Sidhani kama kuna ukweli kuwa Waarabu walikuwa wakihasi watumwa wanaume

Ninachokumbuka tulisoma kwenye History form 3 kuwa kizazi cha watumwa weusi waliokuwa wakienda Uarabuni walikuwa wakihasiwa ili kutozaliana kule.

Kutokea hapo niliwachukia sana Waarabu kwa kuwa miongoni mwa Watumwa walioenda kwao Babu zangu watatu walienda na hawakufanikiwa kuacha watoto hadi wanakufa.

Isingekuwa kuhasiwa ina maana leo hii ningekuwa na Wajomba Oman 😎
 
Umeelezea vizuri
 

Elimu elimu elimu
 
Wazungu wame edit history kuweka chuki ...na kujiondoa lawama ..
Utaona mostly Christians Africans Wana wachukia waarabu Kwa utumwa lakini wanaamini wazungu walikuwa watu wema waliokuja kueneza Tu dini...maovu ya wazungu kwenye utumwa hawajui wala hawataki kusikia....

Lynching Kwa mfano haipo kabisa kwenye history za waafrika
 

Umemaliza mkuu, na mjadala ufungwe
 
Hii ni propaganda kidogo japo kuna ukweli mdogo.
Waliohasiwa ni watumishwa haswa kwenye majumba ya wafalme lakini watumwa wengine hawakuwa wanahasiwa.
2. Kitu kingine hapa ni watoto waliozaliwa na hawa watumwa walikuwa huru hawakurithi utumwa as long as mzazi alisilimu
3. Kuna jambo lingine watu weusi uarabu wako under represented kwenye media na politics hivi jamii ya kimataifa kuamini hawapo au ni wachache (tawala nyingi hapa mfahamu ni za koo za kifalme za kiaarabu.
4. Bado wanafanywa raia daraja la pili na wanakosa fursa nyingi ukiondoa michezo haswa kandanda (Saudi Arabia 🇸🇦) team yao almost wote ni weusi, utashangaa hapa wametoka wapi??
5. 10% ya wasaudi ni watu weusi ambao either ni vizazi vya watumwa au migrants workers
40-50% ya wa Oman ni weusi au machotara toka zanzibar
Yemen 🇾🇪 pia kuna idadi kubwa ya hawa weusi
Iraq kuna zanj arabs ambao bado wanafanya matambiko ya Kiswahili hii ni dhahiri watumwa walisalia hawakuwa wanahasiwa
 
Likewise Muslim Africans wanachukia wazungu
Sababu ni zile zile
 
Huo ni uongo hujui kaa kimya
 
Weusi wa marekani ni matajiri kuliko weusi wa uarabuni mkuu
 
O
Oman ni zaidi ya hiyo idadi
Hata Qabus alikuwa mweusi
 
Hawa Wana weusi gani sasa
 
Unachosema ni kweli. Machotara wengi wa kiarabu walikuwa assimilated. Hata Anwar Sadat alikuwa uzao wa watumwa. Au ukiangalia huyu Sultan wa Oman.


Anwar Saddat ni mnubi mkuu sio chotara wala matokeo ya utumwa

Saddat na field Marshall Mohammed Hussein tantawi are nubians
 
Hata urusi....bamdogo alienda kupiga kitabu akahasiwa hukohuko.....so huenda ni kweli yasemwayo
Si kweli, kama alihasiwa basi itakua aliingilia anga za wenyewe.
Kuna watanzania wengi wamesoma urusi wakarudi na wanywa Vodka kama wake zao
 
Weusi wa marekani ni matajiri kuliko weusi wa uarabuni mkuu
Si kweli Anaepishana na Dangote kila siku kama mtu mweusi mwenye Utajiri zaidi ni Msaudi, siku zote weusi Matajiri wanatoka Arabuni ama Africa na sio Marekani ama Ulaya.



Al amoud Huyo.

Nchi nyingi za Kiarabu weusi wanakua hadi wafalme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…