Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
🤣🤣🤣🤣🤣 toka akiwa wazir m7 copyrightJiwe mwaka wake wa kwanza alikuwa na pigo kama hizo za M7 hadi viganja vilikuwa havionekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 toka akiwa wazir m7 copyrightJiwe mwaka wake wa kwanza alikuwa na pigo kama hizo za M7 hadi viganja vilikuwa havionekani.
Suti imemfanya kama kuvunjika mguu[emoji1241]View attachment 2570863
Huyo mshamba hapo juu anabisha na nimemwambia mwanzoni kabisa ndio zilikua pigo zake Suruali jeje na Koti ndio vile tena.Sahihi
Ila Baadaye Akawa Sawa Akaanza Kuwa Tofauti Akanyuka Suit Matata
Chuki huua.Pengine bado ulikuwa hujamiliki "Simu janja" ngoja picha zitakuja hapa halafu utafute kichaka cha kujificha,na hao kina Kalumanzira nafikiri ndio walikuwa wabunifu wake.
Mbona unapovuka dingi tukikuwekea picha hapa utasemajeAcha ujinga wewe, Hayati alikuwa hana hizo swaga za kishamba.
Dr JPM alikaa kwenye uwaziri zaidi ya miaka 20 kabla hajawa Rais, leo hii wewe Kalumanzira ndiyo ungemfundisha kuvaa vizuri?View attachment 2570855
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Jitu zima linavaa nguo imembana bana hata kurusha teke tu au kuvuka mfereji ni mtihani kwake.Vijana mnataka viongozi wavae modo..?.
Hao ni wazee wamezoea style zao za mabwanga na mokasini ndio wanajiona wako huru hawataki kubanwabanwa.
Mambo ya kuvaa na kushaini waachie wenye figure zao.[emoji1241]View attachment 2570863
Hapa ni baada ya kupiga kelele kama hizi na kumlinganisha na JK kwenye mavazi ndo wakaanza kumpa suti angalau nzuri. Ila alikuwa anavaa koti linamezakono wote isipokuwa nca za vidoleAcha ujinga wewe, Hayati alikuwa hana hizo swaga za kishamba.
Dr JPM alikaa kwenye uwaziri zaidi ya miaka 20 kabla hajawa Rais, leo hii wewe Kalumanzira ndiyo ungemfundisha kuvaa vizuri?View attachment 2570855
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Watoto wa kwenye chupa mna matatizo sana, ndiyomaana mnatembea kiupande upande kama gari lililochoka injini la enzi za ukoloni sababu tu ya kuiga iga hata visivyofaa.Huyo mshamba hapo juu anabisha na nimemwambia mwanzoni kabisa ndio zilikua pigo zake Suruali jeje na Koti ndio vile tena.
Punguza makasirikoAcha ujinga wewe, Hayati alikuwa hana hizo swaga za kishamba.
Dr JPM alikaa kwenye uwaziri zaidi ya miaka 20 kabla hajawa Rais, leo hii wewe Kalumanzira ndiyo ungemfundisha kuvaa vizuri?View attachment 2570855
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sawa, ila hivi vitu si vigeni kwa sisi tuliozaliwa miaka ya 1950-1980 tena tulikuwa tunavaa suruali kubwa mno zilizokuwa zinafunika hadi viatu, na mashati mapana sana na tulikuwa tunapendeza sana maana kimfaacho Mtu ki machoni pake mwenyewe.Hapa ni baada ya kupiga kelele kama hizi na kumlinganisha na JK kwenye mavazi ndo wakaanza kumpa suti angalau nzuri. Ila alikuwa anavaa koti linamezakono wote isipokuwa nca za vidole
Hivi macho yako yanaangalia vizuri kabisa au una makengeza?Suti imemfanya kama kuvunjika mguu
Mpaka muda huu sijajua hasa ni kipi kinachokufanya umwage chozi namna hii,Watoto wa kwenye chupa mna matatizo sana, ndiyomaana mnatembea kiupande upande kama gari lililochoka injini la enzi za ukoloni sababu tu ya kuiga iga hata visivyofaa.
Si kila kitu ni cha kuigwa igwa hapa duniani la sivyo utajikuta umebadilika hata jinsi wewe [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa level yake nadhani ana washauri au watu wanaoangalia uvaaji wake na kumshauri, saa ingine hao wazee wanakuwaga wabishi
Hawa wachina sio watu wazuri na wanamuangaliaje hivyo sijui wanaona nini wajinga sanaNje na hapa nchini nimejaribu kuangalia kwa huyu mzee sasa, daaa ndiyo nachoka kabisa.
View attachment 2570822
Suit Inayofunika Vidole Vya Mikono Yaani Ikawa BhalaaHuyo mshamba hapo juu anabisha na nimemwambia mwanzoni kabisa ndio zilikua pigo zake Suruali jeje na Koti ndio vile tena.