Wazalamooo -wazaramooWATANZANIA KARIBIA WOTE WANA ROHO MBAYAAAAA SIO WAPARE WALA WAHAYA WALA WAKURYA SIO WASUKUMA MIMI NAONA KARIBIA WOTE WANA ROHOO MBAYAAAAAAAAAAAA.
YAAANI ANGALAU KIDOGO WAZALAMOOOO
WEWE WASEMA, TUSIBISHANE MIMI KAMA MGOGO NAJUA UKWELI WAKE.NI UKWELI ULIO WAZI WAGOGO NI WAVIVU HADI KINYAA PIA HAWANA UTU WALA SHUKRANI
Hahhahiyo ni sifa ya wamakonde, nilishawahi kukutana na dame mmoja wa kimakonde zile pigo ni classified..
Teh ukisikia paaWEWE WASEMA, TUSIBISHANE MIMI KAMA MGOGO NAJUA UKWELI WAKE.
Wewe unajua unacho kizungumzaMakabila ya nyanda za juu kusini ni waoga sana!
Nawajuaa vizuri mnooo...KWA KUONGEZEA ZAIDI WATU WA KIGOMA NI WAONGEAJI SANA,WABISHI NA WAPENDA SIFA ZA KIJINGA BILA KUSAHAU NI WAGOMBANISHI .
YAANI UKITAKA KUMJUA MTU WA KIGOMA UTAMJUA TUU HASWA MBELE YA HALAIKI YA WATUUU.
YAANI. YEYE UNAMKUTA NDIO ANAPENDA KUONEKANA NI MZUNGUMZAJI KULIKO WOTE ANAPENDA KUONEKANA ANACHOONGEA YEYE NI POINT ILA WAKIONGEA WENGINE ANAWA CRUSH AU ANABISHA
Sifa ya mwanaume wa kingoni ni umalaya.Nilitaraji kuona uchambuzi wa wanaume na wanawake WANGONI NA WAMATENGO sijaona au wao kila kitu wako saaafiiiiii
Hah hah hah hah Na mwanamke wa kimatengo na kingoni?Sifa ya mwanaume wa kingoni ni umalaya.
Me too namdediketia huo wimbo..Nakudediketi "kajiandae" ya ommy dimpoz 😀
Furaha inatoka ndani ya mtu.KIVIPI MKUU
Kiukweli wee ndio umesema kweli kabisa Japo kua mimi ni mkurya, ila kiukweli hujakoseaJAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.
KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.
MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .
MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA
WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
Sasa kama wewe msukuma tangu lini ukawa na ujirani na sisi wakurya, acha bangi mtoto wa kikeMi msukuma ila sio ndugu wa bashite 😀
Hawa ni wakinga wa wilaya ya makete eneo linaitwa magomaMmagoma ni wa wapi silijui hilo
Kasahau na majigambo kwa wanyakyusa. Ila wachawi zaidi ni wakingahuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
Kiukweli makabila ya pwani ni Watu wazuri saana tunapaswa kuwaheshimuMIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.
NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......
1.MNYIKA NI MPARE
2.HALIMA. MDEE NI MPARE
3.ZUNGU NI MZUNGU
4.MWITA WAITARA NI MKURYA
5.BONNA KALUWA NI MUHAYA
6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI
7.MEYA WA JIJI NI MKURYA
HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Akuombe ili ujidai au?Hakuna neno naomba kwa wakurya wao ni nipe, nataka... Hiyo lugha ya command ndo huwa inanichosha mie
Hapo kwenye ukarimu ni mtu na mtu, sio kila msukuma ni mkarimu ila mnajua kunyenyekea kama huna kitu na wanafika wa kutupwa, msukuma akikwambia ndio jua ana maana ya hapana. Yaani hamko straight kabisaKwakweli ukarimu tumejaaliwa