Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Precision Air umiliki mkubwa unatoka shirika la ndege Kenya Airways pamoja na baadhi ya watanzania waliokuwa wanasuasua kuliendesha.

Nafikiri vita anayopigwa PM kuna watu ndani ya CCM wanamtaka mtu wao awe hapo ili kufanikisha uovu uiokusudiwa.
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Tupe mtazamo wako sasa
 
Simply. The plane was being set for an accident.. lazima ingetokea tuu.. sisi waafrika hatuna kasumba ya kujiandaa na maafa.. mfano, ndege imeekwa mafuta ya kwenda bukoba tuu.. na ilipitia mwanza.. kwanini hawakukagua mafuta na kutambua kwamba yangetosha for any emergency perceived? Kwa sababu lazima waliambiwa kua mvua inanyesha bukoba.. kama rubani angechagua kurudi mwanza all 43 peoples would have died in a horrible accident.. at least alifanya maamuzi ya kiume kutua kwenye maji. Amesave 26 souls.
 
Ajali yoyote narudia YOYOTE ya ndege lazima chanzo ijulikane kwa sababu kunakifaa inafanya kazi ya kurekodi mfumo mzima wa ufanyaji kazi kuanzia ndege inaporuka mpaka pale inapotua hata kama ndege itaungua yote hicho kifaa lazima kibaki salama, hakuna ajali ya ndege iliyowahi kutokea na ikashindwa kujulikana chanzo cha ajali labda ndege iwe imepotea na isijulikane imedongoka wapi kama wameshindwa kufanya uchunguzi waombe msaada kwa nchi zingine hatutaki siasa kwenye uhai wa watu wetu, assume kwenye hii ajali ingekuwa kunafamilia ya kiongozi moja mkubwa wangetoa taarifa ya kipuuzi kama hii wanayotuletea bado hainiingii akilini,You came from no where you give you're ga damn speech mother fucker utaziba pengo la waliokufa?
 
Simply. The plane was being set for an accident.. lazima ingetokea tuu.. sisi waafrika hatuna kasumba ya kujiandaa na maafa.. mfano, ndege imeekwa mafuta ya kwenda bukoba tuu.. na ilipitia mwanza.. kwanini hawakukagua mafuta na kutambua kwamba yangetosha for any emergency perceived? Kwa sababu lazima waliambiwa kua mvua inanyesha bukoba.. kama rubani angechagua kurudi mwanza all 43 peoples would have died in a horrible accident.. at least alifanya maamuzi ya kiume kutua kwenye maji. Amesave 26 souls.
Acha ujinga ndege Tatizo si mafuta
 
Precision Air umiliki mkubwa unatoka shirika la ndege Kenya Airways pamoja na baadhi ya watanzania waliokuwa wanasuasua kuliendesha.

Nafikiri vita anayopigwa PM kuna watu ndani ya CCM wanamtaka mtu wao awe hapo ili kufanikisha uovu uiokusudiwa.
Makamba nadhani
 
nakubaliana na wewe pia, inawezekana technical issues zilimlazimisha kutua kibabe japo hali haikuwa hali.

Kama alikuwa na wese la kutosha kufika Mwanza sidhani kama pilot mzoefu anaweza kutake risk huku akijua kwenye aviation hakuna kubahatisha... lipo lililomlazimisha kulazimisha kutua Bukoba tena ziwani...

Kama sio uzembe wake basi pilot, basi ni technical issues zilimuogopesha kwenda Mwanza maana alihisi asingetoboa na angeweza kuangukia pabaya na madhara yangekuwa makubwa, option pekee kuforce kutoa bukoba na hizo hizo technical problem zikaleta failure in landing gear, the only option ikawa ditching in safe location...
Kuna kitu very fishy kwenye jambo hili.


Ningekuwa na mamlaka, huyu aliyeanzisha thread hii tungekuwa tumeshaanza kubadilisha mawazo, asingetoka pembeni yangu kwa siku kadhaa. He has all the clues

Naanza kupata hint kwa nini yule kijana mwokoaji alizuiwa kuvunja kioo kuwaokoa marubani! Watu hawa waliofanya hivi wanatakiwa kuwa wa kwanza kuhojiwa
 
Kwanza kabisa ningekua mim ndio ningekua dictator uchwala.
RPC ningemtimua, maaskari wote walokua wamesimama eneo la tukio ningemtimua.
Mkuu wa mkoa ningemtimua.
Na huyo alikuepo control tower yeye pia natimua
Kutimua tu basi?
 
Na mm najiuliza maswali yafuatayo:. 1.Kwann rubani alizunguka muda mrefu akitafuta kutua kwann asingerudi Mwanza ?

Inasemekana aliambiwa apige round ili watafute namna ya ku-resolve malfunction.

Au Chato?Kwann Ilikuwa lazima kutua Bukoba tu hata Kama hali ya hewa ni mbaya?
Economic factor.

3.Je ndege za bongo huwa hazina akiba kubwa ya mafuta ili Kama hali ya hewa sio nzuri basi mrudi mbali zaid kuokoa maisha?
Alizunguka angani kwa muda, alipoona no help, akaamua atumie method of first principle. Understood, now?
 
Huu ni uzembe na kuchezea uhai wa watu

Hivi watu wa CONTROL na Airport kwa ujumla walishindwa nini kuandaa emergence rescue team wakati ndege ipo hewani mara baada ya kutokea hitilafu?

Unawezaje kumuelekeza Rubani kwenda ziwani halafu ndegee inakaa 2 hrs kwenye maji bila kuokolewa.

Ni wakati wa jeshi na serikali kujiimarisha kwenye upande wa dharura, ajali haiwezi kutokea mjini kabisa alafu hakuna team yoyote iliyofika kuokoa, tuache kusubiri maafa ilo tutoe pole tunaweza kuzuia na kupunguza athari
Unaishi ndotoni amka.

Huwa nashangaa sana watu wenye akili nzito kama wewe bado mnaishi.

Umeshaambiwa hapo kuna CONSPIRACY. Elewa.
 
Majibu yatapatikana kutoka chumba cha kuongozea ndege, kupitia mawasiliano ndani ya lisaa 1 kabla ya ajali kutokea. Yale majadiliano, yataonyesha hali halisi ya kilichotokea.
Baja baja wataeema umeme ulikatika au harddisc ya server ilijaa so no record hadi kwenye blackbox na sijasikia kama imepatikana au lah
 
Kwakweli mkuu, nimesikiliza almanusura watatu mpaka sasa sisikii hata mmoja akizingumza jambo linalofanana na alichofanya majaliwa...
Mtu Mpaka ana faint kwenye maji sio kitu cha kubeza angeweza kupoteza maisha yake pale
 
Back
Top Bottom