"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

Hoja yangu imejikita kwenye excitement iliyojitikeza kabla na baada ya huo uchaguzi wa raisi TLS.

Hata kwa Lissu na Karume ilikuwa hivi hivi kwa wafuasi wa CDM na wanaharakati, too much talk kwenye huo uchaguzi. Baada ya ushindi ni nafasi isiyo na impact kwenye siasa za Tanzania.
Hujui hata unachokiandika.
Vyama vya kitaaluma vipo vingapi hii nchi? Kwanini kinachoeleweka na kusikika kwa nguvu ni TLS?
Unadhani kusikika kwake kumetokana na nini?
Wewe unadhani ni kwanini CCM na serikali yake hupambana mnoo kuhakikisha watu imara hawashiki hiyo nafasi?
Wewe unadhani ni kwanini Lissu alitwangwa risasi?
Wewe unadhani ni kwanini Lissu na Karume wamewahi kufutiwa leseni zao uwakili ili wasiwepo mahakamani?
Wewe unafikiri kwanini mawakiri wengi wameamua kumchagua Mwabukusi (mtu mwenye mwelekeo wa harakati kama za kina Lissu na Karume) sasa?

Wewe ulitaka Lissu na Karume wafanye kipi wakati wakiwa ni marais wa TLS?
 
Nahisi huelewi chochote kuhusu TLS!!!! Wewe ni wale mnaoteseka na ushindi huu wa Mwambukusi ulioonesha kuwa CCM haikubaliki kabisa miongoni mwa roho za Watanzania

Lissu hakuwahi kugombea urais kwa kupenda Ila ni baadhi tu ya Mawakili walimchukulia fomu tena nyakati hizo akiwa bado yupo Ubelgiji na alitawala kwa miezi mitano pekee yake baadae akaomba kumuachia mtu mwingine kwa sababu hakuwa vizuri kiafya

Fatma Karume alikuwa Rais wa TLS lakini bahati mbaya yule ni mwanamke tena ile power ya kufight Kama Mwambukusi bado ilikuwa chini sana

Subiri Mwambukusi aanze kuwanyoosha na mwaka huu tunaanzisha Maandamano ya kufa mtu kwenye hii nchi mpaka maji mtaita mma

Na kibaya zaid mama yenu hajui kujieleza na Watanzania wanamuona tu Kama Dalali wa rasilimali za watanganyika………sijui ataanza kushinda kwa njia zipi mwaka!???? Yaani ninawaza sana sipati jibu
Kwa hivyo unadhani wanasheria wataandamana kwa sababu ya maamuzi ya sera za serikali?

Umesoma katiba ya TLS kuhusu kazi zao kama ni kukosoa sera za serikali (yenye mandate ya wananchi) kuongoza nchi.

Kazi ya TLS ni kuishauri serikali maswala ya sheria (ushauri ambao serikali, aina ulazima wa kupokea, provided maamuzi yao hayavunji katiba).

Unajua maana ya katiba ya nchi na uhalali wa mamlaka zilizotajwa kwenye (organs za nchi na majukumu yao), ni wapi umeona TLS imetajwa kama sehemu ya organisation yenye mamlaka Tanzania.

Akili zenu zinawatosha wenyewe, raisi wa TLS si lolote si chochote Tanzania, ni politicisation of the process ndio inawafanya muamini huyo mtu ana umuhimu kwenye nchi ya Tanzania.
 
Kama CCM wanawaibia hadi mawakili wasomi sijui itakuwa vp uchaguzi ujao?!
 
Hujui hata unachokiandika.
Vyama vya kitaaluma vipo vingapi hii nchi? Kwanini kinachoeleweka na kusikika kwa nguvu ni TLS?
Unadhani kusikika kwake kumetokana na nini?
Wewe unadhani ni kwanini CCM na serikali yake hupambana mnoo kuhakikisha watu imara hawashiki hiyo nafasi?
Wewe unadhani ni kwanini Lissu alitwangwa risasi?
Wewe unadhani ni kwanini Lissu na Karume wamewahi kufutiwa leseni zao uwakili ili wasiwepo mahakamani?
Wewe unafikiri kwanini mawakiri wengi wameamua kumchagua Mwabukusi (mtu mwenye mwelekeo wa harakati kama za kina Lissu na Karume) sasa?

Wewe ulitaka Lissu na Karume wafanye kipi wakati wakiwa ni marais wa TLS?
Kuonyesha umuhimu wa hiyo nafasi unatakiwa kuelezea legal powers alizonazo raisi wa TLS ndani ya Tanzania.

Mnajiaminisha vitu vichwani kwenu ambavyo havina impact in practice. Ndio hadithi za Lissu akiwa raisi TLS ana demand kukutana na Magufuli kwa mamlaka gani aliyonayo kisheria.

Get back to the real world
 
TLS ishakuwa na raisi Tundu Lissu na Fatma Karume kama wakosoaji wakubwa wa serikali.

Sasa huyo Mwabukusi atakuja na lipi jipya. Zaidi ya kujigamba tu kwa nafasi yake

A fuss about nothing

A storm in a tea cup as far as Tanzania politics goes.
Problem with you guys mnata kila taasis inyenyekee serikali au chama, hilo haliwezekani. Sheria zilizotungwa ndio zitakazo fatwa, history huwa inabadilika, and hatuishi in the past .
 
HONGERA MWABUKUSI

1. Mshindani wake alikuwa mtu wa CCM. Nilitegemea kuwa kwa MAOVU ya CCM kwa watanganyika, margin ya kura ingelikuwa kubwa sana "kupindukia" kuionesha CCM kuwa haipendwi. Margin hii hainipi matumaini kuwa CCM itachapwa kiboko kikali chaguzi zijazo.

UPINZANI NADHANI KUNA SOMO MMAJIFUNZA KUPITI UCHAGUZI HUU

2. Kama CCM wamepenyeza wizi wa kura, basi chaguzi zijazo zitakuwa chafu kuzidi za 2015/2020!

Jumla ya kura: 2,218
Kura zilizoharikika: 3

Boniface Mwabukusi - 1,274
Sweetbert Nkuba - 807

3. Hii margin siyo "rafiki"/indication nzuri kwa chaguzi zijazo. Na hapa hapakuwepo polisi wa kubeba maboksi kama chaguzi zilizopita. Unadhani chaguzi zijazo ambazo polisi watakuwa wametanda, kuna kushinda kweli?

4. Wasomi wanasheria bado kuna kundi kubwa liko na CCM.....807 siyo kura ndogo. MAWAKILI MMENIVUJA MOYO SANA

UPINZANIA TAKE NOTE OF THIS PLASE

Ni upumbavu sana kuweka fikra za u ccm na uchadema hapa, where is a place for sera ?
 
Problem with you guys mnata kila taasis inyenyekee serikali au chama, hilo haliwezekani. Sheria zilizotungwa ndio zitakazo fatwa, history huwa inabadilika, and hatuishi in the past .
Ndugu kuanzia kwa raisi mpaka mwenyekiti wa mtaa, legitimacy ya powers zao ni katiba au sheria zinazotokana na katiba.

Uwezi kujiundia kitaasisi chako hata kama cha wataalamu kikawa na mamlaka kama unavyofikiria wewe kama hayapo kwenye katiba wala sheria.

Mnapenda kufikiria mambo ambayo hayapo kwenye mkataba wa uongozi wa nchi (katiba). Ndio maana katiba ina aspects of organisation (mamlaka za uongozi).
You do know uandishi wa katiba una structure pia, sio watu wanajiandikia mambo hovyo kama rasimu ya Warioba.
 
Unajua kuna watu nao wanaiamini CCM? Ni sawa na hapa US...unaweza kujiuliza ni watu gani mashabiki wa Trump..kumbe wapo website na wahispaniki
Mzee upo US lakini kwa makusudi kabisa umeamua kujipiga ganzi kuhusu Trump, kweli mahaba yako ni next level, come November, utarudi hapa
 
Mshindani wake alikuwa mtu wa CCM. Nilitegemea kuwa kwa MAOVU ya CCM kwa watanganyika,
Kuingiza siasa katika hiko chama cha kitaaluma kunakiondolea hadhi mbele ya jamii. Sasa kinaonekana chama cha hovyo.

Anyway Chadema acheni mentality ya kugawa watu.
 
HONGERA MWABUKUSI

1. Mshindani wake alikuwa mtu wa CCM. Nilitegemea kuwa kwa MAOVU ya CCM kwa watanganyika, margin ya kura ingelikuwa kubwa sana "kupindukia" kuionesha CCM kuwa haipendwi. Margin hii hainipi matumaini kuwa CCM itachapwa kiboko kikali chaguzi zijazo.

UPINZANI NADHANI KUNA SOMO MMAJIFUNZA KUPITI UCHAGUZI HUU

2. Kama CCM wamepenyeza wizi wa kura, basi chaguzi zijazo zitakuwa chafu kuzidi za 2015/2020!

Jumla ya kura: 2,218
Kura zilizoharikika: 3

Boniface Mwabukusi - 1,274
Sweetbert Nkuba - 807

3. Hii margin siyo "rafiki"/indication nzuri kwa chaguzi zijazo. Na hapa hapakuwepo polisi wa kubeba maboksi kama chaguzi zilizopita. Unadhani chaguzi zijazo ambazo polisi watakuwa wametanda, kuna kushinda kweli?

4. Wasomi wanasheria bado kuna kundi kubwa liko na CCM.....807 siyo kura ndogo. MAWAKILI MMENIVUJA MOYO SANA

UPINZANIA TAKE NOTE OF THIS PLASE
MaCCM. licha ya kutujazia mamluki yamepigwa chali kama mbwa koko
 
HONGERA MWABUKUSI

1. Mshindani wake alikuwa mtu wa CCM. Nilitegemea kuwa kwa MAOVU ya CCM kwa watanganyika, margin ya kura ingelikuwa kubwa sana "kupindukia" kuionesha CCM kuwa haipendwi. Margin hii hainipi matumaini kuwa CCM itachapwa kiboko kikali chaguzi zijazo.

UPINZANI NADHANI KUNA SOMO MMAJIFUNZA KUPITI UCHAGUZI HUU

2. Kama CCM wamepenyeza wizi wa kura, basi chaguzi zijazo zitakuwa chafu kuzidi za 2015/2020!

Jumla ya kura: 2,218
Kura zilizoharikika: 3

Boniface Mwabukusi - 1,274
Sweetbert Nkuba - 807

3. Hii margin siyo "rafiki"/indication nzuri kwa chaguzi zijazo. Na hapa hapakuwepo polisi wa kubeba maboksi kama chaguzi zilizopita. Unadhani chaguzi zijazo ambazo polisi watakuwa wametanda, kuna kushinda kweli?

4. Wasomi wanasheria bado kuna kundi kubwa liko na CCM.....807 siyo kura ndogo. MAWAKILI MMENIVUJA MOYO SANA

UPINZANIA TAKE NOTE OF THIS PLASE
Huku kujifanya mnajua kuna kera sana!
 
TLS ishakuwa na raisi Tundu Lissu na Fatma Karume kama wakosoaji wakubwa wa serikali.

Sasa huyo Mwabukusi atakuja na lipi jipya. Zaidi ya kujigamba tu kwa nafasi yake

A fuss about nothing

A storm in a tea cup as far as Tanzania politics goes.
Lissu alitumikia miezi 5, akapigwa Risasi na Meko.

Alishusha ada ya wanachama kutoka million mbili hadi laki mbili.

sasa hivi TLS President tofauti na Mwanzo anaongoza Miaka mitatu. Subiri muone impacts.
 
Unajua kuna watu nao wanaiamini CCM? Ni sawa na hapa US...unaweza kujiuliza ni watu gani mashabiki wa Trump..kumbe wapo website na wahispaniki
Uko sahihi kabisa! Huwa najiuliza na niliwahi kumuuliza binti mmoja kijijini kwetu anaishi USA, nikamuuliza hivi waamerika mna akili timamu? mmemchaguaje Trump, akasema na yeye linamkwaza sana! akasema wengi hawana majibu!
 
Hoja yangu imejikita kwenye excitement iliyojitikeza kabla na baada ya huo uchaguzi wa raisi TLS.

Hata kwa Lissu na Karume ilikuwa hivi hivi kwa wafuasi wa CDM na wanaharakati, too much talk kwenye huo uchaguzi. Baada ya ushindi ni nafasi isiyo na impact kwenye siasa za Tanzania.
Lissu alidumu miezi mitano tu, akapigwa risasi.

Hata hivyo, moja ya mafanikio yake, alishusha ada ya wanachama kutoka million mbili hadi laki mbili.
 
Back
Top Bottom