Hahaaaa wewe kweli mkwere sio kwa kujifagilia hukoJAMANI MIMI UZULI NIMETEMBEA KARIBIA TANZANIA NZIMAA ILA UKWELI NI KWAMBA.
KUNA MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA YENYE ROHO MBAYAAA.
MAKABILA YENYE ROHO MBAYA WENYE ITIKADI YA UKABILA NA UDINI
NI WACHAGA, WANYAKYUSA, WAHA, WAPARE,WAKURYA, WAHAYA,WAJALUO, WASUKUMA, WANYAMWEZI, .
MAKABILA YENYE ROHO NZULI NA WASIO NA ITIKADI YA UDINI WALA UKABILA KUNA
WAZARAMO, WALUGULU, WAKWERE, WAMWERA, WANDEREKO, WAMAKUA WAMAKONDE,
Mmh!! MakubwaNaja pm kwa mifano hai
Skuizi furaha tunajitafutia wenyewe....[emoji23] [emoji23]Best una testimony? Mbona umefurahi sana.
Hapo umechapia dar ina makabila yotee nchini kwa hiyo usijitoe ufahamu kutupa hamu kwamba wazaramo sio wakabila wala wadiniMIMI UZULI NIMEZALIWA DAR NIMEKULIA DAR WAZARAMO NIMEKAA NAO SANA NAWAELEWA. VIZULI NI WATU POA SANA HAWANA UKABILA WALA UDINI.
NDIO MAANA WABUNGE WA DAR UKIANGALIAA ......
1.MNYIKA NI MPARE
2.HALIMA. MDEE NI MPARE
3.ZUNGU NI MZUNGU
4.MWITA WAITARA NI MKURYA
5.BONNA KALUWA NI MUHAYA
6.FAUSTINE NDUGULILE NI MNGONI
7.MEYA WA JIJI NI MKURYA
HIVI INGEKUWA WAZARAMO WANA CHONGA SANA IVI UNADHANI WAGENI WANGEWEZA PATA NAFASI KAMA HIZI
Kilimo cha umwagiliaji wa ubuyu 😀Akutukanaye hakuchagulii tusi.
Wagogo ni wachapa kazi sana hasa kilimo na ufugaji. Changamoto tuliyonayo ni uhaba wa mvua mara kadhaa. Tunaomba serikali iongeze fungu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.
Oyaaa unatafuta mchumba au hao unao ndo unataka kupiga ana anadoo?vipi kuhusu wachaga warombo? unajua lolote kuhusu wao?
Dah aisee jamaaa ukk vzr umewachambua wasukuma hatareSalt.wakurya watu poa sana.ukorofi hufanyiana wao kwa wao .wana heshimu sana wageni maana na wakalimu alafu sio wanafiki kabisa akichukia ana kuambia papohapo sio wengine mpaka akunafikie kwa watu.maswala ya miziziology (uchawi) hawajui kabisa ndio swala la kuwaogopa watu wasio wajua wakiofia kulogwa
Ila wasukuma swala la ukarimu lime gawanyika sehemu moja na nyingine
Wasukuma wa bariadi wanadharau sana wabishi hatari.
Wasukuma wa magu wachawi balaaa
Wa mwanza mjini hawa ni wasela wasela tu.
Wa misungwi hawa ni wanafiki balaaa na roho mbaya
Kwimba-ngudu hawa ni washamba balaaa kuna wengine mpaka Leo kiswahili hawajui
Shinyanga na kahama hawa ni wapole wa kalimu na miziziology wako vizuri
Meatu hawa bado ni primitive kabisa tabia ni kama nusu wasukuma nusu wamasai hata uvaaji.
Usituogope jamaniiii Evelyn SaltWakurya: hawa jirani zangu mi mwenyewe huwa nawaogopa sana, ni wakatili mno, mkurya akikuambia nitakuchinja hata kama ni utani ndugu yangu kimbia speed kali hadi miguu iguse kichwa
Kuna watu wanaitwa wakinga uchawi wao una viwango vya kimataifa hao ndo watu wanawafananisha na wanyakyusa. Wakinga ukiwa na duka lako jirani naye analoga watu hawaoni biashara yako yaani inageuka kituo cha kufyatulia matofali yeye tu ndo anauza. Wakinga ndiyo kiboko ya wachaga kwa biashara lakini wao ni kwa uchawi zaidihuwajui wanyakyusa wewe . usingeacha kipengele cha uchawi
Upo sawa kabisa Evelyn m na ushahid kabisaKilimo cha umwagiliaji wa ubuyu 😀
Mgogo akifanikiwa kufanya kazi akapata buku tano anarudi nyumbani kukaa hadi iishe hata ukimuitia kazi haji hadi hela iishe
Ni kweli wakurya wengi uchawi wajui ila kuna baadhi ya maeneo ni hatari-kuna wakurya wa nyamilambalo kule kwa gwachuma ni wachawi hatari pia kuna wakurya wanaoishi maeneo ya wajaruo kule shirati karibu na kenya nao wapo vzriSalt.wakurya watu poa sana.ukorofi hufanyiana wao kwa wao .wana heshimu sana wageni maana na wakalimu alafu sio wanafiki kabisa akichukia ana kuambia papohapo sio wengine mpaka akunafikie kwa watu.maswala ya miziziology (uchawi) hawajui kabisa ndio swala la kuwaogopa watu wasio wajua wakiofia kulogwa
Ila wasukuma swala la ukarimu lime gawanyika sehemu moja na nyingine
Wasukuma wa bariadi wanadharau sana wabishi hatari.
Wasukuma wa magu wachawi balaaa
Wa mwanza mjini hawa ni wasela wasela tu.
Wa misungwi hawa ni wanafiki balaaa na roho mbaya
Kwimba-ngudu hawa ni washamba balaaa kuna wengine mpaka Leo kiswahili hawajui
Shinyanga na kahama hawa ni wapole wa kalimu na miziziology wako vizuri
Meatu hawa bado ni primitive kabisa tabia ni kama nusu wasukuma nusu wamasai hata uvaaji.
Mzaramo anweza asimpige mtu lakini akamsuta mpaka akafa.Wazaramo sio Kabisa wanachonga sanaa wanachamba Balaaa. Wakiamua unahama mtaa
Mpare anapenda kesi sana na mbishi, anaweza kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku. Ni wabahili ila si wachumi. Mpare kwa ubahili wake akiumwa njaa badala ya kununua chakula atakunywa panadol au diclofenac. Hawa jamaa kwa kununua kesi ndo wenyewe. Kuna bwana mmoja alizulumiwaga akaenda kusoma sheria ili aje kufufua kesi.Wapare watu poa sana ni wachumi wazuri na wanapenda haki
Asante kwa hamasa hiyo, Wagogo wenzangu tuchukue hoja ya Evelyn Salt kama changamoto ya kuongeza bidii ya kazi.Kilimo cha umwagiliaji wa ubuyu 😀
Mgogo akifanikiwa kufanya kazi akapata buku tano anarudi nyumbani kukaa hadi iishe hata ukimuitia kazi haji hadi hela iishe
Usiombe kufanyiwa kazi na fundi wa kigogo ha ha ha nicheke kama mazuri nishawahi kuachiwa mafundi niwasimamie kuchapia ukuta (sijui ni kiswahili sahihi) yani dakika mbili wanakaa wanaanza story, nawashtua wanainuka dakika mbili wanasema wamechoka mara wanaomba chai aseeeee ukiwalipa hela wanaenda kukaa kabisa hata umuite vipi hajiiUpo sawa kabisa Evelyn m na ushahid kabisa