Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.


Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca

Lete kwanza CV ya huyo rubani tuisome. Umeandika kwa assumptions nyingi. Ana uzoefu wa miaka mingapi? Amesomea wapi urubani? Kimataifa huwezi kupewa leseni ya urubani bila ya kuwa na masaa 1,500 ya kuendesha ndege. Huwezi kupewa leseni ya urubani bila kuwa instrument rated.
 
Kuna taarifa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege??

Kuna Bomba unaweza shika ndani ya ndege kama daladala za RANGI tatu mbagala??
sio kitu cha ajabu hicho,kwenye safari za ndani hata kwenye ndege huwa kuna staff,hususani anayetambulika na pilot tu, ila lazima pawe na nafasi yaani ndege ya kubeba abiria 48,waliokata tiketi wawe chini ya namba hiyo,ndipo staff utapata nafasi hiyo,.na jina lake hulikuti popote kule,inapotokea kitu kama hiki,ndipo balaa huanzia hapo!!!Tena huko air tanzania ndipo kabisaa!!
 
Kuna mtu kafungua Uzi huko anasema matairi yaligoma kufunguka wakati wa kutaka kutua.

Rubani alitoa taarifa control tower kwa ushauri ni ni afanye inaonekana ushirikiano kutika control tower ukawa mdogo.

Inasemekana baada ya kuzunguka angani Kwa nusi saa rubani akaomba ushauri, akaambiwa kutoka control tower kuwa we ipeleke ziwani tutakuja kuwaokoa.

Ukifuatilia hayo maelezo na ukifuatilia ule uzi wa jamaa alietabiri kuwa itatokea ajali ya ndege hivi karibuni. Utagundua kuwa huu ni mpango ulipangwa.
Duuh,sio mchezo aisee
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.


Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Cc Countrywide
 
Hapana, hao wanaosemekana kuzidi ni kutokana na rekodi ya idadi ya abiria waliosafiri siku hiyo kwenye ndege hiyo lakini uwezo wa ndege ni zaidi ya idadi hiyo ya 45
It's ok, kwann hawasemi Kweli. Hadi kwenye ndege tudanganywe?

Nimeiona habari hii ikiripotiwa vituo vikubwa kimataifa mf AL JAZEERA.
 
Kuna taarifa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege??

Kuna Bomba unaweza shika ndani ya ndege kama daladala za RANGI tatu mbagala??
What if wale waliozidi ni waokoaji au ni watu walikuwa ziwani wakapigwama ndege ikidondoka ? Sioni kama abiria wawili kuzidi tena wakiwa kwenye kundi la marehemu liwe na uzito sana kuliko kukosekana kwa vikosi vya waokoaji wakitaalam hatua chache tu kutoka. Airport. Huu ni uzembe tunaondelea kuzeeka nao kadri nchi inavyozeeka. Ajali imeumiza sana mioyo yetu wavuvi wenye mitumbwi duni ndio wamesaidia kila kitu halafu waziri mkuu mzimaanahoji maiti mbili zilizozidi . Wanakera hadi unatamani wangekufa wao kwenye hiyo ajali
 
What if wale waliozidi ni waokoaji au ni watu walikuwa ziwani wakapigwama ndege ikidondoka ? Sioni kama abiria wawili kuzidi tena wakiwa kwenye kundi la marehemu liwe na uzito sana kuliko kukosekana kwa vikosi vya waokoaji wakitaalam hatua chache tu kutoka. Airport. Huu ni uzembe tunaondelea kuzeeka nao kadri nchi inavyozeeka. Ajali imeumiza sana mioyo yetu wavuvi wenye mitumbwi duni ndio wamesaidia kila kitu halafu waziri mkuu mzimaanahoji maiti mbili zilizozidi . Wanakera hadi unatamani wangekufa wao kwenye hiyo ajali
KAZI yetu ni KUHOJI na wahusika watoe majibu SAHIHI, tusiwajibie maswali.
 
Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi;

Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa naona kama nishaandika kila kitu Kwa wakati sahihi linapotokea ndo nafufua uzi husika wa mada husika !

Swala la ajali hii ya ndege linafikirisha mengi sana nimekuta mtu sehemu anauliza mambo ya msingi Kabisa nikashirikiana naye kuwaza haya

1. Nikiwa nawaamini sana Marubani wa Precision air pengine kuliko wa mashirika mengine, pasi shaka hata chembe najiuliza kwa nini ndege hii imeelekea kwenye uelekeo tofauti wa runway? Katika hili najiuliza Control Tower ilikuwa na ofisa? Na kama ndio alikuwa anafanya kazi gani? Au kwa nini hakutoa vzr/alitoa maelekezo tofauti ya jinsi ya kutua? (Hili linakuja kaa kuwa Rubani yeyote anaweza kutua kiwanja chochote kipya kwa maelekezo kutoka chumba cha waongoza ndege akiwa 5-30miles) juu ya jinsi ya kutua, speed, distance ya kugusia runway, hali ya hewa etc).

Hapa najiuliza sipati majibu na inanipa maswali juu ya chanzo cha ajali hii.

2. Ndege inasema ilikuwa na abiria 43 lakini idadi ya majeruhi 26 na marehemu 19 inafanya maswali mengi. Sitaki kulaumu sana kwa kuwa ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria 48 ila TAA ichunguze hii ATC ilitolewaje? Nani walihusika.

3. Ndege imezama, yaan iko sehemu salama kimfumo wa ajali za ndege, tena mita 100+ tu kutoka kiwanja ila uokoaji umechukua masaa zaidi ya manne, RPC anasema watu watulie kila kitu kiko under control, control ipi?...HII NI AIBU KUBWA KWA SERIKALI YETU.

4. Waziri Mkuu ameagiza uwanja ufungwe... Je kuna siri gani hapa nyuma ya pazia? Uwanja una shida gani kama kila kitu kilikuwa sawa? Kama kila kitu kilikuwa sawa ina maana watu wasisafiri tena kwenda Bukoba sababu ya ajali hii? KUNA NINI CHA KUFUNGIA UWANJA?

5. Nimemuangalia Mkurugenzi Mtendaji wa Precision Airways(Patrick Mwanri) akiomba watu tusipotoshe Umma juu ya ajali hii, amebeba uchungu mzito sana akizungumza akiwa analia machozi mbele ya waandishi... It is not normal, hata kama jamaa anaumia kibiashara ila anajua kabisa Bima watamlipa ila swali la chanzo cha ajali hii na matokeo yake yanawagusa sana Precision kuliko sisi wote.

Binafsi siitazami ajali hii kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake.


Tuwe sometimes na Uwezo wa kuchunguza yanayoendelea chini ya carpet bila kusubiria kulishwa kila taarifa

Kwako Pascal Mayalla


Britanicca
Kufungwa uwanja wa Bukoba ni sahihi kwa sababu si Salama, tena ni majuzi tu wametoka kufanya mazoezi ya utayari.

Tuibane serikali tunataka uchunguzi huru wa black box, mbivu na mbichi zipo kwenye black box.
 

Attachments

  • FB_IMG_1667812170202.jpg
    FB_IMG_1667812170202.jpg
    14.6 KB · Views: 5
Kati ya wote aliyepuyanga ni Mkuu wa Mkoa na yule Mama sijui Afisa wa Uwanja.

Hii video imeumiza sana Moyo wangu,inakuwaje watu wapo kwenye maji halafu anayesoma taarifa na wenzake pembeni wanacheka kama ni jambo la kawaida.

Wabarikiwe sana Wavuvi na Wananchi wote kwa ushupavu na Moyo wa kila namna katika kuokoa wenzetu 26.

Mtu anatusome majina hovyo hovyo kama kitu cha kawaida.

Yule Mkurugenzi wa PA, hakika kifua chake kimebeba mengi mno.

Wamulikwe wote walioleta utani kwa siku ya jana.Wasichekewe...
tutasema mengi lkn ajali ni ajali tu ndo maana tunasema ajali haina kinga.kwangu simlaumu mkuu wa mkoa kwa lolote lile na nina sababu za msingi.kwangu tatizo ni la kimifumo tu.tuzidi kumwomba Mungu kwa wote walioguswa na msiba huu kwa namna moja au nyingine wapate faraja na nguvu hasa kwa kipindi kigumu kama hiki.
 
Back
Top Bottom