Sijafurahia! Wanaowavisha Hawa Viongozi wetu ni kina nani?

Sijafurahia! Wanaowavisha Hawa Viongozi wetu ni kina nani?

Yuko. Wap aliyesema Magu alikua Hana Hizo pigo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] viongoz wa Africa woteee hua wanachwkwsha tuuuView attachment 2571445
download.jpg


Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
kwa level yake nadhani ana washauri au watu wanaoangalia uvaaji wake na kumshauri, saa ingine hao wazee wanakuwaga wabishi
Ubishi utawaponza na wataendelea kuitwa "dunia ya tatu" hadi kwenye mavazi. Museveni ndo amefanyaje sasa. Unaweza kukuta suti ya diwani imemkaa vzr kuliko suti ya raisi. Hongera mama Samia.
 
Back
Top Bottom