Sidumu kwenye mahusiano

Utoto.
 
Tukuulize swali uliingia nao kwenye mahusiano ya sirias umuoe?
Nakushauri tafuta pesa wanawake wana nyenyekea sana kama wakijua unajiweza.. sasa ww unaombwa 20k unaanza sababu kibao unategemea nn?

Ushauri wangu achana mahusiano sirias ya mapenz unapoteza muda wako na pesa zako, tafuta pesa mkuu. Ukijiskia unachukua wa kupiga mnaachana hapo hapo unaendelea mishe zako.

Mapenz ya kugandana ni ya kipuuzi sana
 
Tatizo demu anaonyesha dharau
Ngoja nikupe ramani ya vita ya hawa viumbe wakati unamtaka inatakiwa uwe mnyenyekevu akikupanga unapangika la sio kwenye ELERI na narudia sio kwenye ELERI ukishamjaza au akishakaa ndani unamwambia sasa mimi utaratibu wangu upo hivi wakati anazungukia mbali yaan MJAMZITO
 
Ni hivi bro, mwanzo uwa tupo kwenye mapenzi deep ila baadae kuna mmoja alisema namchezea au nitamuoa nikamwambia nitamuoa ingawa niliona nimwambie tu sikua na malengo nae sana, baadae akaanza kusema namchezea na Wala sina nia ya kumuoa eti nitaoa mwingine nitakae tafutiwa
 
Bro kwamba nimpe mimba? Sitamani kua na mtoto kabla sijao, kuwala uwa na Wala tatizo baadae visa vinakua vingi mpaka tunaachana
 
Dah.....🤔🤔! Nimeandika na kufuta kama mara ishirini, ila umedai una 23yrs bado kinda sana. Take it slow na ukiwa na partner hakikisha unamuuliza ni kitu/vitu gani angetamani ubadilike/ubadilishe, ukijua matatizo yako na ukayaacha nadhani suala la kutodumu kwenye mahusiano litabaki kuwa historia.
 
Demu wangu wa mara ya mwisho nilimheshimu sana mpaka vilevi niliacha kwasababu yake nilimjali na kumheshimu sana, tatizo alisisitiza kwamba nitamchezea na sita muoa, nishauri bro nitafute demu mkubwa kwangu au demu gani nitadumu nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…