Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mimi nimeishi nchi za kiarabu nyingi na zingine nimekaa kaa kwa muda mchache kama miezi mitatu mpaka mitano
Middle Eastern countries nazijua vizuri sana
Na zinazozizunguka
Kuna nchi ndogo sana inaitwa Kuwait ilipata uhuru 06/1961 ina wakazi kama 1m na kidogo ila tajiri sana
Kuna Sheikh Abdallah Al Salim Al Sabah alikuwa ni Mfalme (Amir) wa 11 katika utawala wa Kuwait alimuoa kijakazi au mtumwa na akamzalia watoto
Mtoto wake mkubwa alikuwa anaitwa Saad Abdallah Al Sabah akiwa mweusi kama sisi akifuata rangi ya mama yake
Naye akiwa Prince na baadae akawa crown prince halafu kuwa Amir wa Kuwait (I was there )
Hizi ni picha za Abdallah na mwanae Saad
Kwa hiyo tusiwashutumu tu kwa kila tunalolisikia
Middle Eastern countries nazijua vizuri sana
Na zinazozizunguka
Kuna nchi ndogo sana inaitwa Kuwait ilipata uhuru 06/1961 ina wakazi kama 1m na kidogo ila tajiri sana
Kuna Sheikh Abdallah Al Salim Al Sabah alikuwa ni Mfalme (Amir) wa 11 katika utawala wa Kuwait alimuoa kijakazi au mtumwa na akamzalia watoto
Mtoto wake mkubwa alikuwa anaitwa Saad Abdallah Al Sabah akiwa mweusi kama sisi akifuata rangi ya mama yake
Naye akiwa Prince na baadae akawa crown prince halafu kuwa Amir wa Kuwait (I was there )
Hizi ni picha za Abdallah na mwanae Saad
Kwa hiyo tusiwashutumu tu kwa kila tunalolisikia