Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha

Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha

You attract fools...

Uje upate mwamba asiye na maneno mengi halafu ujichanganye ule kofi zito. Hutarudia kuleta kiburi, dharau na ukorofi.

Unaonea sana hao vijana malofa.
 
wanasema ukiyajua matatizo yako bàsi unaenda kupona.

Lakini kwangu ni tofauti mimi ni mama wa watoto 2, baba wawili tofauti...

Ninatatizo sijui linatokana na nini na ni hali ambayo kwa sasa nimegundua ninatatizo na najichukia lkn siwezi kujicontrol

2013 niliolewa na kijana mzuri anakazi nzuri lkn tuliishi miez 2 tu nikaondoka na mimba juu ya miez 6.

Tatizo nililonalo mkorofi, yan mbabe ukikaa vibaya mwanaume tunashikana tupigane,, au nichukue kitu nikupige nacho ninamaneno nikianza kuongea shombo hata usiku kucha. Mwanzo sikujua tatizo nn niliishia kuwalaumu wanaume na kujiona ninamkosi lkn seriously mi sio mwanamke wa kuishi na mwanaume aisee ...

Mungu kanibariki sura nzuri nyota ya kupata wanaume wa kuniona wapole na wenye kipato kizuri tu tatizo wanakimbia tabia.

2017 nikapata mume mwingine mpole kaka wa watu japo anakaumalaya lkn nimtu peace sana tumezaa mtoto 1,, kaka anapata tabu huyu jaman.

Tunaweza kaa vizuri tu gafla kuna hali inanitokea ya kuanzisha ugomvi tu ambao haueleweki nitalia usiku kucha.

Nikikuta msg ya mwanamke kwenye cm nitapasua cm yake, vitu ndan navunja ...baada ya muda hali inapotea naanza kujuta nalia.

Nikikaa wiki mbili bila ugomvi gafla from no where natafuta ugomvi tu bila sababu yani nikiwaza tu kwamba tunasiku nyingi hatujagombana kosa la jinai halafu baada ya muda mfupi narudi kwenye hali ya kawaida ya kujuta sana na kushangaa kwann nimefanya haya.

Nimekaa nae nimemwambia tuachane maana naona namtesa kaka wa watu lkn hataki unakuta sipendi kua hivi ananiambia anaimani ipo siku nitabadilika.

Mi naona atachoka tu nayeye hata hivyo kanivumilia sana sijui kwann hataki kukubali kuachana
Inaniuma tumeishi tangu 2017 maisha haya haya bila ndoa lkn cha ajabu anataka tuandikishe ndoa tubariki nashindwa kuelewa yeye hachoki haya maisha? Sio mchoyo, ananipa kilakitu kilichondani ya uwezo wake lkn muda wote nalalamika tu.

yeye weakness yake anapenda wanawake na akiwa nao kwenye mahusiano analalamika namnyanyasa mi roho inaniuma namwambia sababu tulianza 0 kwa sasa tunamafanikio na hiyo inatokana na akili yangu ya maendeleo. Nimemwambia anipe mil 5 tu kama mtaji, nyumba nimwachie na viwanja, mifugo lakini hataki kuachana na mimi anasema wewe ni mke wangu hakuna kwenda popote

Kunakipindi alitembea na rafiki yangu tangu nilipogundua hali ndio ikazidi ya ukorofi ni miez 7 lkn nikikumbuka naanzisha ugomvi as if ndio nimemfumania leo..
Nifanyeje jmn either nikae Sawa au niondoke bàdo mapema maana huyu siku akichoka sijui atanifanya nn.

Akipokea mshahara wote ananipa anachukua ya matumiz yake nyingine ananipa mimi ndio napanga ya kula nyingine naweka akiba...kiufupi namimi mbali na hii tabia, nimwanamke wa maendeleo napambana pia nina akili ya maisha hii imetupelekea kupata maendeleo ndani ya muda mfupi..
Kuna tabia ni common kwa wanawake. Hata mwanaume ukae kwa amani basi utatafuta chokochoko tu. Sasa sijui mna nn dada zetu.
 
Wee unatakiwa uzalishwe Watoto 7 Fasta utatulia tuuu na Utakuwa Mpole na Adabu Coz hao Watoto ndo Watakutuliza kichwa Chako wanawake Kama Nyie Mko hivyo wengi Mna Sura Nzuri na Maumbo Mazuri Ndo Maana unavimba Hata ukiachwa Leo Mwezi humalizi ushapata Mwingine Sasa dawa ni Watoto tuu
Wa namna hii usimzalishe. Achana naye tu.
 
Mungu kanibariki sura nzuri nyota ya kupata wanaume wa kuniona wapole na wenye kipato kizuri tu tatizo wanakimbia tabia.

2017 nikapata mume mwingine mpole kaka wa watu japo anakaumalaya lkn nimtu peace sana tumezaa mtoto 1,, kaka anapata tabu huyu jaman.
Nani mwingine kaona huu mwandiko wa Men kama mimi
 
Unakuaje na akili ya maisha na maendeleo alafu huna ya kucontrol mdomo na fujo 🚮
Hapo ametupiga.....harafu kila Mwanamke wa JFs anaolewa na vibosile tu
Hakuna hata mmoja anaolewa na Apeche Apeche
 
Tatizo sio kuwa na kasoro katika maisha, tatizo ni kuwa umeisha jua madhaifu au matatizo yako katika maisha na Bado hujayafanyia kazi kikamilifu.
Hili dawati la jinsia upande mwingine limeharibu nyumba za watu. Enzi za wahenga ilikua hamna kuvuruga amani nyumbani au utapa makofi mawili kama huduma ya kwanza kurudisha akili zako sawa ikiwa Bado unaataka dozi zaidi basi mkwaju utatoa jeuri yote na usiku utatoa ushirikiano kupitia lazima kama kuonyesha kuwa Sasa uko sawa na umerudi kwenye msitari ulio nyooka
 
Ukorofi wako hauishi sababu hao wanaume wanakudekeza.
Ukipata mwanaume ambaye hakudekezi utakaa kwenye mstari, na utakua mke bora Sana.
 
Screenshot_20250122-134718.png
 
Back
Top Bottom