha kuhasi mtu kilikuwa ni kitendo hatari sana. Zaidi ya nusu ya watu wote waliohasiwa walikufa kutokana na complications zilizotokana na kuhasiwa. Na watumwa walikuwa ni bidhaa ghali, hakuna ambaye alikuwa tayari kuhatarisha zaidi ya nusu ya mali yake kwa mtindo huo.

Pia kawaida watumwa wengi waliohasiwa walikuwa ni wangali bado watoto. Lengo ni wakahudumie wake wa wafalme au matajiri, au wawe wanamuziki(Wanaume waliohasiwa huimba sauti nyororo). Uhitaji wao haukuwa mkubwa kiasi hicho.

Nafikiri kuna explanation nyingione ya kwa nini watu wanaona 'hakuna' watu weusi uarabuni kama Amerika licha ya watumwa kupelekwa huko.
 
Swali kwann uarabuni Hakuna machotara wengi kama America
Kwa sababu Wanawake wa kiarabu walikunwa na kukunika na wala tende na maziwa ya Ngamia

huko Marekani mapombe makali yalipelekea Wake wa Slave master kujikuta wanaangukia kwny Mikono salama ya wa 'wahamiaji' haramu wa Nigeria na Cameroon



kwny Civil war ya US 1860s mengi yaliibuliwa
 
97b76acf-a319-434d-9d5f-12859af5b51c.jpg
 
Kwa sababu Wanawake wa kiarabu walikunwa na kukunika na wala tende na maziwa ya Ngamia

huko Marekani mapombe makali yalipelekea Wake wa Slave master kujikuta wanaangukia kwny Mikono salama ya wa 'wahamiaji' haramu wa Nigeria na Cameroon



kwny Civil war ya US 1860s mengi yaliibuliwa
Uenda walipewa sheria kali
 
Imezoeleka sana kwa watu kusema kuwa Uarabuni hakuna watu weusi kama Amerika licha ya watumwa wengi kupelekwa huko. Wengi hudai kuwa waarabu walikuwa wajiwahasi watumwa wakiume ili wasizaliane. hili naona si jambo la kweli hata kidogo.

Sababu ni kuwa kitendo cha kuhasi mtu kilikuwa ni kitendo hatari sana. Zaidi ya nusu ya watu wote waliohasiwa walikufa kutokana na complications zilizotokana na kuhasiwa. Na watumwa walikuwa ni bidhaa ghali, hakuna ambaye alikuwa tayari kuhatarisha zaidi ya nusu ya mali yake kwa mtindo huo.

Pia kawaida watumwa wengi waliohasiwa walikuwa ni wangali bado watoto. Lengo ni wakahudumie wake wa wafalme au matajiri, au wawe wanamuziki(Wanaume waliohasiwa huimba sauti nyororo). Uhitaji wao haukuwa mkubwa kiasi hicho.

Nafikiri kuna explanation nyingione ya kwa nini watu wanaona 'hakuna' watu weusi uarabuni kama Amerika licha ya watumwa kupelekwa huko.
Ni kweli kuwa kuna baadhi ya watumwa wa kiume walihasiwa kama ulivyosema. Lakini inawezekana pia kwa sababu hapakuwa na mahitaji makubwa ya nguvu kazi ya watumwa wa kiume kama ilivyokuwa Marekani ( Kaskazini, kusini na visiwani) wengi waliuzwa tena kwa wenye kuwahitaji. Vitu vingine ambavyo vilichangia kupungua kwa idadi ya watumwa ni:

1. Waarabu hawakunyang'anya utu wa watumwa kama walivyofanya wamarekani weupe. Kwa waarabu mtumwa ( pamoja na ukatili mkubwa waliomfanyia) alikuwa ni binadamu na alikuwa na nafasi ya kujikomboa na baadhi yao walifanya hivyo. Kuna watumwa walikuwa na nafasi za juu tuu katika jamii na waliaminiwa sana na walio wa own. Lakini haikuwa hivi kwa waarabu wote. Baadhi ya nchi za Afrika Kaskazini na Sahel zilikuwa kama wamarekani na waliwatendea na wanaendelea ukatili mkubwa watu weusi.

2. Tofauti na Marekani, mtoto wa mtumwa mwanamke na muarabu alikuwa muarabu. Hii imefanya wengi ambao ni weusi kujihesabu kuwa ni waarabu. Kwa Marekani, mtoto yeyote aliyezaliwa na mwanamke mtumwa alikuwa mtumwa. Hali hii ndio ilichangia kwa kiasi kikubwa kwa utumwa kuendelea kwa vizazi na vizazi. Ndio maana Marekani unaweza kumuona mtu ana rangi nyeupe lakini anahesabiwa mweusi kwa sababu tu babu yake alikuwa mweusi. Katiba ya Marekani ilisema thamani ya mtu mweusi aliye mtumwa ni 3/5 ya mtu mweupe. Marekani mtumwa alikuwa mali ghafi kama alivyokuwa ng'ombe na tajiri wake alikuwa na haki ya kumtendea chochote anachotaka.

Watu weusi wapo uarabuni lakini wanajitambua kama ni waarabu. Janjaweed wengi walikuwa weusi Lakini walijiona kuwa ni waarabu kuliko waarabu weupe.

Huu ni mjadala mzuri kama hatutauharibu kwa kuingiza masuala ya dini.

Amandla....
 
Ni kweli kuwa kuna baadhi ya watumwa wa kiume walihasiwa kama ulivyosema. Lakini inawezekana pia kwa sababu hapakuwa na mahitaji makubwa ya nguvu kazi ya watumwa wa kiume kama ilivyokuwa Marekani ( Kaskazini, kusini na visiwani) wengi waliuzwa tena kwa wenye kuwahitaji. Vitu vingine ambavyo vilichangia kupungua kwa idadi ya watumwa ni:

1. Waarabu hawakunyang'anya utu wa watumwa kama walivyofanya wamarekani weupe. Kwa waarabu mtumwa ( pamoja na ukatili mkubwa waliomfanyia) alikuwa ni binadamu na alikuwa na nafasi ya kujikomboa na baadhi yao walifanya hivyo. Kuna watumwa walikuwa na nafasi za juu tuu katika jamii na waliaminiwa sana na walio wa own. Lakini haikuwa hivi kwa waarabu wote. Baadhi ya nchi za Afrika Kaskazini na Sahel zilikuwa kama wamarekani na waliwatendea na wanaendelea ukatili mkubwa watu weusi.

2. Tofauti na Marekani, mtoto wa mtumwa mwanamke na muarabu alikuwa muarabu. Hii imefanya wengi ambao ni weusi kujihesabu kuwa ni waarabu. Kwa Marekani, mtoto yeyote aliyezaliwa na mwanamke mtumwa alikuwa mtumwa. Hali hii ndio ilichangia kwa kiasi kikubwa kwa utumwa kuendelea kwa vizazi na vizazi. Ndio maana Marekani unaweza kumuona mtu ana rangi nyeupe lakini anahesabiwa mweusi kwa sababu tu babu yake alikuwa mweusi. Katiba ya Marekani ilisema thamani ya mtu mweusi aliye mtumwa ni 3/5 ya mtu mweupe. Marekani mtumwa alikuwa mali ghafi kama alivyokuwa ng'ombe na tajiri wake alikuwa na haki ya kumtendea chochote anachotaka.

Watu weusi wapo uarabuni lakini wanajitambua kama ni waarabu. Janjaweed wengi walikuwa weusi Lakini walijiona kuwa ni waarabu kuliko waarabu weupe.

Huu ni mjadala mzuri kama hatutauharibu kwa kuingiza masuala ya dini.

Amandla....
Unachosema ni kweli. Machotara wengi wa kiarabu walikuwa assimilated. Hata Anwar Sadat alikuwa uzao wa watumwa. Au ukiangalia huyu Sultan wa Oman.
3IN2PEGHX5HCRK5FB4GLVF6DW4.jpg


20170123092636omanroyalwedding.JPG
 
Ni kweli kuwa kuna baadhi ya watumwa wa kiume walihasiwa kama ulivyosema. Lakini inawezekana pia kwa sababu hapakuwa na mahitaji makubwa ya nguvu kazi ya watumwa wa kiume kama ilivyokuwa Marekani ( Kaskazini, kusini na visiwani) wengi waliuzwa tena kwa wenye kuwahitaji. Vitu vingine ambavyo vilichangia kupungua kwa idadi ya watumwa ni:

1. Waarabu hawakunyang'anya utu wa watumwa kama walivyofanya wamarekani weupe. Kwa waarabu mtumwa ( pamoja na ukatili mkubwa waliomfanyia) alikuwa ni binadamu na alikuwa na nafasi ya kujikomboa na baadhi yao walifanya hivyo. Kuna watumwa walikuwa na nafasi za juu tuu katika jamii na waliaminiwa sana na walio wa own. Lakini haikuwa hivi kwa waarabu wote. Baadhi ya nchi za Afrika Kaskazini na Sahel zilikuwa kama wamarekani na waliwatendea na wanaendelea ukatili mkubwa watu weusi.

2. Tofauti na Marekani, mtoto wa mtumwa mwanamke na muarabu alikuwa muarabu. Hii imefanya wengi ambao ni weusi kujihesabu kuwa ni waarabu. Kwa Marekani, mtoto yeyote aliyezaliwa na mwanamke mtumwa alikuwa mtumwa. Hali hii ndio ilichangia kwa kiasi kikubwa kwa utumwa kuendelea kwa vizazi na vizazi. Ndio maana Marekani unaweza kumuona mtu ana rangi nyeupe lakini anahesabiwa mweusi kwa sababu tu babu yake alikuwa mweusi. Katiba ya Marekani ilisema thamani ya mtu mweusi aliye mtumwa ni 3/5 ya mtu mweupe. Marekani mtumwa alikuwa mali ghafi kama alivyokuwa ng'ombe na tajiri wake alikuwa na haki ya kumtendea chochote anachotaka.

Watu weusi wapo uarabuni lakini wanajitambua kama ni waarabu. Janjaweed wengi walikuwa weusi Lakini walijiona kuwa ni waarabu kuliko waarabu weupe.

Huu ni mjadala mzuri kama hatutauharibu kwa kuingiza masuala ya dini.

Amandla....

Vitabu vinasema inakadiriwa watumwa milion 9 walisafirishwa .. sasa watumwa milioni 9 hadi leo kungekua na watu wangap huko wa africa
labda tuseme kila watumwa wawili wakizaa mtoto mmoja kila baada ya miaka mitatu
then
watumwa milion 9 kwa pair ya mume n Mke

4.5 pair= 1 child/3yrs x 3 (maxmum no of children)

=3 children in 9 yrs
=4.5M x3
=13.5M
=13.5M children + 4.5 Pair of parents
=13.5 children +9 m pple
=22.5M

so kwa miaka 9 pekee tulitegemee kua na waafrica milion 22.5M

sasa imepta miaka mingap???
 
Inabidi tujiulize

? Waarabu walichukua watu weusi hapa Africa na kwenda kufanya watumwa je? Wako wapi? Mbona hawaeleweki wamepotelea wapi?

Wamewaua au ? Mbona hawana muendelezo wowote

Wamewahasi au ? Mbona hawaonekani na Mbona Waafrica walioenda mataifa mengine wanaonekana muendelezo wake na kama sio mwendelezo wake maelezo yapo kuwa waliwaua mfano ARGENTINA [emoji1033] - Kuna story ipo kuwa walikuwa wanawaua watu weusi yaani watumwa waliokuwepo au walioenda kwa kupelekwa Kama watumwa kwa hofu kuwa watazaliana na kuwa wengi na uwenda wakaja kutaka haki yao kama sehemu ya taifa?

Je? waarabu waliwafanya nn? Watu weusi walioenda/walio wachukua kama watumwa waliwaua au waliwahasi?

Hili swala sio la kidini isije? Ikaonekana kama kuna udini hapana ila ukweli usemwe ili tujue mababu zetu walifanyiwa nini?
 
Imezoeleka sana kwa watu kusema kuwa Uarabuni hakuna watu weusi kama Amerika licha ya watumwa wengi kupelekwa huko. Wengi hudai kuwa waarabu walikuwa wajiwahasi watumwa wakiume ili wasizaliane. hili naona si jambo la kweli hata kidogo.

Sababu ni kuwa kitendo cha kuhasi mtu kilikuwa ni kitendo hatari sana. Zaidi ya nusu ya watu wote waliohasiwa walikufa kutokana na complications zilizotokana na kuhasiwa. Na watumwa walikuwa ni bidhaa ghali, hakuna ambaye alikuwa tayari kuhatarisha zaidi ya nusu ya mali yake kwa mtindo huo.

Pia kawaida watumwa wengi waliohasiwa walikuwa ni wangali bado watoto. Lengo ni wakahudumie wake wa wafalme au matajiri, au wawe wanamuziki(Wanaume waliohasiwa huimba sauti nyororo). Uhitaji wao haukuwa mkubwa kiasi hicho.

Nafikiri kuna explanation nyingione ya kwa nini watu wanaona 'hakuna' watu weusi uarabuni kama Amerika licha ya watumwa kupelekwa huko.
Another explanation ni;
Idadi ya watumwa weusi walopelekwa Arabuni haikua kubwa ukilinganisha na waliopelekwa Amerika

Sababu
Hakukua na shughuli iliyohitajia watumwa wengi huko jangwani Arabunk kama alivyohitajia huko Amerika kulikokuwa na mashamba makubwa makubwa ya kila aina ya mazao

Je watumwa walihasiwa?
Sina shaka walihasiwa ila sijui ni wangapi au ka kiwango gani

Na Ukiangalia population ya baadhi ya nchi za Arabuni kwa sasa utaona bado percentage-wise watu wenye asili ya weusi wapo kwa kiwango fulani

Saudi Arabia 10%
Oman 15%
Yemen 13%
Iraq 4%
 
Vitabu vinasema inakadiriwa watumwa milion 9 walisafirishwa .. sasa watumwa milioni 9 hadi leo kungekua na watu wangap huko wa africa
labda tuseme kila watumwa wawili wakizaa mtoto mmoja kila baada ya miaka mitatu
then
watumwa milion 9 kwa pair ya mume n Mke

4.5 pair= 1 child/3yrs x 3 (maxmum no of children)

=3 children in 9 yrs
=4.5M x3
=13.5M
=13.5M children + 4.5 Pair of parents
=13.5 children +9 m pple
=22.5M

so kwa miaka 9 pekee tulitegemee kua na waafrica milion 22.5M

sasa imepta miaka mingap???
Hizi hesabu hazitoi picha kamili kwa sababu:
1. Idadi ya watumwa waliosafirishwa kutoka Afrika Mashariki haijulikani.
2. Watumwa hawakuchukuliwa kama mtu na mke. Kwa vile watumwa wengi kutoka Afrika Mashariki walichukuliwa ili wakafanye kazi za nyumbani ( wanaume wengi walibakizwa kuhudumia mashamba ya karafuu) wengi walikuwa wanawake ambao walizaa na waliowanunua. Watoto wao wengi wengi waliachiwa huru na kuhesabiwa kama sehemu ya familia ya waliowanunua.
3. Watumwa waliotoka Afrika Mashariki hawakuishia Uarabuni peke yake. Wengine walipelekwa India, China ( ndio hata China) na baadae visiwa vya Reunion n.k. Baada ya Trans Atlantic slave trade kuzuiwa wengine walipelekwa Marekani.
Kama nilivyosema awali, watu wenye rangi nyeusi wako uarabuni lakini wanajihesabu kuwa waarabu na sio watu weusi.

Amandla...
 
Swali kwann uarabuni Hakuna machotara wengi kama America
Uarabuni ipi isio na machotara? Tuamze hapa, huu ni uongo ambao unarudiwa kila siku na kila siku unakuwa exposed kwa evidence na bado watu wanaendelea kuuongea.

Arabuni Kuna weusi kibao, hadi Familia za Kifalme Zina watu weusi, sultan tu wa Oman aliefariki karibuni ni kati ya hao machotara ila hamuoni.

images (2).jpeg


Asilimia 10 ya Saudi Arabia ama 3.5 million ni Afro Arabs, wapo mpaka Royal family, World cup mumewaoma kibao,

Na unlike Marekani na sehemu nyengine Arabuni Systematic Racism si kubwa hivyo weusi wengi Arabuni wanakuwa matajiri.

AL amoud ni mfano mzuri Mara kwa mara anachuana na Dangote kama mtu mweusi Tajiri zaidi duniani

0x0.jpg


Hapo bado hujaenda sector nyengine kama muziki, michezo etc.
 
Ni kweli kuwa kuna baadhi ya watumwa wa kiume walihasiwa kama ulivyosema. Lakini inawezekana pia kwa sababu hapakuwa na mahitaji makubwa ya nguvu kazi ya watumwa wa kiume kama ilivyokuwa Marekani ( Kaskazini, kusini na visiwani) wengi waliuzwa tena kwa wenye kuwahitaji. Vitu vingine ambavyo vilichangia kupungua kwa idadi ya watumwa ni:

1. Waarabu hawakunyang'anya utu wa watumwa kama walivyofanya wamarekani weupe. Kwa waarabu mtumwa ( pamoja na ukatili mkubwa waliomfanyia) alikuwa ni binadamu na alikuwa na nafasi ya kujikomboa na baadhi yao walifanya hivyo. Kuna watumwa walikuwa na nafasi za juu tuu katika jamii na waliaminiwa sana na walio wa own. Lakini haikuwa hivi kwa waarabu wote. Baadhi ya nchi za Afrika Kaskazini na Sahel zilikuwa kama wamarekani na waliwatendea na wanaendelea ukatili mkubwa watu weusi.

2. Tofauti na Marekani, mtoto wa mtumwa mwanamke na muarabu alikuwa muarabu. Hii imefanya wengi ambao ni weusi kujihesabu kuwa ni waarabu. Kwa Marekani, mtoto yeyote aliyezaliwa na mwanamke mtumwa alikuwa mtumwa. Hali hii ndio ilichangia kwa kiasi kikubwa kwa utumwa kuendelea kwa vizazi na vizazi. Ndio maana Marekani unaweza kumuona mtu ana rangi nyeupe lakini anahesabiwa mweusi kwa sababu tu babu yake alikuwa mweusi. Katiba ya Marekani ilisema thamani ya mtu mweusi aliye mtumwa ni 3/5 ya mtu mweupe. Marekani mtumwa alikuwa mali ghafi kama alivyokuwa ng'ombe na tajiri wake alikuwa na haki ya kumtendea chochote anachotaka.

Watu weusi wapo uarabuni lakini wanajitambua kama ni waarabu. Janjaweed wengi walikuwa weusi Lakini walijiona kuwa ni waarabu kuliko waarabu weupe.

Huu ni mjadala mzuri kama hatutauharibu kwa kuingiza masuala ya dini.

Amandla....
Mwarabu asili yake ni mweusi:
,mababu zao,kwa kuoana na wazungu watuma wa mashariki ya ulaya,ndio kukapatikana waarabu weupe🙂machotara wa kizungu wa mashariki na waarabu(weusi).
Wapo waarabu wa asili (weusi),sehemu nyingi duniani,hata Yemen kiko kisiwa kinaitwa Scotra,wapo wengi,kiasi).
Waarabu (weusi),ndio kabila pekee duniani,lilipotea kwa kasi,kwa kuoana na mtaifa mbali mbali duniani,hawa weupe waarabu,unaowaona,ni mchanganyiko wa watumwa wazungu wa mashariki ya ulaya na waarabu wenyewe wa asili weupe.
 
Back
Top Bottom