Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Nimekusoma naona ni kama vile unataka kuaminisha kwa hisia zako washindani wa Precision wanahusika kwenye hii ajali, jambo ambalo siliafiki, ajali mara nyingi huwa haichagui pakutokea, wala muda.

Masuala mengine kama muda wa uokoaji kuwa mrefu, na kufungia uwanja hapo nakubaliana nawe, naona kama Majaliwa alikurupuka jambo litakalosababishia usumbufu abiria na watumiaji wengine wa uwanja wa ndege wa Bukoba.

Kuhusu machozi ya mtendaji/bosi wa Precision yanaweza kuwa ni hisia za kibinadamu tu, wala sio sababu za kibiashara kama unavyodhani, uhai wa mwanadamu una thamani zaidi ya ushindani wa kibiashara, usiusemee moyo wa mtu.
Hiyo ni kwako mkuu.

Wapo ambao biashara na pesa kwao zina thamani kuliko hata uhai wa mama zao, sembuse mpinzani wake kibiashara.
 
Kwa jinsi serikali ilivyoshughulikia hili suala hata mimi napata mashaka juu ya hii ajali.
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Mimi sio mtaalamu ila kwa jinsi nilivyosikia wahanga ni wazi katika mizunguko iliyofanya muda hakuwa na mafuta ya kutosha katika jaribu la mwisho ni wazi ndege ilikuwa haina mafuta ndio ikazima na ilikuwa ina approach runway mimi nadhani kuna kiuzembe fulani lakini wataalamu watakuja na report na kama sio mafuta itakuwa instruments imefail sababu sio rahisi kuikosa runaway kwa kuwa ndege zina GPS ila hili la mafuta nadhani lina ukweli nahisi sababu walisema walizunguka sana Bukoba sasa walijaza kiasi gani na walitembea kiasi gani..
 
Inawezekana upo sahihi mkuu, ila waliopona katika ajali bado sijasikia hata mmoja akimuongelea shujaa majaliwa. Nimemsikiliza mama mmoja BBC anasema alikaa seat za nyuma na aliyefungua mlango ni muhudumu wa ndege...
Sasa mhudumu wa ndege si alikuwa ndani, af isitoshe mlango wa nyuma wa ndege ulikuwa haujaguswa na maji kabisa maana uko karibu na kibawa cha nyuma mwisho ambako eneo hilo still lilikuwa hewani. Its likely dogo alipanda akawa anauvuta mlango kwa nje.
 
Mimi sio mtaalamu ila kwa jinsi nilivyosikia wahanga ni wazi katika mizunguko iliyofanya muda hakuwa na mafuta ya kutosha katika jaribu la mwisho ni wazi ndege ilikuwa haina mafuta ndio ikazima na ilikuwa ina approach runway mimi nadhani kuna kiuzembe fulani lakini wataalamu watakuja na report na kama sio mafuta itakuwa instruments imefail sababu sio rahisi kuikosa runaway kwa kuwa ndege zina GPS ila hili la mafuta nadhani lina ukweli nahisi sababu walisema walizunguka sana Bukoba sasa walijaza kiasi gani na walitembea kiasi gani..
Ukiniuliza sababu hata mimi nitakujibu ni likely ndege ilikuwa ina run low on fuel kwa maana waliweka wese la kidebe hali ya hewa ikawa sio rafiki ikawalazimu wazuge zuge hewani ila sasa walikuwa wanatembelea reserve kwa maana taa ya wese ilikuwa inawaka toka wameanza ku roam.

Mwisho ndio rubani anaambiwa akaitue Mwanza akicheki wese halitoboi akawaambia control room wakasema bora akaidondoshee kwenye maji tu haina jinsi. Maana anageishusha kwenye mawe ya Mwanza yale asingetoka mtu ingekuwa balaa zito.
 
Na mm najiuliza maswali yafuatayo:. 1.Kwann rubani alizunguka muda mrefu akitafuta kutua kwann asingerudi Mwanza ?Au Chato?Kwann Ilikuwa lazima kutua Bukoba tu hata Kama hali ya hewa ni mbaya?3.Je ndege za bongo huwa hazina akiba kubwa ya mafuta ili Kama hali ya hewa sio nzuri basi mrudi mbali zaid kuokoa maisha?
Ndege haikuwa na mafuta ile. Sidhani kama kuna ishu ingine zaidi
 
Kuna mambo mawili, tyre ziligoma ama wese la kurudi Mwanza lilikuwa halimfikishi.
Itakuwa ni tairi ziligoma kutoka na siyo hali ya hewa kama tulivyoelezwa. Ingekuwa hali ya hewa, angeweza kwenda hata Chato! Sema business!
 
Unadhani wataiacha, wanaweza kusingizia hata imeliwa na mamba 😂😂😂 kama ile engine ya Scania pale mto Wami.
wahuni wanaweza kuiiba mchezo ukaishia hapo hahahahaha
 
Ubongo wangu umegoma!!
Hii ajali ni ya mchongo!

Ilikuwa lazima rubani are asisanue ukweli!

Dogo majaliwa alijikuta ICU baada ya kuchapwa na kamba na sio kofi la ki anatomy!!

Labda kuna kampuni MPYA ya ndege loading ya twafa gass!?


0101 wanajua VIZURI Sana!

Over

Written!
Dogo alipigwa na kamba akazimia 😂😂😂 hii story imekaa kimchongo sana
 
You're genius as I'm 😎

Wazo langu la kwanza lilikuwa ni kuishiwa mafuta.

Nikawaza pia nguvu za giza, wale watoa makafara, niliwawaza sana

Nikawaza hasira ya Mungu kwamba mlitaka muingie ibadani, japo God ni wa rehema muda wote.

Nikawaza wale pia wajitoa mhanga, na vile tunawaleta akina mjomba huku tuiharibu hii precision ili tuje na ndege zetu.

Nikawaza yule dada aliyekuwa anaenda kutambulishwa, mchaga na mhaya its parallel never meet.

Nikasikia idadi ya wahanga na halisi pia havina uhusiano? nani kazidi, ndege siyo treni kwamba kajichomeka.

Pia nikasikia watu waliofariki walivyoumia sana sana nikasema nini kilikuwa ndani ya ndege?


Nikashangaa boss alivyotoa machozi as if was something to avoid why these?

Kijana Majaliwa sasa alivyokuwa analia pale anapewa ili milioni ya mwanzo, as if anasema I was supposed to do more.

Yote ndani ya yote tumpe MUNGU HESHIMA NA UTUKUFU.
 
Kati ya wote aliyepuyanga ni Mkuu wa Mkoa na yule Mama sijui Afisa wa Uwanja.

Hii video imeumiza sana Moyo wangu,inakuwaje watu wapo kwenye maji halafu anayesoma taarifa na wenzake pembeni wanacheka kama ni jambo la kawaida.

Wabarikiwe sana Wavuvi na Wananchi wote kwa ushupavu na Moyo wa kila namna katika kuokoa wenzetu 26.

Mtu anatusome majina hovyo hovyo kama kitu cha kawaida.

Yule Mkurugenzi wa PA, hakika kifua chake kimebeba mengi mno.

Wamulikwe wote walioleta utani kwa siku ya
Hivi ile video mama anaeelezea kutokea ajali mara sehem nyingine anasema sio ajali ni zoezi, ni video ya ajali ya juzi au ni ya zamani kidogo? Maana nitandaoni kuna mengi, hiyo video ilisambaa siku ya ajali bukoba.
 
You're genius as I'm 😎

Wazo langu la kwanza lilikuwa ni kuishiwa mafuta.

Nikawaza pia nguvu za giza, wale watoa makafara, niliwawaza sana

Nikawaza hasira ya Mungu kwamba mlitaka muingie ibadani, japo God ni wa rehema muda wote.

Nikawaza wale pia wajitoa mhanga, na vile tunawaleta akina mjomba huku tuiharibu hii precision ili tuje na ndege zetu.

Nikawaza yule dada aliyekuwa anaenda kutambulishwa, mchaga na mhaya its parallel never meet.

Nikasikia idadi ya wahanga na halisi pia havina uhusiano? nani kazidi, ndege siyo treni kwamba kajichomeka.

Pia nikasikia watu waliofariki walivyoumia sana sana nikasema nini kilikuwa ndani ya ndege?


Nikashangaa boss alivyotoa machozi as if was something to avoid why these?

Kijana Majaliwa sasa alivyokuwa analia pale anapewa ili milioni ya mwanzo, as if anasema I was supposed to do more.

Yote ndani ya yote tumpe MUNGU HESHIMA NA UTUKUFU.
Aliyenishangaza ni yule wa Juzi aliyesema yeye alijiokoa lakini jina lake ni miongoni mwa wale marehemu walioagwa na kusafirishwa
 
You're genius as I'm 😎

Wazo langu la kwanza lilikuwa ni kuishiwa mafuta.

Nikawaza pia nguvu za giza, wale watoa makafara, niliwawaza sana

Nikawaza hasira ya Mungu kwamba mlitaka muingie ibadani, japo God ni wa rehema muda wote.

Nikawaza wale pia wajitoa mhanga, na vile tunawaleta akina mjomba huku tuiharibu hii precision ili tuje na ndege zetu.

Nikawaza yule dada aliyekuwa anaenda kutambulishwa, mchaga na mhaya its parallel never meet.

Nikasikia idadi ya wahanga na halisi pia havina uhusiano? nani kazidi, ndege siyo treni kwamba kajichomeka.

Pia nikasikia watu waliofariki walivyoumia sana sana nikasema nini kilikuwa ndani ya ndege?


Nikashangaa boss alivyotoa machozi as if was something to avoid why these?

Kijana Majaliwa sasa alivyokuwa analia pale anapewa ili milioni ya mwanzo, as if anasema I was supposed to do more.

Yote ndani ya yote tumpe MUNGU HESHIMA NA UTUKUFU.
Hii kitu inachanganyà na waliookoka hawatasema.

Mimi nikawaza hilo la mafuta..... jibu nikaona hapana hii ndege wana bei zao kubwa wanaweza kuweka mafuta ya bajeti?

Kwa nini rubani alikuwa akizurula kyaka huko kote kwa nini hakurudi mwanza?

Au ni kweli ndege ilipata shida angani akashindwa jinsi ya ku land?

Au ni kweli kuwa tires za ndege zilishindwa kutoka ndo akaona hata akienda mwanza tatizo ni lile lile bora aipeleke ziwani kuzima ingine kuepuka mlipuko akitua nchi kavu?

Kwa nini yule mtoto azuiliwe kuvunja kioo?

Hali ya hewa ilikuwa mbaya? Nooo angerudi mwanza

Ushirikina? Kwamba yule binti asiolewe? Roho zile zote zife kisa mtu mmoja asiolewe? Huruma iko wapi hapa duniani kwa nini haya mateso yote ewe Munngu? Watu tunachukiana kiasi hiki?

Kama hii ajali ina chembe chembe za ushirikina basi umenikumbusha kitu, siku zilizopita kulitokea ajali kijiji kimoja huko, kwenye hilo gali kulikuwemo dada mmoja, basi shuhuda wa kwanza alipofika akamuona huyo dada maana anajulikana akampigia simu kaka yake wa damu ni tajiri akimwambia alete gari dada yake kaumia sana, nasikia alifurahiya habari hiyo akamjibu wengine wote wapone huyo afe na kweli gari lote walipona kasoro dada yake.

Ewe Mungu nusuru bukoba majanga makubwa yanatokea bukoba, mara tetemeko, mv bukoba, sasa ndege jaman.
 
Majibu yatapatikana kutoka chumba cha kuongozea ndege, kupitia mawasiliano ndani ya lisaa 1 kabla ya ajali kutokea. Yale majadiliano, yataonyesha hali halisi ya kilichotokea.
Majadiliano una uakika kwa sasa yapo? Yashapotezwa kaa kwa kutulia.
 
Hii kitu inachanganyà na waliookoka hawatasema.

Mimi nikawaza hilo la mafuta..... jibu nikaona hapana hii ndege wana bei zao kubwa wanaweza kuweka mafuta ya bajeti?

Kwa nini rubani alikuwa akizurula kyaka huko kote kwa nini hakurudi mwanza?

Au ni kweli ndege ilipata shida angani akashindwa jinsi ya ku land?

Au ni kweli kuwa tires za ndege zilishindwa kutoka ndo akaona hata akienda mwanza tatizo ni lile lile bora aipeleke ziwani kuzima ingine kuepuka mlipuko akitua nchi kavu?

Kwa nini yule mtoto azuiliwe kuvunja kioo?

Hali ya hewa ilikuwa mbaya? Nooo angerudi mwanza

Ushirikina? Kwamba yule binti asiolewe? Roho zile zote zife kisa mtu mmoja asiolewe? Huruma iko wapi hapa duniani kwa nini haya mateso yote ewe Munngu? Watu tunachukiana kiasi hiki?

Kama hii ajali ina chembe chembe za ushirikina basi umenikumbusha kitu, siku zilizopita kulitokea ajali kijiji kimoja huko, kwenye hilo gali kulikuwemo dada mmoja, basi shuhuda wa kwanza alipofika akamuona huyo dada maana anajulikana akampigia simu kaka yake wa damu ni tajiri akimwambia alete gari dada yake kaumia sana, nasikia alifurahiya habari hiyo akamjibu wengine wote wapone huyo afe na kweli gari lote walipona kasoro dada yake.

Ewe Mungu nusuru bukoba majanga makubwa yanatokea bukoba, mara tetemeko, mv bukoba, sasa ndege jaman.
Na tumjadili pia yule aliyeambiwa kuwa sasa umekua kafanye kazi.

Si tulimuona akiabudu kuleee pia yule yuko huko huko kanda ya ziwa,

Je, ndo amekua kwa damu zote hizo?

Mbona pia katazo la kubomoa mlango alilitoa yeye? nini alikuwa anawaza?
 
Na mm najiuliza maswali yafuatayo:. 1.Kwann rubani alizunguka muda mrefu akitafuta kutua kwann asingerudi Mwanza ?Au Chato?Kwann Ilikuwa lazima kutua Bukoba tu hata Kama hali ya hewa ni mbaya?3.Je ndege za bongo huwa hazina akiba kubwa ya mafuta ili Kama hali ya hewa sio nzuri basi mrudi mbali zaid kuokoa maisha?
Ama chato kiwanja hakifanyi kazi maana pale ni chap tu angeenda ama nae alikua analazimisha kushuka pale
 
Back
Top Bottom