Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

tutasema mengi lkn ajali ni ajali tu ndo maana tunasema ajali haina kinga.kwangu simlaumu mkuu wa mkoa kwa lolote lile na nina sababu za msingi.kwangu tatizo ni la kimifumo tu.tuzidi kumwomba Mungu kwa wote walioguswa na msiba huu kwa namna moja au nyingine wapate faraja na nguvu hasa kwa kipindi kigumu kama hiki.
Sawa kabisa nitatizo la kimifum, Ili nasisi tusimlaum naomba majibu ya maswali yafuatayo;

1:Mifumo imeshuka kutoka Mbinguni?

2:Je mkuu wa mkoa Yuko nje ya mifumo
hiyo?
3:mkuu wa mkoa ndie mwenye Kiti wa kamati ya ulinzi na usalama , kwenye eneo husika , tunawezaje kumtenga na hiyo Mifumo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wenzetu huwa mnatumia akili katika kuchakata taarifa hizi kweli?.

Ndege ijipige chini kwa style ile afu Rubani awe mzima na akupungie mkono? Mna akili sawasawa? Mmewahi kuogelea au kupata shida kwenye maji?

Yule dogo ni muongo, kwa sisi watu wa maji, mm nimeishi na nimewahi kuvua na hata kushindana kuogelea kuvuka eneo moja kwenda lingine, (wakazi wa Mtwara wanapajua VERANI hapo tumevuka sana kwenda MSANGA MKUU)
Nayajua maji, nayajua maji tena nayajua maji.

Maelezo ya walionusurika ndio Sahihi kwa watu wenye akili.

1. Ndege ilipoangua tu, maji yalijaa upande wa mbele na wote walishafunikwa na Maji. Unaweza kujinasua kwenye maji yaliyojaa huku umefunga mkanda wa Siti?

2. Wahudumu wa Ndege ndio waliofungua milango na hata hao abiria walipoanza kutoka nje hakukuwa na mtu yeyote aliyekuwepo kiasi kwamba waliogopa labda watazama majini pia.

Yule dogo sio kwamba yy ndio aliefungua mlango, huwezi fungua mlango ule ukiwa unaelea kwenye maji, mm nimeogolea unapoogelea unakosa balance ya kupiga kitu chochote kwa maana unakosa balance, dogo katupiga kamba na tulivyowajinga na tusiotumia akili tunahitimisha kuwa dogo alifunya mlango wa ndege kwa kasia.

Tunapopata taarifa kama hizi tutumie akili zetu just a common sense tu.

Ukiingalia ndege utagundua mshindo wake ulikuwa mkubwa na hakukuwa na uwezekano wowote wa Marubani kupona kwa maana hata pua ya ndege ilishavunjika na maji yalijaa na mbaya wao ndio walikuwa chini zaidi kuliko wenzao.
CARDLESS, ASANTE SANA.
Kwa uchambuzi yakinifu. Na ndio maana nilinena kwamba viongozi wetu hata aliyeamuru kijana kupewa nafasi ya kazi Jeshi la maji ni kikurupuka!
Uweke aliyeko kwenye maji afungue mlango.
Mlango ulifunguliwa kutoka ndani!

Kwa muonekano wa eneo la mbele hasa Kwa marubani angewezaje kufika mtu pale tena kutoka nje!?
Kuweni wakweli wa mambo sifa za uwongo.
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Na mm najiuliza maswali yafuatayo:. 1.Kwann rubani alizunguka muda mrefu akitafuta kutua kwann asingerudi Mwanza ?Au Chato?Kwann Ilikuwa lazima kutua Bukoba tu hata Kama hali ya hewa ni mbaya?3.Je ndege za bongo huwa hazina akiba kubwa ya mafuta ili Kama hali ya hewa sio nzuri basi mrudi mbali zaid kuokoa maisha?
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Uliyeandika habari hii unafaa kuwa kwenye chama cha wale shushushu

Kwa sababu kuna taswira / lugha ya picha inakuja vile umeandika haya
 
Acheni wivu wa kike,
Iwe alifungua,hajafungua ndo katoboa hivyo.
Uthubutu wa ajali ile kuwepo pale na chochote alichofanya iheshimiwe.
Mbina hajajichagua yeye ni wenzake waliomuokoa ndo wamemtaja kuwa ni shujaa si wangejitaja wao?
Nyie ndo wale mnakuta ajali mnagonga selfie badala ya kuokoa
Punguza makasiriko mkuu na kama nimekukwaza kwa comment yangu mpaka ukaona nina wivu wa kike bado sina budi kuomba unisamehe bure tu. Asante
 
Hivi wenzetu huwa mnatumia akili katika kuchakata taarifa hizi kweli?.

Ndege ijipige chini kwa style ile afu Rubani awe mzima na akupungie mkono? Mna akili sawasawa? Mmewahi kuogelea au kupata shida kwenye maji?

Yule dogo ni muongo, kwa sisi watu wa maji, mm nimeishi na nimewahi kuvua na hata kushindana kuogelea kuvuka eneo moja kwenda lingine, (wakazi wa Mtwara wanapajua VERANI hapo tumevuka sana kwenda MSANGA MKUU)
Nayajua maji, nayajua maji tena nayajua maji.

Maelezo ya walionusurika ndio Sahihi kwa watu wenye akili.

1. Ndege ilipoangua tu, maji yalijaa upande wa mbele na wote walishafunikwa na Maji. Unaweza kujinasua kwenye maji yaliyojaa huku umefunga mkanda wa Siti?

2. Wahudumu wa Ndege ndio waliofungua milango na hata hao abiria walipoanza kutoka nje hakukuwa na mtu yeyote aliyekuwepo kiasi kwamba waliogopa labda watazama majini pia.

Yule dogo sio kwamba yy ndio aliefungua mlango, huwezi fungua mlango ule ukiwa unaelea kwenye maji, mm nimeogolea unapoogelea unakosa balance ya kupiga kitu chochote kwa maana unakosa balance, dogo katupiga kamba na tulivyowajinga na tusiotumia akili tunahitimisha kuwa dogo alifunya mlango wa ndege kwa kasia.

Tunapopata taarifa kama hizi tutumie akili zetu just a common sense tu.

Ukiingalia ndege utagundua mshindo wake ulikuwa mkubwa na hakukuwa na uwezekano wowote wa Marubani kupona kwa maana hata pua ya ndege ilishavunjika na maji yalijaa na mbaya wao ndio walikuwa chini zaidi kuliko wenzao.
Hii ni point pia
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
sirikali inahusika 100%, it was planned maoni yangu kama raia mwema.
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Naweka demo hapa, hali mbaya ya hewa ndiyo iliigeuza ndege that's all.
 
NYUMA YA PAZIA KUNA MCHEZO MCHAFU.

KAFARA.
HUJUMA.
UMAFIA.
BIASHARA.
RUSHWA.
UONGO BILA BLACK BOX.

ILA CASSIM MAJALIWA NI KIONGOZI MUONGO SANA.
AKIWA MSIKITINI ALISEMA JIWE ANAPIGA KAZI MAGOGONI KUMBE JIWE AMEISHA KUFA.

MAJALIWA MUONGO SANA
 
Sikia wewe boya hata sisi tumeogelea pia. Kilichotokea ni kwamba wale abiria wa ndani walikua wanapush mlango ufunguke lakini ukawa umejilock lakini pia pressure ya maji mlango ukawa mzito kufunguka. Yule dogo alichofanya ni kutumia kasia kuwasaifia wale wa ndani kuufungua. Yaani kama ulisoma mambo ya mzigo egemeo na nguvu. Kasia ilisaidia kuuvuta kwa nje huku wale wa ndani wakipushi pia. Mlango ulifunguka watu wakaamza kuyoka na maji yakaanza kuingia.
Sada wewe mishipa inakutoka ya nin mbona akili ndogo tu inatumika kuelewa kilichotokea. Un hasira digo kulamba ajira?.
Kuhusu marubani inaelekea hata hujui namna vyumba vyao vilivojengwa. Maji kuingia ni pole pole sana na hasa yalipitia chini lakini pia kwa kua ilivunjika kichwa labda yalikua na kasi. Na hiyo haizuii kwamba walikua hai kwa muda mrefu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Baada ya mlango kufunguka ikawaje?

Malizia bwashee
 
Sikia wewe boya hata sisi tumeogelea pia. Kilichotokea ni kwamba wale abiria wa ndani walikua wanapush mlango ufunguke lakini ukawa umejilock lakini pia pressure ya maji mlango ukawa mzito kufunguka. Yule dogo alichofanya ni kutumia kasia kuwasaifia wale wa ndani kuufungua. Yaani kama ulisoma mambo ya mzigo egemeo na nguvu. Kasia ilisaidia kuuvuta kwa nje huku wale wa ndani wakipushi pia. Mlango ulifunguka watu wakaamza kuyoka na maji yakaanza kuingia.
Sada wewe mishipa inakutoka ya nin mbona akili ndogo tu inatumika kuelewa kilichotokea. Un hasira digo kulamba ajira?.
Kuhusu marubani inaelekea hata hujui namna vyumba vyao vilivojengwa. Maji kuingia ni pole pole sana na hasa yalipitia chini lakini pia kwa kua ilivunjika kichwa labda yalikua na kasi. Na hiyo haizuii kwamba walikua hai kwa muda mrefu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Presha ipi ya maji we mwehu? Milango ya nyuma yote haikuguswa na maji au hujangalia??
Hujawahi kuogelea na wala huyajui maji, pia hujawahi kupanda ndege kwa namna yoyote ile, usingeongea kijinga hivi.

Maji yaliingilia wapi, wakati wote wametokea milango ya Nyuma na ambayo haikugusa maji kwa kuwa kulikuwa juu? We umeangalia hiyo ndege au umeleta kende zako bila akili??
 
Ubongo wangu umegoma!!
Hii ajali ni ya mchongo!

Ilikuwa lazima rubani are asisanue ukweli!

Dogo majaliwa alijikuta ICU baada ya kuchapwa na kamba na sio kofi la ki anatomy!!

Labda kuna kampuni MPYA ya ndege loading ya twafa gass!?


0101 wanajua VIZURI Sana!

Over

Written!
 
Kwa mtazamo wangu ni Uzembe tu tena wa makusudi - na huu umekomaa tangu enzi za MV Bukoba bado hatujajifunza lolote, sasa hivi tuna kitengo cha kufa na kuzikana na si kitengo cha Maafa na uokoaji.

Ukishakufa mzee yaani matarumbeta kibao - tukubali tu kwamba tuna matatizo katika nchi yetu mambo hayaendi sawa.

Kama hata kuchaguana wenyewe kwa wenyewe tuongozane hatuwezi huko kuokoa wenzetu tutaweza ?
 
Kufungwa uwanja wa Bukoba ni sahihi kwa sababu si Salama, tena ni majuzi tu wametoka kufanya mazoezi ya utayari.

Tuibane serikali tunataka uchunguzi huru wa black box, mbivu na mbichi zipo kwenye black box.
Wafaransa ndio wanachunguza hiyo black box
 
Presha ipi ya maji we mwehu? Milango ya nyuma yote haikuguswa na maji au hujangalia??
Hujawahi kuogelea na wala huyajui maji, pia hujawahi kupanda ndege kwa namna yoyote ile, usingeongea kijinga hivi.

Maji yaliingilia wapi, wakati wote wametokea milango ya Nyuma na ambayo haikugusa maji kwa kuwa kulikuwa juu? We umeangalia hiyo ndege au umeleta kende zako bila akili??
We kima tulia upapaswe. Kama milango ya nyuma isingeingiza maji basi watu wote wangetoka wazima kabisa. Hukusikia kwamba waokozi waliingia halafu maji yakawa wanaongezeka hadi kima cha shingo wakaamua kutoka. Kwamba hukuona kabisa kwamba nusu ya ndege ilikua kwenye maji. . Tuliza mshono hudumia familia we mama haya mambo ni magumu sana kwako

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Ndege kubadili uelekeo, pilot aliabort landing 1st time kutokana na hali ya hewa, inawezekana alivyorudi 2nd time akaona hawezi kutoboa kutokana na hali mbaya ya hewa na akaamua emmergency landing kwenye ziwa.

Kupunguza speed kwa ajili ya emmergency landing na kama kuna upepo mkali ujue analack propelling force hivyo ni rahisi kuelea na kugeuzwa na upepo..

Ni fikra binafsi za kimtaa+idea kubwa kwenye machuma.
Itakuwa ni tairi ziligoma kutoka na siyo hali ya hewa kama tulivyoelezwa. Ingekuwa hali ya hewa, angeweza kwenda hata Chato! Sema business!
 
Itakuwa ni tairi ziligoma kutoka na siyo hali ya hewa kama tulivyoelezwa. Ingekuwa hali ya hewa, angeweza kwenda hata Chato! Sema business!

nakubaliana na wewe pia, inawezekana technical issues zilimlazimisha kutua kibabe japo hali haikuwa hali.

Kama alikuwa na wese la kutosha kufika Mwanza sidhani kama pilot mzoefu anaweza kutake risk huku akijua kwenye aviation hakuna kubahatisha... lipo lililomlazimisha kulazimisha kutua Bukoba tena ziwani...

Kama sio uzembe wake basi pilot, basi ni technical issues zilimuogopesha kwenda Mwanza maana alihisi asingetoboa na angeweza kuangukia pabaya na madhara yangekuwa makubwa, option pekee kuforce kutoa bukoba na hizo hizo technical problem zikaleta failure in landing gear, the only option ikawa ditching in safe location...
 
Back
Top Bottom