Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Hivi hizo ndege za kampuni ya Prescion Air hazina kisanduku cheusi. Black box? Inaonyesha Kila mtu anatoa maoni yake chanzo Cha ajali. Tuziachie mamlaka zitupe taarifa rasmi badala ya kutulisha matango pori.
Hutoona hiyo taarifa ng'o ! Mana siasa hutamalaki kila nyanja. Hii ilitakiwa kiongoz mmoja ajiuzulu kwa kashfa hii. Kwani wameweka kipaumbele kununua mashangingi yao. Hivi serikali inashindwa kununua gari za kawaida na pesa zingine zitupiwe kwenye vifaa vya uokoaji. Baada ya hili ndio utasikia wamenunua zimamoto 2 kutufumba macho, kwenda......
 
What if wale waliozidi ni waokoaji au ni watu walikuwa ziwani wakapigwama ndege ikidondoka ? Sioni kama abiria wawili kuzidi tena wakiwa kwenye kundi la marehemu liwe na uzito sana kuliko kukosekana kwa vikosi vya waokoaji wakitaalam hatua chache tu kutoka. Airport. Huu ni uzembe tunaondelea kuzeeka nao kadri nchi inavyozeeka. Ajali imeumiza sana mioyo yetu wavuvi wenye mitumbwi duni ndio wamesaidia kila kitu halafu waziri mkuu mzimaanahoji maiti mbili zilizozidi . Wanakera hadi unatamani wangekufa wao kwenye hiyo ajali
Nimeupenda sana mstari wako wa mwisho
 
Pia nadhani rubani ana mchango wake katika ajali hii, kwa nini asingeenda kutua Mwanza baada ya kuona hali ya hewa siyo nzuri?
Hapo ndipo tunasema chanzo sio Hali ya hewa ni matairi kukataa kutoka. Ukimsikiliza yule dogo alieokoa watu 24 anasema ndege ilizunguka ziwa zaidi ya mara nne. Mara ya mwisho ilikuja na speed Kali kuliko ilizokuwa nazo wakati inazunguka
 
Kuna mtu kafungua Uzi huko anasema matairi yaligoma kufunguka wakati wa kutaka kutua.

Rubani alitoa taarifa control tower kwa ushauri ni ni afanye inaonekana ushirikiano kutika control tower ukawa mdogo.

Inasemekana baada ya kuzunguka angani Kwa nusi saa rubani akaomba ushauri, akaambiwa kutoka control tower kuwa we ipeleke ziwani tutakuja kuwaokoa.

Ukifuatilia hayo maelezo na ukifuatilia ule uzi wa jamaa alietabiri kuwa itatokea ajali ya ndege hivi karibuni. Utagundua kuwa huu ni mpango ulipangwa.
Si kuna kibox cheusi (black box) kila kitu kitakaa sawa....
 
Kuna mtu kafungua Uzi huko anasema matairi yaligoma kufunguka wakati wa kutaka kutua.

Rubani alitoa taarifa control tower kwa ushauri ni ni afanye inaonekana ushirikiano kutika control tower ukawa mdogo.

Inasemekana baada ya kuzunguka angani Kwa nusi saa rubani akaomba ushauri, akaambiwa kutoka control tower kuwa we ipeleke ziwani tutakuja kuwaokoa.

Ukifuatilia hayo maelezo na ukifuatilia ule uzi wa jamaa alietabiri kuwa itatokea ajali ya ndege hivi karibuni. Utagundua kuwa huu ni mpango ulipangwa.
Kama picha inakuja kama ukiunganisha na maelezo ya yule kijana kuzuiwa kuvunja mlango na wakati huo kwa haraka sana kijana kuingizwa kikosini haraka sana, yawezekana dogo amefungwa mdomo
 
Kuna taarifa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege??

Kuna Bomba unaweza shika ndani ya ndege kama daladala za RANGI tatu mbagala??
Mimi naisi katika kuhesabu majerui, uenda walimuhebu yule kijana aliyekwenda kuokoa maana na yeye alipata dharuba ya kuchapwa na kamba akapelekwa hospitali wakazani alikuwepo kwenye ndege. Kwahiyo bado mmoja. Ila taarifa rasmi ikitoka itaweza kueleza walizidi wametoka wapi
 
Vipi Mkuu kuhusu kile kisanduku cheusi kishapatikana , ili taarifa zake zisaidie kwenye uchunguzi kuhusu hii ajali.?
 
Kuna mtu kafungua Uzi huko anasema matairi yaligoma kufunguka wakati wa kutaka kutua.

Rubani alitoa taarifa control tower kwa ushauri ni ni afanye inaonekana ushirikiano kutika control tower ukawa mdogo.

Inasemekana baada ya kuzunguka angani Kwa nusi saa rubani akaomba ushauri, akaambiwa kutoka control tower kuwa we ipeleke ziwani tutakuja kuwaokoa.

Ukifuatilia hayo maelezo na ukifuatilia ule uzi wa jamaa alietabiri kuwa itatokea ajali ya ndege hivi karibuni. Utagundua kuwa huu ni mpango ulipangwa.
Suppose wameangalia na kusikiliza mawasiliano ya rubani na Control tower ikajulikana muonozaji ndee hakumpa rubani maelekezo uliyosema, ukishitakiwa na kufungwa au kutozwa faini/fidia pesa nyingi utaona umeonewa?
Acheni uchunguzi wa kina ufanyike. Kwa utaratibu wa ajali za ndege utafanyika uchunguzi wa kimataifa ukishirikisha watengenezaji wa ndee, bima, wamiliki wa ndege, mamlaka ya anga ya Tanzania, n.k.
Ukweli wote utajulikana.
Ajali hutokea iwe kwa uzembe au itilafu za ndege, makosa ya rubani, au makosa ya muongoza ndege(Air traffic controller).
 
Kwani awali ndege ilitaka kutua Mwanza ikashindikana ndo ikaelekea Bukoba? Make Kuna abiria waliopoteza maisha kwenye ajali walikua washukie Mwanza.

Je, ni kweli kuwa hali ya hewa ya Mwanza ndo chanzo za kuilazimu Rubani kuelekea Bukoba? Na pia kwa uzoefu wa Hali ya hewa ya Mwanza na Bukoba wapi panakuwa na angalau? Mamlaka ya Hali ya hewa kwenye viwanja vyetu hawawasikiani kutoa ushauri ni wapi angalau Kati ya Mwanza na Bukoba? Ili Rubani afanye maamuzi sahihi Kati ya Arusha au Chato Kama kweli alishindwa kutua Mwanza.
 
Suppose wameangalia na kusikiliza mawasiliano ya rubani na Control tower ikajulikana muonozaji ndee hakumpa rubani maelekezo uliyosema, ukishitakiwa na kufungwa au kutozwa faini/fidia pesa nyingi utaona umeonewa?
Acheni uchunguzi wa kina ufanyike. Kwa utaratibu wa ajali za ndege utafanyika uchunguzi wa kimataifa ukishirikisha watengenezaji wa ndee, bima, wamiliki wa ndege, mamlaka ya anga ya Tanzania, n.k.
Ukweli wote utajulikana.
Ajali hutokea iwe kwa uzembe au itilafu za ndege, makosa ya rubani, au makosa ya muongoza ndege(Air traffic controller).
Acha ujinga basi hakuna wakunishitaki; nimesema inasemekena; hivyo usikurupuke
 
Nimekusoma naona ni kama vile unataka kuaminisha kwa hisia zako washindani wa Precision wanahusika kwenye hii ajali, jambo ambalo siliafiki, ajali mara nyingi huwa haichagui pakutokea, wala muda.

Masuala mengine kama muda wa uokoaji kuwa mrefu, na kufungia uwanja hapo nakubaliana nawe, naona kama Majaliwa alikurupuka jambo litakalosababishia usumbufu abiria na watumiaji wengine wa uwanja wa ndege wa Bukoba.

Kuhusu machozi ya mtendaji/bosi wa Precision yanaweza kuwa ni hisia za kibinadamu tu, wala sio sababu za kibiashara kama unavyodhani, uhai wa mwanadamu una thamani zaidi ya ushindani wa kibiashara, usiusemee moyo wa mtu.
Kwenye biashara hizi kuna mambo sana nakumbuka kisa cha basi za mtwara raha mambo yalikuwa hivihivi,
 
Acha ujinga basi hakuna wakunishitaki; nimesema inasemekena; hivyo usikurupuke
Kwani huelewi neno suppose linamaanisha nini?
BTW, ukiona mtu anakuwa mkali anatanguliza maneno makali kama kuita wenzie wajinga ujue amekosa hoja. Ongeza kunitukana na matusi mengine amkali ufurahi labda utapona ugonjwa wako.
 
Nimekusoma naona ni kama vile unataka kuaminisha kwa hisia zako washindani wa Precision wanahusika kwenye hii ajali, jambo ambalo siliafiki, ajali mara nyingi huwa haichagui pakutokea, wala muda.

Masuala mengine kama muda wa uokoaji kuwa mrefu, na kufungia uwanja hapo nakubaliana nawe, naona kama Majaliwa alikurupuka jambo litakalosababishia usumbufu abiria na watumiaji wengine wa uwanja wa ndege wa Bukoba.

Kuhusu machozi ya mtendaji/bosi wa Precision yanaweza kuwa ni hisia za kibinadamu tu, wala sio sababu za kibiashara kama unavyodhani, uhai wa mwanadamu una thamani zaidi ya ushindani wa kibiashara, usiusemee moyo wa mtu.
Kifungua namba mbili ya uliyoandika yamejirudi kulekule!
Viongozi wetu wanakuwa na mhemuko badala ya ukweli!!
 
Kwani awali ndege ilitaka kutua Mwanza ikashindikana ndo ikaelekea Bukoba? Make Kuna abiria waliopoteza maisha kwenye ajali walikua washukie Mwanza.

Je, ni kweli kuwa hali ya hewa ya Mwanza ndo chanzo za kuilazimu Rubani kuelekea Bukoba? Na pia kwa uzoefu wa Hali ya hewa ya Mwanza na Bukoba wapi panakuwa na angalau? Mamlaka ya Hali ya hewa kwenye viwanja vyetu hawawasikiani kutoa ushauri ni wapi angalau Kati ya Mwanza na Bukoba? Ili Rubani afanye maamuzi sahihi Kati ya Arusha au Chato Kama kweli alishindwa kutua Mwanza.
Si kweli ndege zote utua Mwanz ndo Bukoba Mwanza ilitua tu
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.

Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
JANA NILISEMA KWA KUNONG'ONA KASIJE KAKAWA KAUSHINDANI KA UNAFIKI NAFIKI.K KIUKWELI KAMA KAVITA MBUZI.
 
Back
Top Bottom