Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelezea vizuriNi kweli kuwa kuna baadhi ya watumwa wa kiume walihasiwa kama ulivyosema. Lakini inawezekana pia kwa sababu hapakuwa na mahitaji makubwa ya nguvu kazi ya watumwa wa kiume kama ilivyokuwa Marekani ( Kaskazini, kusini na visiwani) wengi waliuzwa tena kwa wenye kuwahitaji. Vitu vingine ambavyo vilichangia kupungua kwa idadi ya watumwa ni:
1. Waarabu hawakunyang'anya utu wa watumwa kama walivyofanya wamarekani weupe. Kwa waarabu mtumwa ( pamoja na ukatili mkubwa waliomfanyia) alikuwa ni binadamu na alikuwa na nafasi ya kujikomboa na baadhi yao walifanya hivyo. Kuna watumwa walikuwa na nafasi za juu tuu katika jamii na waliaminiwa sana na walio wa own. Lakini haikuwa hivi kwa waarabu wote. Baadhi ya nchi za Afrika Kaskazini na Sahel zilikuwa kama wamarekani na waliwatendea na wanaendelea ukatili mkubwa watu weusi.
2. Tofauti na Marekani, mtoto wa mtumwa mwanamke na muarabu alikuwa muarabu. Hii imefanya wengi ambao ni weusi kujihesabu kuwa ni waarabu. Kwa Marekani, mtoto yeyote aliyezaliwa na mwanamke mtumwa alikuwa mtumwa. Hali hii ndio ilichangia kwa kiasi kikubwa kwa utumwa kuendelea kwa vizazi na vizazi. Ndio maana Marekani unaweza kumuona mtu ana rangi nyeupe lakini anahesabiwa mweusi kwa sababu tu babu yake alikuwa mweusi. Katiba ya Marekani ilisema thamani ya mtu mweusi aliye mtumwa ni 3/5 ya mtu mweupe. Marekani mtumwa alikuwa mali ghafi kama alivyokuwa ng'ombe na tajiri wake alikuwa na haki ya kumtendea chochote anachotaka.
Watu weusi wapo uarabuni lakini wanajitambua kama ni waarabu. Janjaweed wengi walikuwa weusi Lakini walijiona kuwa ni waarabu kuliko waarabu weupe.
Huu ni mjadala mzuri kama hatutauharibu kwa kuingiza masuala ya dini.
Amandla....
Ninachokumbuka tulisoma kwenye History form 3 kuwa kizazi cha watumwa weusi waliokuwa wakienda Uarabuni walikuwa wakihasiwa ili kutozaliana kule.
Kutokea hapo niliwachukia sana Waarabu kwa kuwa miongoni mwa Watumwa walioenda kwao Babu zangu watatu walienda na hawakufanikiwa kuacha watoto hadi wanakufa.
Isingekuwa kuhasiwa ina maana leo hii ningekuwa na Wajomba Oman 😎
Kwani kuhasiwa kunakuwaje tuanzie hapo
Wazungu wame edit history kuweka chuki ...na kujiondoa lawama ..
Utaona mostly Christians Africans Wana wachukia waarabu Kwa utumwa lakini wanaamini wazungu walikuwa watu wema waliokuja kueneza Tu dini...maovu ya wazungu kwenye utumwa hawajui wala hawataki kusikia....
Lynching Kwa mfano haipo kabisa kwenye history za waafrika
Likewise Muslim Africans wanachukia wazunguWazungu wame edit history kuweka chuki ...na kujiondoa lawama ..
Utaona mostly Christians Africans Wana wachukia waarabu Kwa utumwa lakini wanaamini wazungu walikuwa watu wema waliokuja kueneza Tu dini...maovu ya wazungu kwenye utumwa hawajui wala hawataki kusikia....
Lynching Kwa mfano haipo kabisa kwenye history za waafrika
Huo ni uongo hujui kaa kimyaMwarabu asili yake ni mweusi:
,mababu zao,kwa kuoana na wazungu watuma wa mashariki ya ulaya,ndio kukapatikana waarabu weupe🙂machotara wa kizungu wa mashariki na waarabu(weusi).
Wapo waarabu wa asili (weusi),sehemu nyingi duniani,hata Yemen kiko kisiwa kinaitwa Scotra,wapo wengi,kiasi).
Waarabu (weusi),ndio kabila pekee duniani,lilipotea kwa kasi,kwa kuoana na mtaifa mbali mbali duniani,hawa weupe waarabu,unaowaona,ni mchanganyiko wa watumwa wazungu wa mashariki ya ulaya na waarabu wenyewe wa asili weupe.
Weusi wa marekani ni matajiri kuliko weusi wa uarabuni mkuuUarabuni ipi isio na machotara? Tuamze hapa, huu ni uongo ambao unarudiwa kila siku na kila siku unakuwa exposed kwa evidence na bado watu wanaendelea kuuongea.
Arabuni Kuna weusi kibao, hadi Familia za Kifalme Zina watu weusi, sultan tu wa Oman aliefariki karibuni ni kati ya hao machotara ila hamuoni.
View attachment 2556344
Asilimia 10 ya Saudi Arabia ama 3.5 million ni Afro Arabs, wapo mpaka Royal family, World cup mumewaoma kibao,
Afro-Saudis - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Na unlike Marekani na sehemu nyengine Arabuni Systematic Racism si kubwa hivyo weusi wengi Arabuni wanakuwa matajiri.
AL amoud ni mfano mzuri Mara kwa mara anachuana na Dangote kama mtu mweusi Tajiri zaidi duniani
View attachment 2556353
Hapo bado hujaenda sector nyengine kama muziki, michezo etc.
Oman ni zaidi ya hiyo idadiAnother explanation ni;
Idadi ya watumwa weusi walopelekwa Arabuni haikua kubwa ukilinganisha na waliopelekwa Amerika
Sababu
Hakukua na shughuli iliyohitajia watumwa wengi huko jangwani Arabunk kama alivyohitajia huko Amerika kulikokuwa na mashamba makubwa makubwa ya kila aina ya mazao
Je watumwa walihasiwa?
Sina shaka walihasiwa ila sijui ni wangapi au ka kiwango gani
Na Ukiangalia population ya baadhi ya nchi za Arabuni kwa sasa utaona bado percentage-wise watu wenye asili ya weusi wapo kwa kiwango fulani
Saudi Arabia 10%
Oman 15%
Yemen 13%
Iraq 4%
Hawa Wana weusi gani sasaUarabuni ipi isio na machotara? Tuamze hapa, huu ni uongo ambao unarudiwa kila siku na kila siku unakuwa exposed kwa evidence na bado watu wanaendelea kuuongea.
Arabuni Kuna weusi kibao, hadi Familia za Kifalme Zina watu weusi, sultan tu wa Oman aliefariki karibuni ni kati ya hao machotara ila hamuoni.
View attachment 2556344
Asilimia 10 ya Saudi Arabia ama 3.5 million ni Afro Arabs, wapo mpaka Royal family, World cup mumewaoma kibao,
Afro-Saudis - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Na unlike Marekani na sehemu nyengine Arabuni Systematic Racism si kubwa hivyo weusi wengi Arabuni wanakuwa matajiri.
AL amoud ni mfano mzuri Mara kwa mara anachuana na Dangote kama mtu mweusi Tajiri zaidi duniani
View attachment 2556353
Hapo bado hujaenda sector nyengine kama muziki, michezo etc.
Anwar Saddat ni mnubi mkuu sio chotara wala matokeo ya utumwaUnachosema ni kweli. Machotara wengi wa kiarabu walikuwa assimilated. Hata Anwar Sadat alikuwa uzao wa watumwa. Au ukiangalia huyu Sultan wa Oman.
![]()
![]()
Si kweli, kama alihasiwa basi itakua aliingilia anga za wenyewe.Hata urusi....bamdogo alienda kupiga kitabu akahasiwa hukohuko.....so huenda ni kweli yasemwayo
Si kweli Anaepishana na Dangote kila siku kama mtu mweusi mwenye Utajiri zaidi ni Msaudi, siku zote weusi Matajiri wanatoka Arabuni ama Africa na sio Marekani ama Ulaya.Weusi wa marekani ni matajiri kuliko weusi wa uarabuni mkuu
Hujaangalia world cup?Hawa Wana weusi gani sasa
Hawa ni baada ya utumwaHujaangalia world cup? View attachment 2727365