Uchaguzi 2020 Sidhani kama Tundu Lissu atakataa ofa ya uteuzi wa Rais baada ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Sidhani kama Tundu Lissu atakataa ofa ya uteuzi wa Rais baada ya Uchaguzi

Kwa siasa za nchi hii na njaa za wadanganyika, haiwezi kutushangaza!
Alikuwepogo Mrema!
Mamvi, Sumaye, Nassari, Lijuakali, Kitila, e.t.c

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Hongera mwanakondoo mwenye kuabudia watu
Aweke akiba ya maneno sio kuropokaropoka ovyo. Nimemsikia akibeza hiyo ofa eti magufuli awaokote wale maprofesa wa jalalani. Baada ya uchaguzi bila shaka yeye na chadema watashindwa vibaya mabwana zake watabaini kibaraka wao hana faida watambwaga atakosa hela ya kula.
 
Humjui Lissu wewe umemjulia chadema waulize walimu na wanafunzi wenzake tangu msingi mpaka chuo ,yule sio mwenzetu kabisa ana msimamo na haogopi njaa
Lissu anaogopa njaa sana! Unakumbuka ile clip ya kuomba hela wakati alipokwenda Marekani? Na tagia hapo kila akisimama, kibwagizo cha hotuba zake ni kutembeza bakuli - anaomba hela. Hizo ni dalili za woga wa njaa.
 
Atapewa ubunge wa kuteuliwa, kisha "waziri wa katiba na sheria " Ccm itakuwa inatembea mwilini kwake kama damu
 
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.

Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.

Lissu jiwekee akiba hii ahadi.

Maendeleo hayana vyama!
Natamani kukuambia mbona huna adabu? Ulipaswa kusema hivi Rais Tundu Lissu atampa gazi Magu kama hata mfunga kwa makosa ya kijinai atakayo kuwa amefahamika kafanya?
 
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.

Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.

Lissu jiwekee akiba hii ahadi.

Maendeleo hayana vyama!
Atamimi naamini sidhani kama magu atakataa kuteuliwa na lisu baada ya uchaguzi
 
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.

Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.

Lissu jiwekee akiba hii ahadi.

Maendeleo hayana vyama!

Naona mkuu na wewe hukumuelewa Kikwete alipotahadharisha kuhusu Lissu. Jiulize, Kikwete alikuwa radhi “kucheka” na “Rais” Slaa lakini si “mbunge” Lissu.

Halafu Kikwete alimshika bega JPM na kututangazia rasmi kuwa “nawaletea chuma hiki; kinatema cheche!” bado hatukuipata. Akaongeza: “mtanikumbuka”, tukam’beza sana. Leo hii ni kizunguzungu tu. Ama ni kuimba mapambio ya sifa na utukufu, kuunga miguu juhudi, au kulaani bila kikomo. Hata maprofesa wanashukuru kutolewa majalalani! Salute to JK.
 
Humjui Lissu wewe umemjulia chadema waulize walimu na wanafunzi wenzake tangu msingi mpaka chuo ,yule sio mwenzetu kabisa ana msimamo na haogopi njaa
Mweleze wazi kuwa ameanza utetezi wake tangu akiwa shuleni, alikubali asimamishwe masomo Tanga school ili kusimamia anachoamini
 
Hata wewe TL humjui, unajua anayoyasema tu publicly lakini matendo yake ukiyajua yote utashangaa kwamba TL uliyekuwa naye shuleni na chuoni siye unayemzungumza sasa. Kila binadamu hubadilika, na madaliko ya kila binadamu sio lazima yaonekane hadhiri na kila mtu. Ana strength ya kutosha lakini pia anazo weaknesses za kutosha!

Waulize wataalamu wa saikolojia. Si kawaida kwa mtu aliyepitia “experience” ya “near death” ya Lissu kurejea uzimani na kubaki vilevile na haiba, nguvu na misimamo yake ileile. Hakika Lissu si mtu wa kuwa “subservient” kwa binadamu yeyote yule na ni mpigania haki - at all cost. Wako watu wa aina hiyo duniani. JK alipatia kuhusu huyu mtu. Na waliotaka kumuondoa kwa risasi kama “final solution” wanajua hilo.
 
Mwnyakiti hana agenda hata moja baadala yake anakosa cha kusema mbele ya wapiga kula wake.
kwa mfano alipaswa kueleza yapi ameyafanya kwa kipindi cha miaka mitano na ameishia wapi na atafanya nini lakini cha ajabu anaishia kusema watu kama vile yaye hakuwa Rais
 
Huwezi ukamfahamu mtu kwa asilimia mia moja, people change at any time so trust people at your own risk.
 
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa (hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.

Sina shaka baada ya uchaguzi, Tundu Lissu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.

Lissu jiwekee akiba hii ahadi.

Maendeleo hayana vyama!
Amekataa hizo offer na amesema hizo ni kwa ajili ya wanaotokea majalalani.
 
Back
Top Bottom