Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rasilimali huisha mama angu. Wakichukua si ipo siku zitaisha, watoto wako unaozaa hovyo na wapiga debe hawatakuja kuziona hizo rasilimali.Kwahiyo unataka waache rasilimali wakuchukue wewe? Nenda kaoge basi na wewe uchukuliwe kama rasilimali.
Yaani nasikia raha hadi moyo unadundadunda ninapopata ninaposoma comments za wazarendo wenzangu maana sometimes huwa nadhani niko peke yangu mwenye thinking kama hizi .Rasilimali huisha mama angu. Wakichukua si ipo siku zitaisha, watoto wako unaizaa hovyo na wapiga debe hawatakuja kuziona hizo rasilimali.
Wanyama sio kama uchi wako huo ambao hata wapiga debe waupige vipi hauishi, hizi ni non renewable resources.
Tatizo yupo JF lakini hana kabisa maarifa....kipindi kile angefatilia namna ambavyo gharama serikali ilitumia kuwatunza wale faru wachache waliobaki kipindi cha JPM naamini angeelewa kinachoongelewa hapa.Rasilimali huisha mama angu. Wakichukua si ipo siku zitaisha, watoto wako unaizaa hovyo na wapiga debe hawatakuja kuziona hizo rasilimali.
Wanyama sio kama uchi wako huo ambao hata wapiga debe waupige vipi hauishi, hizi ni non renewable resources.
Mawazo mfu kabisa haya; wala hujui kwamba African civilization ilikuwepo kabla hata ya hao wazungu wako na vitabu vyao!Vitabu alivyosoma vya wazungu,
Bila hao wazungu hata chupi asingevaa
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Umeulizwa kwa uungwana unaleta matusi!! Ndo wafuasi wa Jiwe hawa.Wewe ni wale wanawake wanaopigwa mtungo halafu wananunuliwa bia, anasifia kununuliwa bia na anasahau ameliwa utamu kwa bia.
Unatoa rasilimali za nchi kwa kupewa vichanjo vya ajabu ajabuhalafu unasifia chanjo umesahau twiga uliowapatia. Taahira kabisa.
Tembo, twiga sasa ruksa kupanda ndege. Kwanini mtu asisifiwe!Ukitaka kujua sifa ya kwanza ya kiongozi mbovu kwa Africa ni kusifiwa na Wazungu.
Kiongozi yoyote wa Afrika anaesifiwa na wazungu ujue huyo ni bure kabisa, ni bomu.
Hakuna kiongozi wa Afrika ambae analinda rasilimali na maslahi ya wananchi wake akasifiwa na wazungu, hayupo.
Na wazungu hata uwe dikteta vipi, kama huathiri maslahi yao huwezi kusemwa vibaya hata siku moja. Mfano mzuri ni Kagame. Umewahi kusikia Kagame anasemwa vibaya pamoja na kufunga wapinzani wake wote?
Wazungu wanajua, tabia ya kwanza ya viongozi wa Afrika ni kupenda sifa, kwa hiyo wanajua wakimsifia kwenye media zao na kumpamba basi yeye hukenua meno na kuchanua mapaja watu wajichotee malighafi wanazotaka bila shida.
Ukiona kiongozi wenu anasifiwa na wazungu ujue mmepigwa na kitu kizito kichwani.
Na wewe endelea na propaganda mlizofundishwa shuleni! Utasikia "tulivumbua chuma" wakati chuma chenyewe mlikuwa mnaishia kukisugua kwenye mawe ili muweze kuwinda wakati zama hizo wenzenu tayari walishakuwa mbali! Hebu tueleze. Wakati Wakoloni wanaingia rasmi Afrika, hapa Afrika Mashariki kulikuwa na nini cha kujivunia? Manake as far as I know, Machifu ilikuwa ukiwapa hata shanga na shuka, wangeweza kukupa hata mkoa mzima wa Tabora!!Mawazo yako yamekaa ki propaganda.. zile za kuutukuza ukoloni?
Nani kakwambia kwamba hakukua na mifumo rasmi ya elimu , mavazi , teknolojia nk...
Una uhakika kwamba Faru ni miongoni mwa hao wananyama wanaosafirishwa?! Umeshawahi kukuta Faru kwenye zoo?! Na hivi umelielewa lile tangazo?!Tatizo yupo JF lakini hana kabisa maarifa....kipindi kile angefatilia namna ambavyo gharama serikali ilitumia kuwatunza wale faru wachache waliobaki kipindi cha JPM naamini angeelewa kinachoongelewa hapa.
Unafiki tu, hamna cha uzalendo wowote! Hata huyo Magu mnayedanganyana eti mzalendo hakuna cha maana alichofanya kwa taifa zaidi ya kuua wananachi wake mwenyewe na kuliacha taifa likiwa kwenye matatizo lukuki huku akitumia uongo kuwafanya "akina sie" wamuone mzalendo kweli kweli! Leo hii mkiona ripoti hata za enzi zake kuhusu madudu ya utawala wake, utasikia "wanalenga kumchafua" kwa sababu mliishi kwa kulishwa uongo, nanyi mkabaki kupiga makofi bila kutafakari!!Yaani nasikia raha hadi moyo unadundadunda ninapopata ninaposoma comments za wazarendo wenzangu maana sometimes huwa nadhani niko peke yangu mwenye thinking kama hizi .
Unapozungumzia wazungu inabidi uwe specificUkitaka kujua sifa ya kwanza ya kiongozi mbovu kwa Africa ni kusifiwa na Wazungu.
Kiongozi yoyote wa Afrika anaesifiwa na wazungu ujue huyo ni bure kabisa, ni bomu.
Hakuna kiongozi wa Afrika ambae analinda rasilimali na maslahi ya wananchi wake akasifiwa na wazungu, hayupo.
Na wazungu hata uwe dikteta vipi, kama huathiri maslahi yao huwezi kusemwa vibaya hata siku moja. Mfano mzuri ni Kagame. Umewahi kusikia Kagame anasemwa vibaya pamoja na kufunga wapinzani wake wote?
Wazungu wanajua, tabia ya kwanza ya viongozi wa Afrika ni kupenda sifa, kwa hiyo wanajua wakimsifia kwenye media zao na kumpamba basi yeye hukenua meno na kuchanua mapaja watu wajichotee malighafi wanazotaka bila shida.
Ukiona kiongozi wenu anasifiwa na wazungu ujue mmepigwa na kitu kizito kichwani.
Ukiielewa hoja utaacha kutumia kamasi kufikiriHayo ni mawazo yako ndugu... Wazungu hawa hawa unaotumia chanjo zao na madawa yao?
Poor thinking
Uko sahihi japo baadhi ya watu waliotekwa na u mambo leo hawatakuelewaUkitaka kujua sifa ya kwanza ya kiongozi mbovu kwa Africa ni kusifiwa na Wazungu.
Kiongozi yoyote wa Afrika anaesifiwa na wazungu ujue huyo ni bure kabisa, ni bomu.
Hakuna kiongozi wa Afrika ambae analinda rasilimali na maslahi ya wananchi wake akasifiwa na wazungu, hayupo.
Na wazungu hata uwe dikteta vipi, kama huathiri maslahi yao huwezi kusemwa vibaya hata siku moja. Mfano mzuri ni Kagame. Umewahi kusikia Kagame anasemwa vibaya pamoja na kufunga wapinzani wake wote?
Wazungu wanajua, tabia ya kwanza ya viongozi wa Afrika ni kupenda sifa, kwa hiyo wanajua wakimsifia kwenye media zao na kumpamba basi yeye hukenua meno na kuchanua mapaja watu wajichotee malighafi wanazotaka bila shida.
Ukiona kiongozi wenu anasifiwa na wazungu ujue mmepigwa na kitu kizito kichwani.
Na hivi ni mwanamke automatically wanampoteza kabisa.Wazungu wanajua, tabia ya kwanza ya viongozi wa Afrika ni kupenda sifa,
Sure sshv wamekufundisha ndoa ya jinsia moja ni hao hao wazunguHayo ni mawazo yako ndugu... Wazungu hawa hawa unaotumia chanjo zao na madawa yao?
Poor thinking