IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Sipo huko nipo hapahapa bongo ndio najaribu kuobserve haya maisha ya uku ni matusi tu uswahili mwingii!😂😂 Ulale sasa au huko kwenu mchana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipo huko nipo hapahapa bongo ndio najaribu kuobserve haya maisha ya uku ni matusi tu uswahili mwingii!😂😂 Ulale sasa au huko kwenu mchana?
Hongera ila huyo jamaa sijua kama anapumua vizuri akiwa na wewe😂😂😂Wee mimi nshampata mwanaume wangu tunaenda sawa , wa aina yako siwezi mimi.
😍 dada yake mie nimeshangaa sikukuu zote sijakuona humu hata ukicomment, haya bia pilau na minyama ulitunyima hata salamu ya kinafiki ya kututakia heri ya krismasi na mwaka mpya 🤔😅🤣😍😍 Kaka wa mimi, umemisika pia. Umekula sikukuu peke yako jamani sio vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kweli kabisaaa.Wanaume wa JF wanayoyaongea humu na maisha yao halisi ni mbingu na ardhi.
Wanaume Wapi, ni wanawake nyie, nyie, tena mmekuwa wahuni sana, shetani anawatumia sana nyie.😳maajabu! Utajikuta!?au tayari mnapigwa dole la kati na wanaume.Ita majina yote lakini umekumbushwa kuwa mwanaume👊
Upinde weweMbona karibia hizo sifa zote sasa zinanihusu mimi!!
Just jocking mm siezi telekeza mwanangu tena mdada nikimpa mimba lazima nimjengee ili mwanangu asitesekeBe a man
Mkuu mm ni 40+ sio mtoto nishazeeka[emoji23][emoji23] Mvulana huyo, hakuna mwanaume mwenye akili ya namna hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni me au keSifa za mwanaume ajue kutembeza mkong'oto wa kutosha kunako 6×6 na kuwajibika kiuanamume ndani ya familia km kusomesha watoto, kufanya familia inapishana chooni, kumpendezesha mkewe, kufanya familia yake iishi maishi bora na yenye furaha, n.k hizo zingine mbwembwe tu,