Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Unajua tofaut ya kumwaga mafuta na kuishiwa mafuta? Au umesoma kwa haraka!
Labda nikazie. Kwa vile haikuwa ajari ya ghafla, had inajimwaga majini, ruban alishamwaga mafuta na kuzima engine ili ianguke bila kulipuka!
Wakati wewe ukikusanya conspiracies zako mi niko kwenye uhalisia wa kwanin tairi hazikutoka!
hata zunguka zunguka yote ile ni tairi zitoke.
sio hali ya uwanja kama tunavyoaminishana.
wewe una maswali mengi mi machache.
Na kwa taarifa tu ndege haikuanguka hata ikiwa usawa wa kuulenga uwanja, ilikuja tu mwambao wa ziwa. Labda kwavile picha imeangalia kisiwa musira inakupotosha!
TAIRI wamezitoa jana zilibaki majini hivo hata wewe una conspiracy zisizo halisi maana Tairi zilibaki majini
 
TAIRI wamezitoa jana zilibaki majini hivo hata wewe una conspiracy zisizo halisi maana Tairi zilibaki majini
Kuhusu tair kutotoka wakat inaanguka niko level ya eye witnessing.
Ungekuwa bukoba ningekuelekeza ukusanye wap habar mwalon nyamkaz. Kuna ambao walianza kusogea ndege ilipoanguka kabla hata haijatouch maji. Suala la ...hii ni ajar .. lilikuwa wazi wakat inashuka.
Sema hatupend kutajana kwa sabab nying mana siasa zimeshaingiamo.
 
Kuhusu tair kutotoka wakat inaanguka niko level ya eye witnessing.
Ungekuwa bukoba ningekuelekeza ukusanye wap habar mwalon nyamkaz. Kuna ambao walianza kusogea ndege ilipoanguka kabla hata haijatouch maji. Suala la ...hii ni ajar .. lilikuwa wazi wakat inashuka.
Sema hatupend kutajana kwa sabab nying mana siasa zimeshaingiamo.
Sisemi hovyo na ukiona nimeweka uzi Nina maana yangu Mmetumwa Ku neutralize ishu ionekane precision ndo mbovu ila ukweli uzembe Upo pale pale wa serikali
 
Sasa mhudumu wa ndege si alikuwa ndani, af isitoshe mlango wa nyuma wa ndege ulikuwa haujaguswa na maji kabisa maana uko karibu na kibawa cha nyuma mwisho ambako eneo hilo still lilikuwa hewani. Its likely dogo alipanda akawa anauvuta mlango kwa nje.
Leo nimepata taatifa mtoto wa shemeji yangu alikuwa humo na mkevwake na mtoto, aisee wa nyumbani kabisa kijiji kimoja, na wote waliokolewa nimesimuliwa nikalia sana.
Misijaongea nae binafsi hana simu, lakini pia wameongozana kuzika mfanyakazi mwenzao walokuwa nao kwenye ndege wakirudi lazima huyo kijana anisimulie humo ndani ya ndege nini kilitokea. Atakacho nisimulia nitakuja kukiandika hapa. Leo nimelia sana yule kijana na familiya yake wote wameokoka huyu Mungu wacha aitwe Mungu
 
Mimi sio mtaalamu ila kwa jinsi nilivyosikia wahanga ni wazi katika mizunguko iliyofanya muda hakuwa na mafuta ya kutosha katika jaribu la mwisho ni wazi ndege ilikuwa haina mafuta ndio ikazima na ilikuwa ina approach runway mimi nadhani kuna kiuzembe fulani lakini wataalamu watakuja na report na kama sio mafuta itakuwa instruments imefail sababu sio rahisi kuikosa runaway kwa kuwa ndege zina GPS ila hili la mafuta nadhani lina ukweli nahisi sababu walisema walizunguka sana Bukoba sasa walijaza kiasi gani na walitembea kiasi gani..
Ndege imezama ikiwa inaenelekea ziwani siyo Nchi Kabisa kaka the different direction ya landing, Ingeanguka ikiwa direction ya mwanza to Bukoba hoja yako ingekuwa na mashiko ila Imedondoka ikiwa Inatoka kwenye Run way to lake! kumbuka mi ni CCM na mtetezi wa serikali mengine sitayaandika ila Hakuna cha ndege kuishiwa mafuta cc Pascal Mayalla
 
Nimeamin Media zina nguvu ile ile katika kueneza ukweli au uongo.
Kuna mambo(facts) ningependa yasiwe sehem ya kuhoji sana kuhusu hali ilikuwaje sekunde chache kabla ya ajari. Niyaweke hapa. Haya ni non disputable, achana na hearsay.
1. Hali ya hewa (visibility) ilikuwa nzuri licha ya kuwepo mvua wakat huo.
2. Ndege ilishuka ikiwa tayar imezima kama tu ndegejoni. Ndan giza, hata mafuta ilishamwaga yote.
3. Ndege ilishuka nje kabsa ya mwelekeo wa uwanja ulivyo ikitokea nyabesiga.
4. Tairi zote hazikuwa zimetoka. Yani zote!
Wakat ruban anakarbia chini alilaza bawa ndo lilianza ndo ikaangalia musira. Kwa mwalon ruban ni shujaa maana alikwepesha asizivae nyumba za pale.
5. Majaliwa si shujaa pekee hasa wa kuingia kwenye ndege kuokoa ila alikuwa mmojawao. Walikuwa 4. Baada ya kupigwa na kamba (baadae sana katika kujarib kuivuta) na kuzimia akakimbizwa na manusura wengine hospital ushujaa wake ukaanzia hapo mana wengine walikuwa eneo la tukio wakiendelea. Kiuhalisia haiko kama wanavyosimulia wa hearsay.
6. Ajari ya ndege hii haina uhusiano wowote na uwanja hata kama uwanja una mapungufu yake tena yanayoathiri ndege kubwa za ATCL.
Pale nyamkazi mwalon kuna shuhuda hasa wa tukio hili mana aliiona ajari kabla hata ndege haijafika majini na akajipanga kuokoa. (Ndiye aliyeingia wa kwanza kwenye ndege ikiwa giza tupu). Alimchukua na majaliwa.
Kifup tu shujaa wa ajari hii amekufa.....ruban!
Tunasubiri ripot ya wataalam lakin kuna facts sio za siri wala kubishaniwa maana ilikuwa hivyo. basi tu ajari ikawa imeingiliwa na siasa kama kawaida yetu.
Huwa naangalia kipindi cha air crash investigation NAT GEO. Nataman kuona ya hii nioanishe na uhalisia.
Kijana waa shemeji yangu na mkewe na mtoto wao walikuwa humo na wote wamepona nasubiri wakae sawa wakitoka.msiba wa mfanyakazi mwenzao watanisimulia hali halisi ilikuwaje humo ndani.
 
Pengine swali la msingi hapa ni je why haipiti miaka mitano lazima ziwa victoria liondoke na watu?kuna Siri gani?...kuna matambiko ya damu tunafanya? Sisi si ndo nchi ambayo albino wanauwawa kutafuta Utajiri?..
Watani zangu wakubwa Wahaya jibuni upesi hili Swali kabla ya Mimi Mzanaki kulijibu na kutoa SiRI zenu sawa?
 
Leo nimepata taatifa mtoto wa shemeji yangu alikuwa humo na mkevwake na mtoto, aisee wa nyumbani kabisa kijiji kimoja, na wote waliokolewa nimesimuliwa nikalia sana.
Misijaongea nae binafsi hana simu, lakini pia wameongozana kuzika mfanyakazi mwenzao walokuwa nao kwenye ndege wakirudi lazima huyo kijana anisimulie humo ndani ya ndege nini kilitokea. Atakacho nisimulia nitakuja kukiandika hapa. Leo nimelia sana yule kijana na familiya yake wote wameokoka huyu Mungu wacha aitwe Mungu
TunasuBiri kastory hako
 
we mwenyewe unahusika kwenye hilo ziwa kwani si la wahaya tu...
Watani zangu Wahaya mmezidi kuwa na Nuksi hasa kwa hilo Ziwa na ndiyo maana Mabalaa ni kila Siku tu. Kwanini msituige Wazanaki, Wakurya, Wajaluo na Wajita kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) ambao hatuna Nuksi kama nyie na ni wacha Mungu mno?
 
Uwanja wa Bukoba haina control tower, marubani wakati wa kuruka na kutua wanaongozwa na control tower ya mwanza. Je mamlaka ya anga iliwahi kuionya serikali juu ya mapungufu ya uwanja?
Serikali ipi hiyo labda uliyonayo ambayo inapokea Ushauri? Labda Ushauri wa Kuongeza Kodi na Tozo kwa Watanzania ndiyo Utakubaliwa na Kupokelewa kwa haraka.
 
We kima tulia upapaswe. Kama milango ya nyuma isingeingiza maji basi watu wote wangetoka wazima kabisa. Hukusikia kwamba waokozi waliingia halafu maji yakawa wanaongezeka hadi kima cha shingo wakaamua kutoka. Kwamba hukuona kabisa kwamba nusu ya ndege ilikua kwenye maji. . Tuliza mshono hudumia familia we mama haya mambo ni magumu sana kwako

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mnatokaje wazima na umeambiwa ile ndege ilijikita kwa mbele na waliokuwa mbele walishazingirwa na maji? Waliokuwa salama na waliokaa nyuma tu, au wewe huelewi?
 
Kuna kitu very fishy kwenye jambo hili.


Ningekuwa na mamlaka, huyu aliyeanzisha thread hii tungekuwa tumeshaanza kubadilisha mawazo, asingetoka pembeni yangu kwa siku kadhaa. He has all the clues

Naanza kupata hint kwa nini yule kijana mwokoaji alizuiwa kuvunja kioo kuwaokoa marubani! Watu hawa waliofanya hivi wanatakiwa kuwa wa kwanza kuhojiwa
Achilia mbali kioo cha ndege, umewahi kuvunja kioo cha gari kwa kutumia mti...?
 
Mnatokaje wazima na umeambiwa ile ndege ilijikita kwa mbele na waliokuwa mbele walishazingirwa na maji? Waliokuwa salama na waliokaa nyuma tu, au wewe huelewi?
Hivi Watu Smart kama Wewe ( Nyie ) huwa mnapata wapi muda wa Kujibizana na Wapumbavu Waandamizi hapa JamiiForums kama huyo?
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom