"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

Ndugu kuanzia kwa raisi mpaka mwenyekiti wa mtaa, legitimacy ya powers zao ni katiba au sheria zinazotokana na katiba.

Uwezi kujiundia kitaasisi chako hata kama cha wataalamu kikawa na mamlaka kama unavyofikiria wewe kama hayapo kwenye katiba wala sheria.

Mnapenda kufikiria mambo ambayo hayapo kwenye mkataba wa uongozi wa nchi (katiba). Ndio maana katiba ina aspects of organisation (mamlaka za uongozi).
You do know uandishi wa katiba una structure pia, sio watu wanajiandikia mambo hovyo kama rasimu ya Warioba.
Kuna mahali nimesema kujiundia kitaasis changu?
Let me put this straight tls inatambulika kisheria, na wana chaguzi zao, hawakuamka na kijitungia kichwani.
Hizo hizo sheria zilizowekwa ndio watakazo fata, figisui na vingine havina nafasi
Narudia tena hizo sheria zilizotungwa ndizo zitakazo tumika period

No time fo figisu or kujipendekeza kama taasis zingine. No time
 
Hoja yangu imejikita kwenye excitement iliyojitikeza kabla na baada ya huo uchaguzi wa raisi TLS.

Hata kwa Lissu na Karume ilikuwa hivi hivi kwa wafuasi wa CDM na wanaharakati, too much talk kwenye huo uchaguzi. Baada ya ushindi ni nafasi isiyo na impact kwenye siasa za Tanzania.
Kwani excitement wanayoipata CCM wakishinda ubunge na urais huja na impact gani?
 
TLS ishakuwa na raisi Tundu Lissu na Fatma Karume kama wakosoaji wakubwa wa serikali.

Sasa huyo Mwabukusi atakuja na lipi jipya. Zaidi ya kujigamba tu kwa nafasi yake

A fuss about nothing

A storm in a tea cup as far as Tanzania politics goes.
Mazingira ya wakati ule ni tofauti na sasa. Leo High court imeipiga chini serikali katika kesi ya Mwabukusi kuenguliwa. Wakati wa magufuli hii isingelitokea maana serikali ilikuwa imenuia kumwengua Mwabukususi! Hiyo let us wait and see!
 
HONGERA MWABUKUSI

1. Mshindani wake alikuwa mtu wa CCM. Nilitegemea kuwa kwa MAOVU ya CCM kwa watanganyika, margin ya kura ingelikuwa kubwa sana "kupindukia" kuionesha CCM kuwa haipendwi. Margin hii hainipi matumaini kuwa CCM itachapwa kiboko kikali chaguzi zijazo.

UPINZANI NADHANI KUNA SOMO MMAJIFUNZA KUPITI UCHAGUZI HUU

2. Kama CCM wamepenyeza wizi wa kura, basi chaguzi zijazo zitakuwa chafu kuzidi za 2015/2020!

Jumla ya kura: 2,218
Kura zilizoharikika: 3

Boniface Mwabukusi - 1,274
Sweetbert Nkuba - 807

3. Hii margin siyo "rafiki"/indication nzuri kwa chaguzi zijazo. Na hapa hapakuwepo polisi wa kubeba maboksi kama chaguzi zilizopita. Unadhani chaguzi zijazo ambazo polisi watakuwa wametanda, kuna kushinda kweli?

4. Wasomi wanasheria bado kuna kundi kubwa liko na CCM.....807 siyo kura ndogo. MAWAKILI MMENIVUJA MOYO SANA

UPINZANIA TAKE NOTE OF THIS PLASE
Naunga mkono hoja
 
Mazingira ya wakati ule ni tofauti na sasa. Leo High court imeipiga chini serikali katika kesi ya Mwabukusi kuenguliwa. Wakati wa magufuli hii isingelitokea maana serikali ilikuwa imenuia kumwengua Mwabukususi! Hiyo let us wait and see!
Magufuli hakuwa na muda wa kuingilia mambo ya TLS ndio maana wakosoaji wake wakubwa Lissu na Fatma Karume uraisi wao ulikuwa kipindi chake.

Hata ilo Sakata la Mwabukusi ni mambo ya siasa za TLS tu, sema mnayakuza sana.
 
A
Kuna uwezekano wa kuwepo kura feki hapo kwa huyo mgombea mwenye vinasaba vya CCM, madai ya uwepo mawakili kutoka Zanzibar kuja kupiga kura huku bara wakiwa wamezima mtandao wao ili ikosekane njia ya kuhakiki uhalali wa wapiga kura, inaweza kuwa sababu ya hizo kura nyingi za mgombea aliyeshindwa.

Hili ni fundisho kwa upande wangu, ili kuwashinda CCM ni lazima mpige kura nyingi sana kuizidi idadi ya kura feki ambazo CCM watazichomekea, lakini watu wakijitokeza wachache kupiga kura, hapo CCM anashinda kirahisi sana.
A very good analysis. Hata lisu aliwahi kusema mje kwa wingi mpige kura. hata wakiiba itafika mahali kura fake zitakuwa chache kuliko halali. Mfano mmepenyeza kura 1,000 fake, lakini wapiga kura ni 5,000. kura za halali za wapinzani.............fanya mfanyavyo mkija kuhesabu margin itakuwa kubwa sana kuliko kura fake! mtashinda!
 
Kwa hivyo unadhani wanasheria wataandamana kwa sababu ya maamuzi ya sera za serikali?

Umesoma katiba ya TLS kuhusu kazi zao kama ni kukosoa sera za serikali (yenye mandate ya wananchi) kuongoza nchi.

Kazi ya TLS ni kuishauri serikali maswala ya sheria (ushauri ambao serikali, aina ulazima wa kupokea, provided maamuzi yao hayavunji katiba).

Unajua maana ya katiba ya nchi na uhalali wa mamlaka zilizotajwa kwenye (organs za nchi na majukumu yao), ni wapi umeona TLS imetajwa kama sehemu ya organisation yenye mamlaka Tanzania.

Akili zenu zinawatosha wenyewe, raisi wa TLS si lolote si chochote Tanzania, ni politicisation of the process ndio inawafanya muamini huyo mtu ana umuhimu kwenye nchi ya Tanzania.
Section 04- Mawakili wana wajibu wa kulinda na kutetea UTAWALA WA SHERIA.

Nchi ikikiuka utawala wa sheria, TLS ina wajibu wa kuikosoa serikali ikewemo kwenda Mahakamani.

Hii fukuza fukuza ya Wamasai kwenda Tanga, ni ukiukwaji wa utawala wa sheria.

Pia, Mkataba wa kijinga ( Bogus treaty) DP World, TLS inawajibu wa Kuishauri na kuikosoa Serikali.

Naamini Mwabukusi anatetea vizuri section 04 ya TLS.
 
Kuna mahali nimesema kujiundia kitaasis changu?
Let me put this straight tls inatambulika kisheria, na wana chaguzi zao, hawakuamka na kijitungia kichwani.
Hizo hizo sheria zilizowekwa ndio watakazo fata, figisui na vingine havina nafasi
Narudia tena hizo sheria zilizotungwa ndizo zitakazo tumika period

No time fo figisu or kujipendekeza kama taasis zingine. No time
Goodluck in your endeavours mimi ni nani nikubishie.

Ngoja tuone
 
Magufuli hakuwa na muda wa kuingilia mambo ya TLS ndio maana wakosoaji wake wakubwa Lissu na Fatma Karume uraisi wao ulikuwa kipindi chake.

Hata ilo Sakata la Mwabukusi ni mambo ya siasa za TLS tu, sema mnayakuza sana.
Rafiki mbona unatoka kwenye uhalisia? Lisu akapigwa risasi, Fatuma akanynganywa leseni halafu useme magufuli hakuwa na time nao? aliwaacha, he did not deal with their presidency akijua kuna njia mbadala za kuwa eliminate!
 
Section 04- Mawakili wana wajibu wa kulinda na kutetea UTAWALA WA SHERIA.

Nchi ikikiuka utawala wa sheria, TLS ina wajibu wa kuikosoa serikali ikewemo kwenda Mahakamani.

Hii fukuza fukuza ya Wamasai kwenda Tanga, ni ukiukwaji wa utawala wa sheria.

Pia, Mkataba wa kijinga ( Bogus treaty) DP World, TLS inawajibu wa Kuishauri na kuikosoa Serikali.

Naamini Mwabukusi anatetea vizuri section 04 ya TLS.
Ndio haya ya ‘expectation gap’, good-luck.

Kama unadhani serikali aina mandate ya kufanya maamuzi ya matumizi ya ardhi.
 
Mimi nimeongelea minimal impact ya raisi wa TLS kwenye siasa za Tanzania kwa mamlaka yake.
Hii 'minimal impact' ni ipi? Hawa TLS walishawahi saidia wapi? Msiwarembe sana waambieni ukwel hawana impact yeyote Katika jamiii
 
Kuonyesha umuhimu wa hiyo nafasi unatakiwa kuelezea legal powers alizonazo raisi wa TLS ndani ya Tanzania.

Mnajiaminisha vitu vichwani kwenu ambavyo havina impact in practice. Ndio hadithi za Lissu akiwa raisi TLS ana demand kukutana na Magufuli kwa mamlaka gani aliyonayo kisheria.

Get back to the real world
Kwanini alimpiga Risasi?

Huna unachokijua wewe.

Nchi inaendeshwa kwa Misingi ya Sheria.

In fact, sheria ni sekta nyeti hapa nchini.

Uliwahi jiuliza kwanini kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye yumo kwenye Katiba, anaingia bungeni na yumo kwenye Baraza la Mawaziri?
Kwanini hatuoni nafasi zingine za kitaalamu ziwe nyeti kama sheria? Afya, elimu etc
 
Tofauti ya watu 500 na hapo bado wameiba wamuongezee Hadi hizo 800, khaaah hongera wanasheria Kwa kuweka uchawa pembeni
 
Rafiki mbona unatoka kwenye uhalisia? Lisu akapigwa risasi, Fatuma akanynganywa leseni halafu useme magufuli hakuwa na time nao? aliwaacha, he did not deal with their presidency akijua kuna njia mbadala za kuwa eliminate!
Hoja ni kwamba akuzuia ushindi wao, mengine ni kutumia yake.

Jumamosi njema 👋
 
Hapo wameadjust matokeo ili kulinda heshima ya Nkuba 😀😀uhalisia
mwabukusi 1900
Nkuba 225
Waliobaki 5
Zilizoharibika 3
 
Nahisi huelewi chochote kuhusu TLS!!!! Wewe ni wale mnaoteseka na ushindi huu wa Mwambukusi ulioonesha kuwa CCM haikubaliki kabisa miongoni mwa roho za Watanzania

Lissu hakuwahi kugombea urais kwa kupenda Ila ni baadhi tu ya Mawakili walimchukulia fomu tena nyakati hizo akiwa bado yupo Ubelgiji na alitawala kwa miezi mitano pekee yake baadae akaomba kumuachia mtu mwingine kwa sababu hakuwa vizuri kiafya

Fatma Karume alikuwa Rais wa TLS lakini bahati mbaya yule ni mwanamke tena ile power ya kufight Kama Mwambukusi bado ilikuwa chini sana

Subiri Mwambukusi aanze kuwanyoosha na mwaka huu tunaanzisha Maandamano ya kufa mtu kwenye hii nchi mpaka maji mtaita mma

Na kibaya zaid mama yenu hajui kujieleza na Watanzania wanamuona tu Kama Dalali wa rasilimali za watanganyika………sijui ataanza kushinda kwa njia zipi mwaka!???? Yaani ninawaza sana sipati jibu
Ufurahishwe usifurahishwe Sisi haitusaidii hiyo.pointless
 
Ndugu kuanzia kwa raisi mpaka mwenyekiti wa mtaa, legitimacy ya powers zao ni katiba au sheria zinazotokana na katiba.

Uwezi kujiundia kitaasisi chako hata kama cha wataalamu kikawa na mamlaka kama unavyofikiria wewe kama hayapo kwenye katiba wala sheria.

Mnapenda kufikiria mambo ambayo hayapo kwenye mkataba wa uongozi wa nchi (katiba). Ndio maana katiba ina aspects of organisation (mamlaka za uongozi).
You do know uandishi wa katiba una structure pia, sio watu wanajiandikia mambo hovyo kama rasimu ya Warioba.
Huna unachokijua.

TLS imeanza kabla ya hiyo Katiba unayoitaja, imeanza kabla ya Tanzania, imeanza kabla ya Nyerere kuwa Rais.

Tawala zote za Tanzania imeikuta TLS, kwasababu ilianzishwa by the Act of Parliament,1954.

Rais wa TLS enzi za Nyerere, Wolfgang Duorado, alishinikiza Serikali ibadili Katiba na Kuweka haki za binadamu kwenye Katiba.

Serikali ilimuweka kizuizini, cha ajabu baadae Serikali ilifuata mapendekezo ya TLS chini ya Wolfgang Duorado, ikewemo.

Kuwekwa haki za binadamu kwenye Katiba ( Bill of Rights), 1986.

Kuanzishwa vyama vingi vya siasa,1992.

Tume huru ya Uchaguzi.

Vitu ambavyo vipo kwenye Katiba yenu ya leo.
Hayo yote yalikuwa mashinikizo ya awali ya TLS na Serikali ilikuja kuyafuata baadae.

Unaongea hujui anything kuhusu historia ya hiii nchi kwenye tasnia ya Sheria. Brace off your ignorance imbecile.
 
Back
Top Bottom