Sijaelewa sababu ya mlinzi huyu kumshika mkono Afande Sele alipokuwa anasalimiana na Dr. Magufuli

Afande hutumia zile"mboga" na kuna simulizi kuwa hao Watu huweza kufanya mambo opposite, badala ya kusalimia akarusha ngumi.
 
Alikuwa na wasiwasi asije akamchomekea mkulu kipisi cha bangi, si unajua afande ni mvuta bangi maarufu.
 
Na wale watumiao gesi yenye sumu wanadhibitiwa vipi?
 
Kwani aliempa “kelbu”mzee Mwinyi si alisogea watu wakamtazama tu,unaweza kumuacha afande kama katoa upper cut kitu live
 
Hawakumgua kabla ya kumshika namba 1 kwahyo kumshika ni kutokumruhusu kufanya madhara..! Hutakiwi kumuanimi yeyote hasa ambao hawajafanyia vetting wanapo muadress Rais.
 
Kumshika mkono mmoja ni kwa ajili ya usalama wa raisi kama atataka kumdhuru raisi basi inakuwa ni ngumu
 
Sasa mvuta Bange kushikana mkono na rais kwanini mlinzi asiwe tayari tayari kwa lolote.

Angekua Mengi/Dewji/Bakhressa unadhani Mlinzi angemshika shika hovyo kama Afande Sele alivyozuiwa?
 
Sababu ya kushikwa mkono Afande sele ilikua ni kumzuwilia matumizi ya kipaza sauti wakati akisalimiana na mku wa Nchi kwa jinsi Afande aliyokua na furaha angeweza kutamka lolote.
 
Ushamba tu na ulimbukeni tu. Huyo mlinzi mwenyewe amenenepeana kama kiboko
 
Sasa mvuta Bange kushikana mkono na rais kwanini mlinzi asiwe tayari tayari kwa lolote.

Angekua Mengi/Dewji/Bakhressa unadhani Mlinzi angemshika shika hovyo kama Afande Sele alivyozuiwa?
Mbona Bob Marley ameshikana na kukumbatiana na viongozi wengi tu duniani....
 
mtu ambae anahama vyama vitatu kwa mda mfupi hivyo sio wa kumuamini
 
Tueleze wewe unayezijua hizo sheria zao kwa kitendo kile...
alikua anaogopa kilichomtokea rais mwinyi pale diamond jubilee jamaa alijifanya anaregebisha maiki akamzaba bonge la kofi mzee wetu
 
Wenzako wamesomea hiyo VIP security Urusi, Uturuki na Uchina kwa zaidi ya miaka saba, wewe unawakosoa kirahisi tu kwa reference ya Instagram!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…