Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

Hata mama yako kwa baba yako ilikuwa hivyo hivyo au ilikuwa tofauti.....
Wewe una spiritual problem hivyo unakutanishwa na vimeo wenzako
WANAUME MLIVYO ADIMU NA WACHACHE HAMNA MWANAMKE WA KUKUFANYIA HIVYO
Wewe na Comment yako wote ni Vibonzo🤣
 
Binafsi kuna mambo nimeyaacha yaendelee kama yalivyo ili kutoumiza kichwa changu, kipindi cha nyuma nilikuwa napata shida sana lakini baada ya kugundua siwezi badili chochote kwa namna yoyote ile niliamua kukaa kimya.

Kuna wakati kile ambacho hutaki Mke wako afanye yeye ndicho akipendacho, kwa vyovyote vile hawezi acha, mfano. Mke wangu alikuwa ana ukaribu uliopitiliza na Mfanyakazi mwenziye wa kiume, ukaribu ule uliwatia shaka hata Watu baki, binafsi sikupenda ile hali, nilikaa naye na kumwambia sipendi hicho kitu, nikajua kanielewa.

Cha ajabu kuna kipindi alisema anataka kwenda kupima ujauzito kwani kulikuwa na dalili zote za kuwa katika hali hiyo, baada ya kupima alinijulisha kuwa ni kweli ana ujauzito, baadae nakagua simu yake nakuta huyo Mfanyakazi mwenziye alimtumia ujumbe kuwa nipo hapa mapokezi kwenye benchi nakusubiri..daa iliniuma sana na ugomvi ukawa mkubwa sana!

Mpaka hivi sasa bado ukaribu wao unaendelea na hivi karibuni kuna Jamaa tulikuwa tunamdai, sasa baada ya kukutana naye akaanza kujitetea kuwa hivi karibuni alikutana na Mke wangu akiwa na huyo Mfanyakazi mwenziye wa kiume na alimweleza changamoto yake, nilichoona huyo Mdeni wetu alitaka tu kunifikishia ujumbe.

Ni ngumu kubadili tabia ya mtu kwa namna yoyote ile, kikubwa kitakachofanyika ni kubadili mbinu tuu, kwa sasa sina hata muda wa kukagua simu yake..
Pole sana mkuu, vumilia yatapita
 
 
Binafsi kuna mambo nimeyaacha yaendelee kama yalivyo ili kutoumiza kichwa changu, kipindi cha nyuma nilikuwa napata shida sana lakini baada ya kugundua siwezi badili chochote kwa namna yoyote ile niliamua kukaa kimya.

Kuna wakati kile ambacho hutaki Mke wako afanye yeye ndicho akipendacho, kwa vyovyote vile hawezi acha, mfano. Mke wangu alikuwa ana ukaribu uliopitiliza na Mfanyakazi mwenziye wa kiume, ukaribu ule uliwatia shaka hata Watu baki, binafsi sikupenda ile hali, nilikaa naye na kumwambia sipendi hicho kitu, nikajua kanielewa.

Cha ajabu kuna kipindi alisema anataka kwenda kupima ujauzito kwani kulikuwa na dalili zote za kuwa katika hali hiyo, baada ya kupima alinijulisha kuwa ni kweli ana ujauzito, baadae nakagua simu yake nakuta huyo Mfanyakazi mwenziye alimtumia ujumbe kuwa nipo hapa mapokezi kwenye benchi nakusubiri..daa iliniuma sana na ugomvi ukawa mkubwa sana!

Mpaka hivi sasa bado ukaribu wao unaendelea na hivi karibuni kuna Jamaa tulikuwa tunamdai, sasa baada ya kukutana naye akaanza kujitetea kuwa hivi karibuni alikutana na Mke wangu akiwa na huyo Mfanyakazi mwenziye wa kiume na alimweleza changamoto yake, nilichoona huyo Mdeni wetu alitaka tu kunifikishia ujumbe.

Ni ngumu kubadili tabia ya mtu kwa namna yoyote ile, kikubwa kitakachofanyika ni kubadili mbinu tuu, kwa sasa sina hata muda wa kukagua simu yake..
Si uwaache waishi pamoja
 
Ni vema ungesema kwa binafsi yako kuwa wewe unaeleweka, lakini si kwa kutumia ujumla, kiukweli wengi wenu hamueleweki..
Aaah hakuna mwanamke haeleweki. Mnakwama wapi vichwa vya familia bwana!!!!
 
Mwanaume asiyejua kubembeleza❌
Kumbembeleza nani? Tapeli wa mapenzi? Bora waoigwe mimba,waachwe. Hakuna namna.
WeedLiquorz , ukiona hivo,jua nafsi imegoma. Acha kabisa,usilazimishe. Mara nyingi kuna kitu unaepushwa.
Lakini pia,angalia type ya watu unaohangaika nao. Mtu umemkuta baa! Unaanzaje kumtaka awe wa kanisa!?
 
Muombee Mungu sana, usipatwe na changamoto katika katika maisha, ambayo mtu pekee ambae hawez kukuonea kinyaa kukusaidia ni mke au Mama mzazi ....

fikiria,
hujaoa, umri umeenda, umepatwa na changamoto nzito, ndugu jamaa na marafiki wanakuonea kinyaa kukusaidia changamoto yako, uchumi umeyumba n.k

Aise,
mke au mume ni mtu muhimu sana asiee kwenye kukusitiri 🐒
Hata kwenye kukusaliti
 
ukiwaza na kuomba hilo, likutokee tu au usipotekeleza wajibu na majukumu yako kifamilia kikamilifu hilo litakupata tu bila wasiwasi wowote 🐒
Hapana,si kweli. Hii hali si kwa wote,ila kwa wengi ndo ilivyo. Hasa inategemea na mtu alie nae. Kama kaoa baa,amemkuta anasubiri walevi,na hakika wangekuja,kazoea bia,atamuweza? Labda angeoa wa kanisani aliekuwa anamsubiri Mesiah,huenda yeye angekuwa mvumilivu.
 
Hapana,si kweli. Hii hali si kwa wote,ila kwa wengi ndo ilivyo. Hasa inategemea na mtu alie nae. Kama kaoa baa,amemkuta anasubiri walevi,na hakika wangekuja,kazoea bia,atamuweza? Labda angeoa wa kanisani aliekuwa anamsubiri Mesiah,huenda yeye angekuwa mvumilivu.
uko sahihi,
umeongea kwa upana na ujumla sana, na hayo ni maandalizi mazuri kuzingatia sifa na vigezo muhimu kuepuka fedheha badala ya sitara.....

ile ya maana zaidi ni kukaa nyumba moja na msaidizi, ni hatari kuishi pekeyako na una uwezo wa kuishi na mke ila fear of unknown inakusumbua....

hilo ni ni Tatizo na hua ni mwanzo wa matatizo mengi pia 🐒
 
Back
Top Bottom