Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

TAIRI wamezitoa jana zilibaki majini hivo hata wewe una conspiracy zisizo halisi maana Tairi zilibaki majini
 
TAIRI wamezitoa jana zilibaki majini hivo hata wewe una conspiracy zisizo halisi maana Tairi zilibaki majini
Kuhusu tair kutotoka wakat inaanguka niko level ya eye witnessing.
Ungekuwa bukoba ningekuelekeza ukusanye wap habar mwalon nyamkaz. Kuna ambao walianza kusogea ndege ilipoanguka kabla hata haijatouch maji. Suala la ...hii ni ajar .. lilikuwa wazi wakat inashuka.
Sema hatupend kutajana kwa sabab nying mana siasa zimeshaingiamo.
 
Sisemi hovyo na ukiona nimeweka uzi Nina maana yangu Mmetumwa Ku neutralize ishu ionekane precision ndo mbovu ila ukweli uzembe Upo pale pale wa serikali
 
Sasa mhudumu wa ndege si alikuwa ndani, af isitoshe mlango wa nyuma wa ndege ulikuwa haujaguswa na maji kabisa maana uko karibu na kibawa cha nyuma mwisho ambako eneo hilo still lilikuwa hewani. Its likely dogo alipanda akawa anauvuta mlango kwa nje.
Leo nimepata taatifa mtoto wa shemeji yangu alikuwa humo na mkevwake na mtoto, aisee wa nyumbani kabisa kijiji kimoja, na wote waliokolewa nimesimuliwa nikalia sana.
Misijaongea nae binafsi hana simu, lakini pia wameongozana kuzika mfanyakazi mwenzao walokuwa nao kwenye ndege wakirudi lazima huyo kijana anisimulie humo ndani ya ndege nini kilitokea. Atakacho nisimulia nitakuja kukiandika hapa. Leo nimelia sana yule kijana na familiya yake wote wameokoka huyu Mungu wacha aitwe Mungu
 
Ndege imezama ikiwa inaenelekea ziwani siyo Nchi Kabisa kaka the different direction ya landing, Ingeanguka ikiwa direction ya mwanza to Bukoba hoja yako ingekuwa na mashiko ila Imedondoka ikiwa Inatoka kwenye Run way to lake! kumbuka mi ni CCM na mtetezi wa serikali mengine sitayaandika ila Hakuna cha ndege kuishiwa mafuta cc Pascal Mayalla
 
Kijana waa shemeji yangu na mkewe na mtoto wao walikuwa humo na wote wamepona nasubiri wakae sawa wakitoka.msiba wa mfanyakazi mwenzao watanisimulia hali halisi ilikuwaje humo ndani.
 
Pengine swali la msingi hapa ni je why haipiti miaka mitano lazima ziwa victoria liondoke na watu?kuna Siri gani?...kuna matambiko ya damu tunafanya? Sisi si ndo nchi ambayo albino wanauwawa kutafuta Utajiri?..
Watani zangu wakubwa Wahaya jibuni upesi hili Swali kabla ya Mimi Mzanaki kulijibu na kutoa SiRI zenu sawa?
 
TunasuBiri kastory hako
 
we mwenyewe unahusika kwenye hilo ziwa kwani si la wahaya tu...
Watani zangu Wahaya mmezidi kuwa na Nuksi hasa kwa hilo Ziwa na ndiyo maana Mabalaa ni kila Siku tu. Kwanini msituige Wazanaki, Wakurya, Wajaluo na Wajita kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) ambao hatuna Nuksi kama nyie na ni wacha Mungu mno?
 
Uwanja wa Bukoba haina control tower, marubani wakati wa kuruka na kutua wanaongozwa na control tower ya mwanza. Je mamlaka ya anga iliwahi kuionya serikali juu ya mapungufu ya uwanja?
Serikali ipi hiyo labda uliyonayo ambayo inapokea Ushauri? Labda Ushauri wa Kuongeza Kodi na Tozo kwa Watanzania ndiyo Utakubaliwa na Kupokelewa kwa haraka.
 
Mnatokaje wazima na umeambiwa ile ndege ilijikita kwa mbele na waliokuwa mbele walishazingirwa na maji? Waliokuwa salama na waliokaa nyuma tu, au wewe huelewi?
 
Achilia mbali kioo cha ndege, umewahi kuvunja kioo cha gari kwa kutumia mti...?
 
Mnatokaje wazima na umeambiwa ile ndege ilijikita kwa mbele na waliokuwa mbele walishazingirwa na maji? Waliokuwa salama na waliokaa nyuma tu, au wewe huelewi?
Hivi Watu Smart kama Wewe ( Nyie ) huwa mnapata wapi muda wa Kujibizana na Wapumbavu Waandamizi hapa JamiiForums kama huyo?
 
🤔🤔🤔🤔
 
Hivi Watu Smart kama Wewe ( Nyie ) huwa mnapata wapi muda wa Kujibizana na Wapumbavu Waandamizi hapa JamiiForums kama huyo?
Nawangojea watani waseme, nitajua kama uchawi unaweza kuvuka ziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…