The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Sasa wewe umetoka wapi na unaenda wapi?yawezekana wengi mnaohoji hii mada ni either mna umri mdogo au mlikuwa kijijini mnalima.
Unaongea vitu vya hewani hewani tu. Funguka nani ni "wenye umri mdogo" hapa (mtoto) na umejuaje. Kisha fafanua sababu ya kusema hivi ni nini...!
Kwa sababu, kwa namna hii, mimi pia unaweza nifanya nione kuwa hata ninyi wazee wa zamani sometimes ni kama "hamnazo" fulani...
Maana unarusha mipasho tu hapa badala ujenge hoja ya kuwa disqualify hao vijana ili kweli tuone busara na kujua kwako...