Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

WATANZANIA KARIBIA WOTE WANA ROHO MBAYAAAAA SIO WAPARE WALA WAHAYA WALA WAKURYA SIO WASUKUMA MIMI NAONA KARIBIA WOTE WANA ROHOO MBAYAAAAAAAAAAAA.

YAAANI ANGALAU KIDOGO WAZALAMOOOO
Wazalamooo -wazaramoo
 
hiyo ni sifa ya wamakonde, nilishawahi kukutana na dame mmoja wa kimakonde zile pigo ni classified..
Hahha
Sasa wamakonde wakiwa wazuri sekta hio ina maana wahehe hawawezi?!!
Japo najua wamakonde wapo njeymaaarrr
 
Nawajuaa vizuri mnooo...
Ila tu wanajua kumhudumia mwanamke jamnnnn...
Ila midomo ilee..mxxiiiew walau umkute aloenda shule anakua mstaarab kidgo
 
Kiukweli wee ndio umesema kweli kabisa Japo kua mimi ni mkurya, ila kiukweli hujakosea
 
Kiukweli makabila ya pwani ni Watu wazuri saana tunapaswa kuwaheshimu
 
Kwakweli ukarimu tumejaaliwa
Hapo kwenye ukarimu ni mtu na mtu, sio kila msukuma ni mkarimu ila mnajua kunyenyekea kama huna kitu na wanafika wa kutupwa, msukuma akikwambia ndio jua ana maana ya hapana. Yaani hamko straight kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…