6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
- Thread starter
- #21
Wewe, huo ndio ukweli umasikini sio mzuri usiukumbatie sana!Yaani ulivyoandika ni kama familia zote za kimaskini zipo hivo... point ni kwamba tuoe mabikra hayo mengine sio ya msingi
Waliooa masikini walishaendewa kwa waganga wauawe ili tu mke arithi nyumba ... just imagine ?
Ni mtu mwenye mawazo na akili ya umasikini tu atakufanya hivi