Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha

Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha

wanasema ukiyajua matatizo yako bàsi unaenda kupona.

Lakini kwangu ni tofauti mimi ni mama wa watoto 2, baba wawili tofauti...

Ninatatizo sijui linatokana na nini na ni hali ambayo kwa sasa nimegundua ninatatizo na najichukia lkn siwezi kujicontrol

2013 niliolewa na kijana mzuri anakazi nzuri lkn tuliishi miez 2 tu nikaondoka na mimba juu ya miez 6.

Tatizo nililonalo mkorofi, yan mbabe ukikaa vibaya mwanaume tunashikana tupigane,, au nichukue kitu nikupige nacho ninamaneno nikianza kuongea shombo hata usiku kucha. Mwanzo sikujua tatizo nn niliishia kuwalaumu wanaume na kujiona ninamkosi lkn seriously mi sio mwanamke wa kuishi na mwanaume aisee ...

Mungu kanibariki sura nzuri nyota ya kupata wanaume wa kuniona wapole na wenye kipato kizuri tu tatizo wanakimbia tabia.

2017 nikapata mume mwingine mpole kaka wa watu japo anakaumalaya lkn nimtu peace sana tumezaa mtoto 1,, kaka anapata tabu huyu jaman.

Tunaweza kaa vizuri tu gafla kuna hali inanitokea ya kuanzisha ugomvi tu ambao haueleweki nitalia usiku kucha.

Nikikuta msg ya mwanamke kwenye cm nitapasua cm yake, vitu ndan navunja ...baada ya muda hali inapotea naanza kujuta nalia.

Nikikaa wiki mbili bila ugomvi gafla from no where natafuta ugomvi tu bila sababu yani nikiwaza tu kwamba tunasiku nyingi hatujagombana kosa la jinai halafu baada ya muda mfupi narudi kwenye hali ya kawaida ya kujuta sana na kushangaa kwann nimefanya haya.

Nimekaa nae nimemwambia tuachane maana naona namtesa kaka wa watu lkn hataki unakuta sipendi kua hivi ananiambia anaimani ipo siku nitabadilika.

Mi naona atachoka tu nayeye hata hivyo kanivumilia sana sijui kwann hataki kukubali kuachana
Inaniuma tumeishi tangu 2017 maisha haya haya bila ndoa lkn cha ajabu anataka tuandikishe ndoa tubariki nashindwa kuelewa yeye hachoki haya maisha? Sio mchoyo, ananipa kilakitu kilichondani ya uwezo wake lkn muda wote nalalamika tu.

yeye weakness yake anapenda wanawake na akiwa nao kwenye mahusiano analalamika namnyanyasa mi roho inaniuma namwambia sababu tulianza 0 kwa sasa tunamafanikio na hiyo inatokana na akili yangu ya maendeleo. Nimemwambia anipe mil 5 tu kama mtaji, nyumba nimwachie na viwanja, mifugo lakini hataki kuachana na mimi anasema wewe ni mke wangu hakuna kwenda popote

Kunakipindi alitembea na rafiki yangu tangu nilipogundua hali ndio ikazidi ya ukorofi ni miez 7 lkn nikikumbuka naanzisha ugomvi as if ndio nimemfumania leo..
Nifanyeje jmn either nikae Sawa au niondoke bàdo mapema maana huyu siku akichoka sijui atanifanya nn.

Akipokea mshahara wote ananipa anachukua ya matumiz yake nyingine ananipa mimi ndio napanga ya kula nyingine naweka akiba...kiufupi namimi mbali na hii tabia, nimwanamke wa maendeleo napambana pia nina akili ya maisha hii imetupelekea kupata maendeleo ndani ya muda mfupi..
Ogopa Mungu na teknolojia😂
 
Mimi naona sio roho ya ugomvi ni kiburi cha kupendwa,wanawake tukipendwa Huwa tunaona wanaotupenda ni mafala tu na hata tukiachana tutapata mwingine
Hiyo mindset tu hakuna mapepo badili mtazamo muone mumeo kama kitu Cha thamani licha unajua kuwa ni dhaifu kwako
Fanya mazoez ya kuongea maneno mazuri Kwa mwenzio kma huwez google huko utayapata,fanya zoez Hilo hata Kwa mwezi mmoja utaona mabadiliko

Kuwq mwepes kuomba msamaha pia
Mungu akufanyie wepesi my dear
Ni ujinga tu,,,, mimi ukiniona fala nakuona farasi tu nakupiga doggystyle😂😂😂
 
@lady in action pole sana dada,nnae dada nimezaa nae anatabia copy nakupaste kama zako,tofauti yake yy nimgomvi hata kwa watu wengine,hadi ndani ya familia yake,nikiri kukutana namtu wa aina yako
Majibu waliyonipatia watu ni
1.jini mahaba
2.malezi mabovu-maana hata wazazi wake anawakalipia hawasikilizi sana
3.kurogwa-kwakua nimzuri asipate mwanaume wamaana.
Yuko na 23yrs ,hatujafunga ndoa,tumezaa mtoto mmoja anamiaka2.kusema ukweli nichangamoto sana kwa mwanaume(kanda yaziwa),yy mtu wa pwani(mmwera)..anaongea balaa,anapenda ugomvi kama kula,malumbano nahoja namalalamiko kila mara an worse enough anaamini mda wote unachepuka,hana akili ya maendeleo ,,hawezi kusettle kufanya kazi,anaamini nnazo hela kumbe mm kapuku tu anaamini nnawapa watu hela,chartings zake zina ashiria ugomvi daliy sio mwepesi kuomba msamaha,anadai ananipenda lkn ktk vitendo nizero..familia yangu ishasema niachane nae namm nimedhamiria kuanchana nae changamoto nimtoto..ila kusema ukweli kichwa changu kinawaka moto,,,watu wanasema ananyota ya moto mm maji,wengine ananyota sijui ya simba mm kondooo,hadi majirani anaingiacnao ugomvi.hatujawahi kukaa tukapanga jambo kama wapenzi tunaishi kama vilw tuko stand.ananogesha mazungumzo nawatu wa nje zaidi kuliko mm.anaishi kwao sometimes kwangu.
😁😁😁😁😁😁Kwa hayo yote bado upo nae tu? Hauna wazazi wa kulea mjukuu uwe unawatumia matumizi tu wakati unajipanga zaidi?
 
Namimi ni mhaya aisee na mama yangu aliniambia mama yake alikua hivi yan bibi yangu,,, bahati yake alipata mwanaume anaempenda sana mpaka kumpikia anampikia na kumtengea.....mi siyataki haya mambo nataman niwe mke mwema
Tabia za kiburi na kujikweza kwa mwanamke hazifai.

Hii character ipo sana kwa wanawake wa kijita, wahaya na wanyakyusa ila trust me huwezi kutoboa ukiwa na mwanamume civilized. Utapata muhuni muhuni tu ambaye atakuzalisha na kukuvumilia sababu hana kitu huku akikutia vipigo vya kwenda.

Mwanamume civilized hawezi kuishi na mwanamke mwenye mental dissorders za aina hio na ndio maana ma single mother wengi wanaangukia makabila hayo.
 
Tatizo sio kuwa na kasoro katika maisha, tatizo ni kuwa umeisha jua madhaifu au matatizo yako katika maisha na Bado hujayafanyia kazi kikamilifu.
Hili dawati la jinsia upande mwingine limeharibu nyumba za watu. Enzi za wahenga ilikua hamna kuvuruga amani nyumbani au utapa makofi mawili kama huduma ya kwanza kurudisha akili zako sawa ikiwa Bado unaataka dozi zaidi basi mkwaju utatoa jeuri yote na usiku utatoa ushirikiano kupitia lazima kama kuonyesha kuwa Sasa uko sawa na umerudi kwenye msitari ulio nyooka
Tena kipigo ni kote, ukianzia kwa Mume na ukirudi kwenu pia kama maelezo hayaeleweki unapokelewa na kipigo na kupewa notisi urudi mkaelewane na mumeo.

Uzuri wazazi wanawajua vizuri watoto wao na tabia zao.
 
Pole kwa changamoto unazopitia. Tatizo unalolielezea linaweza kuhusiana na changamoto za kihisia au afya ya akili, kama vile impulse control disorder, bipolar disorder, au athari za matukio ya awali katika maisha yako (trauma).

Hali hii inaweza kudhibitiwa kwa msaada wa kitaalamu.

1. Tafuta msaada wa kitaalamu
- Therapist au mtaalamu wa afya ya akili: Tafuta mtaalamu ambaye unaweza kuzungumza naye. Atakusaidia kuelewa mizizi ya tabia yako, iwe ni kutokana na trauma, hali ya kihisia, au matatizo ya homoni.
- Mtaalamu wa familia na mahusiano: Ikiwezekana, mwalike mume wako katika mazungumzo haya. Inaweza kusaidia kuboresha mawasiliano kati yenu.

2. Tambua na urekebishe vichochezi vya hasira yako
- Andika kwenye journal au daftari kila mara unapogombana. Tambua kilichokuudhi, ulijisikiaje, na nini kingeweza kufanyika tofauti.
- Mara unapojua vichochezi vyako (trigger points), utaweza kujifunza kuzidhibiti. Mfano, badala ya kuvunja vitu au kuanzisha ugomvi, jaribu kutoka kidogo, kupumua kwa kina, au kujitenga hadi utulie.

3. Jifunze mbinu za kudhibiti hasira
- Deep breathing: Ukiwa na hasira, pumua ndani kwa kina kwa sekunde tano, shikilia pumzi kwa sekunde tano, kisha toa taratibu. Rudia mara tano.
- Zungumza polepole: Jitahidi kuelezea unavyohisi badala ya kufoka au kutumia vitisho. Mfano, badala ya kusema, “Wewe ni malaya,” sema, “Najisikia vibaya nikiona ujumbe kama huu.”
- Jitenga unapohisi unakaribia kulipuka: Kusema, “Naomba muda kidogo nitulie,” kunaweza kuepusha mabishano yasiyo ya lazima.

4. Zungumza na mume wako kwa uwazi
- Elezea jinsi unavyojiona na kujuta baada ya ugomvi. Mwambie unahitaji msaada wake kushinda changamoto zako.
- Mweleze jinsi unavyothamini juhudi zake za kuvumilia, lakini pia uweke mipango ya kubadilika. Mfano, mnaweza kuanzisha safe word ya kutumia ili kusimamisha ugomvi kabla haujawa mkubwa.

5. Jipe muda wa kujitunza (Self-care)
- Pata muda wa kufanya vitu unavyovipenda, kama kusoma vitabu, kufanya mazoezi, au kujiingiza kwenye shughuli zinazokuondolea stress.
- Jifunze kutunza afya yako ya mwili na akili kwa kupata usingizi wa kutosha, kula chakula bora, na kuepuka vinywaji au vyakula vinavyoongeza msisimko wa hasira (kama vile pombe kupita kiasi).

6. Shirikisha familia na rafiki wa karibu
- Ikiwa unaweza, waelezee watu wa karibu kile unachopitia. Wanaweza kukusaidia kwa ushauri au kukuweka kwenye njia sahihi unapokosea.

Mwisho kabisa: Usijichukie.
Hali unayopitia si kwamba wewe ni mbaya, bali ni tatizo ambalo linaweza kushughulikiwa. Unayo nafasi ya kubadilika na kurekebisha mambo.

Jitahidi kujipa moyo na kuamini kuwa hatua unazochukua zitakusaidia kupata amani ya kudumu ndani yako na katika familia yako.

Ova
Huu ushauri aufanyie kazi.
 
wanasema ukiyajua matatizo yako bàsi unaenda kupona.

Lakini kwangu ni tofauti mimi ni mama wa watoto 2, baba wawili tofauti...

Ninatatizo sijui linatokana na nini na ni hali ambayo kwa sasa nimegundua ninatatizo na najichukia lkn siwezi kujicontrol

2013 niliolewa na kijana mzuri anakazi nzuri lkn tuliishi miez 2 tu nikaondoka na mimba juu ya miez 6.

Tatizo nililonalo mkorofi, yan mbabe ukikaa vibaya mwanaume tunashikana tupigane,, au nichukue kitu nikupige nacho ninamaneno nikianza kuongea shombo hata usiku kucha. Mwanzo sikujua tatizo nn niliishia kuwalaumu wanaume na kujiona ninamkosi lkn seriously mi sio mwanamke wa kuishi na mwanaume aisee ...

Mungu kanibariki sura nzuri nyota ya kupata wanaume wa kuniona wapole na wenye kipato kizuri tu tatizo wanakimbia tabia.

2017 nikapata mume mwingine mpole kaka wa watu japo anakaumalaya lkn nimtu peace sana tumezaa mtoto 1,, kaka anapata tabu huyu jaman.

Tunaweza kaa vizuri tu gafla kuna hali inanitokea ya kuanzisha ugomvi tu ambao haueleweki nitalia usiku kucha.

Nikikuta msg ya mwanamke kwenye cm nitapasua cm yake, vitu ndan navunja ...baada ya muda hali inapotea naanza kujuta nalia.

Nikikaa wiki mbili bila ugomvi gafla from no where natafuta ugomvi tu bila sababu yani nikiwaza tu kwamba tunasiku nyingi hatujagombana kosa la jinai halafu baada ya muda mfupi narudi kwenye hali ya kawaida ya kujuta sana na kushangaa kwann nimefanya haya.

Nimekaa nae nimemwambia tuachane maana naona namtesa kaka wa watu lkn hataki unakuta sipendi kua hivi ananiambia anaimani ipo siku nitabadilika.

Mi naona atachoka tu nayeye hata hivyo kanivumilia sana sijui kwann hataki kukubali kuachana
Inaniuma tumeishi tangu 2017 maisha haya haya bila ndoa lkn cha ajabu anataka tuandikishe ndoa tubariki nashindwa kuelewa yeye hachoki haya maisha? Sio mchoyo, ananipa kilakitu kilichondani ya uwezo wake lkn muda wote nalalamika tu.

yeye weakness yake anapenda wanawake na akiwa nao kwenye mahusiano analalamika namnyanyasa mi roho inaniuma namwambia sababu tulianza 0 kwa sasa tunamafanikio na hiyo inatokana na akili yangu ya maendeleo. Nimemwambia anipe mil 5 tu kama mtaji, nyumba nimwachie na viwanja, mifugo lakini hataki kuachana na mimi anasema wewe ni mke wangu hakuna kwenda popote

Kunakipindi alitembea na rafiki yangu tangu nilipogundua hali ndio ikazidi ya ukorofi ni miez 7 lkn nikikumbuka naanzisha ugomvi as if ndio nimemfumania leo..
Nifanyeje jmn either nikae Sawa au niondoke bàdo mapema maana huyu siku akichoka sijui atanifanya nn.

Akipokea mshahara wote ananipa anachukua ya matumiz yake nyingine ananipa mimi ndio napanga ya kula nyingine naweka akiba...kiufupi namimi mbali na hii tabia, nimwanamke wa maendeleo napambana pia nina akili ya maisha hii imetupelekea kupata maendeleo ndani ya muda mfupi..
Uko vizuri, and I advise you to remain single and enjoy your freedom
 
Back
Top Bottom