Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mbona hukusema hivyo jiwe alipomteua Simbachawene, Lukuvi au Mwakyembe ?
Kulikua na ulazima wa kutuletea MTU kama Batilda Buriani kweli??
Au mkuu wa mkoa wa Dar??
Hii recycling ya viongozi wale wale Kila awamu mpaka lini
Watuweke wazi tu kuwa kuna Tabaka la watawala na watawaliwa.