Sifa za mwanaume

[emoji15]are you serious? Jeshi kubwa? U can't be serious! Mbali na uchache wa wanaume kupitia sensa lakini kwa idadi ile iliyotolewa nusu yake ndo wanaume wengine wanapumuliwa na wanaume[emoji124][emoji124]
Hakyanani? [emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]habari ndo hiyo,jifunze kwa yanayokuhusu...kushughulika na yasiyokuongezea kula kwa MTU anayejiita mwanaume ni aibu[emoji23][emoji23]
Tungekuwa tunaongea kwa hoja tungeendelea

ila naona tayari ushatoka nje ya mstari, ushaanza kuwa mwanamke
 
Kama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa.
Mimba ubebe wewe afu uje kunisumbua mimi
 
Tungekuwa tunaongea kwa hoja tungeendelea

ila naona tayari ushatoka nje ya mstari, ushaanza kuwa mwanamke
Hoja gani mkuu,kuumizwa na yasiyokuhusu...si ukuda huo.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…