Sidhani kama kuna ukweli kuwa Waarabu walikuwa wakihasi watumwa wanaume

Mimi nimeishi nchi za kiarabu nyingi na zingine nimekaa kaa kwa muda mchache kama miezi mitatu mpaka mitano

Middle Eastern countries nazijua vizuri sana
Na zinazozizunguka
Kuna nchi ndogo sana inaitwa Kuwait ilipata uhuru 06/1961 ina wakazi kama 1m na kidogo ila tajiri sana
Kuna Sheikh Abdallah Al Salim Al Sabah alikuwa ni Mfalme (Amir) wa 11 katika utawala wa Kuwait alimuoa kijakazi au mtumwa na akamzalia watoto

Mtoto wake mkubwa alikuwa anaitwa Saad Abdallah Al Sabah akiwa mweusi kama sisi akifuata rangi ya mama yake

Naye akiwa Prince na baadae akawa crown prince halafu kuwa Amir wa Kuwait (I was there )

Hizi ni picha za Abdallah na mwanae Saad
Kwa hiyo tusiwashutumu tu kwa kila tunalolisikia
 

Acha chuki dhidi yao, sasa ukweli usemwe ili tujue mababu zetu walifanyiwa nini! So what? Utafanya maamuzi yapi dhidi yao?

Halafu kwa taarifa yako tu mkuu, ARGENTINA 🇦🇷 tumetwaa kombe la dunia, tumewacharanga wasaliti 🇨🇵
 

Baadhi ya waswahili hawatakuelewa kwa hili, nasubiri now
 
Labda haujui maana ya kuhasiwa vizuri. Hata wanyama huwa wanahasiwa na wanaendelea kuishi fresh tu.

Kuhasiwa ni vitendo walikuwa wanafanyiwa sana watumwa enzi za mababu. Na jambo lingine la kujua ni kuwa kuhasiwa hakumfanyi mtumwa kushindwa kufanya kazi zake za kutumia nguvu ingawa kisaikolojia anakuwa wameshamharibu hayupo sawa kiakili.

Kuhusu waafrika kutokuzaliana na waarabu hili swala lilikuwa limekaa kibaguzi zaidi. Imagine hata sasa ukienda uarabuni ni ngumu kupata yule demu pure wa kiarabu wa kuzaa nae, sasa miaka hiyo ilikuwaje.
 
Bado haujajibu swali tuanataka uzao wa kipemba kule uarabuni. Ukienda tu hapo mkoani Zanzibar utaona mchanganyiko wa muarabu na mwafrika, lakini mbona huko uarabuni hatuwaoni.
 
Bado haujajibu swali tuanataka uzao wa kipemba kule uarabuni. Ukienda tu hapo mkoani Zanzibar utaona mchanganyiko wa muarabu na mwafrika, lakini mbona huko uarabuni hatuwaoni.
Huwa mnataka jibu liwe lilelile kama la kutoka kwenye notisi za mwalimu alizofundisha,
 
Bado haujajibu swali tuanataka uzao wa kipemba kule uarabuni. Ukienda tu hapo mkoani Zanzibar utaona mchanganyiko wa muarabu na mwafrika, lakini mbona huko uarabuni hatuwaoni.
Inaelekea jibu unalo tayari na lolote utakaloambiwa hautalikubali kama ni tofauti na jibu lako. Ni kupotezeana muda tuu kuingia kwenye mjadala na mtu kama wewe. Mtu unaetaka uonyeshwe uzao wa kipemba uarabuni wakati wapemba hawakuuzwa kama watumwa uarabuni. Umeambiwa uarabuni sio tu kuwa kuna watu waliochanganya damu bali wako pia ambao ni weusi tii lakini bado unataka uonyeshwe wanaofanana na hao wa Ng'ambo Unguja! Ni kupotezeana tu wakati.

Amandla...
 
Bado haujajibu swali tuanataka uzao wa kipemba kule uarabuni. Ukienda tu hapo mkoani Zanzibar utaona mchanganyiko wa muarabu na mwafrika, lakini mbona huko uarabuni hatuwaoni.

Wewe hujatembea wala kuishi nchi za kiarabu, hivyo huu mjadala achananao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…