Sifa za mwanaume

😍😍 Kaka wa mimi, umemisika pia. Umekula sikukuu peke yako jamani sio vizuri
😍 dada yake mie nimeshangaa sikukuu zote sijakuona humu hata ukicomment, haya bia pilau na minyama ulitunyima hata salamu ya kinafiki ya kututakia heri ya krismasi na mwaka mpya πŸ€”πŸ˜…πŸ€£
 
Sifa za mwanaume,yaan mwanaume:

Awe anajua kukutembezea rungu haswa huku anakuchapa makofi kwenye matako/makalio yako na akimaliza hapo inabidi umshukuru kwa kukutembezea rungu na makofi ya kutosha kwenye matako/makalio yako

Huyo ndio mwanaume, hana sifa sizingine za ziada
 
Yaani sifa za mwanaume zimeandikwa na mwanamke alafu mwanamke mwenyewe singo maza [emoji23][emoji23][emoji23] anyway japo kuwa nyingine ni kweli ila kuna nyingine hapo zipo ili kulinda maslahi yenu wanawake. Na ndio nyingi ....tusihadisiane wanawake tulio wagonga ili kumsitiri tuyeye tusijue tumegonga wangapi [emoji23][emoji23]
 
😳maajabu! Utajikuta!?au tayari mnapigwa dole la kati na wanaume.Ita majina yote lakini umekumbushwa kuwa mwanaumeπŸ‘Š
Wanaume Wapi, ni wanawake nyie, nyie, tena mmekuwa wahuni sana, shetani anawatumia sana nyie.

Yani wanaume yatufaa kuwa makini sana na nyie wanawake, hakuna kucheka na kima Wala kuwaendekeza.
 
Ila ndo sitaki shobo mke ajue atakuwa keshajiharibia nitachukua mtoto anabaki na nyumba ambayo itakuwa na jina la mwanangu
 
We ni me au ke
 
Just jocking mm siezi telekeza mwanangu tena mdada nikimpa mimba lazima nimjengee ili mwanangu asiteseke
Woow! Embu nijengee pia mbona uliniacha nilee mwenyewe mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…