Acha ujinga wewe, Hayati alikuwa hana hizo swaga za kishamba.Jiwe mwaka wake wa kwanza alikuwa na pigo kama hizo za M7 hadi viganja vilikuwa havionekani.
Pengine bado ulikuwa hujamiliki "Simu janja" ngoja picha zitakuja hapa halafu utafute kichaka cha kujificha,na hao kina Kalumanzira nafikiri ndio walikuwa wabunifu wake.Acha ujinga wewe, Hayati alikuwa hana hizo swaga za kishamba.
JPM alikaa kwenye uwaziri zaidi ya miaka 20 kabla hajawa Rais, leo hii wewe Kalumanzira ndiyo ungemfundisha kuvaa vizuri?View attachment 2570855
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga wewe, Hayati alikuwa hana hizo swaga za kishamba.
Dr JPM alikaa kwenye uwaziri zaidi ya miaka 20 kabla hajawa Rais, leo hii wewe Kalumanzira ndiyo ungemfundisha kuvaa vizuri?View attachment 2570855
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji1241]Pengine bado ulikuwa hujamiliki "Simu janja" ngoja picha zitakuja hapa halafu utafute kichaka cha kujificha,na hao kina Kalumanzira nafikiri ndio walikuwa wabunifu wake.
Muongezee nyingine huyo chavichavi kuna ile moja ilikua ni sikukuu ya eid alivaa kanzu over pazia viganja havionekani.[emoji1241]View attachment 2570863
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiwe mwaka wake wa kwanza alikuwa na pigo kama hizo za M7 hadi viganja vilikuwa havionekani.
SahihiJiwe mwaka wake wa kwanza alikuwa na pigo kama hizo za M7 hadi viganja vilikuwa havionekani.
Bwana Mughabo Wa KigomaNi asili yao kuvaa hivyo hawawezi kubadirika
Bora angevaa mashuka ya jadi, za kiafrka kuliko suti na hivyo viatu [emoji3][emoji3]Nje na hapa nchini nimejaribu kuangalia kwa huyu mzee sasa, daaa ndiyo nachoka kabisa.
View attachment 2570822
Ni kweli pia unaweza kukuta wote waliomzunguka wa namsikiza yeye tu kila analoongea hawa wazee uwa Wanajifanya wajuaaji sana, hawajui kuwa mambo yanabadilikakwa level yake nadhani ana washauri au watu wanaoangalia uvaaji wake na kumshauri, saa ingine hao wazee wanakuwaga wabishi