"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

"Sijafurahishwa" na ushindi wa Mwabukusi: Kwanini ninasema hivyo...

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
HONGERA MWABUKUSI

1. Mshindani wake alikuwa mtu wa CCM. Nilitegemea kuwa kwa MAOVU ya CCM kwa watanganyika, margin ya kura ingelikuwa kubwa sana "kupindukia" kuionesha CCM kuwa haipendwi. Margin hii hainipi matumaini kuwa CCM itachapwa kiboko kikali chaguzi zijazo.

UPINZANI NADHANI KUNA SOMO MMAJIFUNZA KUPITI UCHAGUZI HUU

2. Kama CCM wamepenyeza wizi wa kura, basi chaguzi zijazo zitakuwa chafu kuzidi za 2015/2020!

Jumla ya kura: 2,218
Kura zilizoharikika: 3

Boniface Mwabukusi - 1,274
Sweetbert Nkuba - 807

3. Hii margin siyo "rafiki"/indication nzuri kwa chaguzi zijazo. Na hapa hapakuwepo polisi wa kubeba maboksi kama chaguzi zilizopita. Unadhani chaguzi zijazo ambazo polisi watakuwa wametanda, kuna kushinda kweli?

4. Wasomi wanasheria bado kuna kundi kubwa liko na CCM.....807 siyo kura ndogo. MAWAKILI MMENIVUJA MOYO SANA

UPINZANI TAKE NOTE OF THIS PLEASE
 
Boniface Mwabukusi - 1274
Sweetbert Nkuba - 807
Washindani wengine walijondoa wakabaki hawa wawili?

Pamoja na kukubaliana nawe kuhusu umuhimu wa wapinzani kuchukua tahadhari, sikubaliani na mlengo mzima wa ulalamishi wako juu ya tofauti iliyopo kati ya wagombea hao wawili. Kwa huyo mgombea wa pili kupata hizo kura kuna sababu nyingi, na si lazima hizo sababu za hao waliombigia kura kuipenda CCM.
 
TLS ishakuwa na raisi Tundu Lissu na Fatma Karume kama wakosoaji wakubwa wa serikali.

Sasa huyo Mwabukusi atakuja na lipi jipya. Zaidi ya kujigamba tu kwa nafasi yake

A fuss about nothing

A storm in a tea cup as far as Tanzania politics goes.
EEEeeeenHEEEeeeeh!
Wewe jamaa...!
"A fuss about nothing", deserving another 'fuss' about something from you?
 
Kuna uwezekano wa kuwepo kura feki hapo kwa huyo mgombea mwenye vinasaba vya CCM, madai ya uwepo mawakili kutoka Zanzibar kuja kupiga kura huku bara wakiwa wamezima mtandao wao ili ikosekane njia ya kuhakiki uhalali wa wapiga kura, inaweza kuwa sababu ya hizo kura nyingi za mgombea aliyeshindwa.

Hili ni fundisho kwa upande wangu, ili kuwashinda CCM ni lazima mpige kura nyingi sana kuizidi idadi ya kura feki ambazo CCM watazichomekea, lakini watu wakijitokeza wachache kupiga kura, hapo CCM anashinda kirahisi sana.
 
TLS ishakuwa na raisi Tundu Lissu na Fatma Karume kama wakosoaji wakubwa wa serikali.

Sasa huyo Mwabukusi atakuja na lipi jipya. Zaidi ya kujigamba tu kwa nafasi yake

A fuss about nothing

A storm in a tea cup as far as Tanzania politics goes.
Hao wengine ambao hukuwataja walikuwa na yapi mapya? Wewe ulitaka achaguliwe na Rais kutoka ikulu? au ulitaka iweje?
 
Hao wengine ambao hukuwataja walikuwa na yapi mapya? Wewe ulitaka achaguliwe na Rais kutoka ikulu? au ulitaka iweje?
Hoja yangu imejikita kwenye excitement iliyojitikeza kabla na baada ya huo uchaguzi wa raisi TLS.

Hata kwa Lissu na Karume ilikuwa hivi hivi kwa wafuasi wa CDM na wanaharakati, too much talk kwenye huo uchaguzi. Baada ya ushindi ni nafasi isiyo na impact kwenye siasa za Tanzania.
 
Kuna uwezekano wa kuwepo kura feki hapo kwa huyo mgombea mwenye vinasaba vya CCM, madai ya uwepo mawakili kutoka Zanzibar kuja kupiga kura huku bara wakiwa wamezima mtandao wao ili ikosekane njia ya kuhakiki uhalali wa wapiga kura, inaweza kuwa sababu ya hizo kura nyingi za mgombea aliyeshindwa.

Hili ni fundisho kwa upande wangu, ili kuwashinda CCM ni lazima mpige kura nyingi sana kuizidi idadi ya kura feki ambazo CCM watazichomekea, lakini watu wakijitokeza wachache kupiga kura, hapo CCM anashinda kirahisi sana.
Labda unasahau nadharia ya Nape: haijalishi mnapiga kura ngapi, wanaohesabu ni wao yaani CCM
 
Hoja yangu imejikita kwenye excitement iliyojitikeza kabla na baada ya huo uchaguzi wa raisi TLS.

Hata kwa Lissu na Karume ilikuwa hivi hivi kwa wafuasi wa CDM na wanaharakati, too much talk kwenye huo uchaguzi. Baada ya ushindi ni nafasi isiyo na impact kwenye siasa za Tanzania.
Nahisi huelewi chochote kuhusu TLS!!!! Wewe ni wale mnaoteseka na ushindi huu wa Mwambukusi ulioonesha kuwa CCM haikubaliki kabisa miongoni mwa roho za Watanzania

Lissu hakuwahi kugombea urais kwa kupenda Ila ni baadhi tu ya Mawakili walimchukulia fomu tena nyakati hizo akiwa bado yupo Ubelgiji na alitawala kwa miezi mitano pekee yake baadae akaomba kumuachia mtu mwingine kwa sababu hakuwa vizuri kiafya

Fatma Karume alikuwa Rais wa TLS lakini bahati mbaya yule ni mwanamke tena ile power ya kufight Kama Mwambukusi bado ilikuwa chini sana

Subiri Mwambukusi aanze kuwanyoosha na mwaka huu tunaanzisha Maandamano ya kufa mtu kwenye hii nchi mpaka maji mtaita mma

Na kibaya zaid mama yenu hajui kujieleza na Watanzania wanamuona tu Kama Dalali wa rasilimali za watanganyika………sijui ataanza kushinda kwa njia zipi mwaka!???? Yaani ninawaza sana sipati jibu
 
Back
Top Bottom