Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

MBONA MAGARI YANAANGUKA KILA SIKU NA HUACHI KUYAPANDA,TULIZA MSHONO MKUU NJOO PM
Nakutaadharisha mkuu, huko PM yatakayo kukuta usije ukarudi hapa kwa msangao na kuwasema wana jeiefu....[emoji23][emoji23]
 
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume

Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
Hii jamaa nilisha istukia kitambo sana, nakumbuka hata ilipelekea nikaingia nae kwenye msuguano mkali ambao ulisababisha nipigwe ban.
 
Hii jamaa nilisha istukia kitambo sana, nakumbuka hata ilipelekea nikaingia nae kwenye msuguano mkali ambao ulisababisha nipigwe ban.
Halafu ni Me, sema nahisi ni mtatuliwa maarufu
 
Bwana wamajeshi leo ainuliweee
Bwana wamabwana ainuliweee

Anayetujali leo ainuliweee
Bwana wamabwana ainuliweee

Binti kwanza hapo ulipo Sema
AHSANTE MUNGU


Nimekuwa huku milimani nikiomba nipate MKE hakika NIMEKUPATA
Naomba tuanzishe tuyajenge
 
Nakuunga mkono, usiolewe na wala usizae kwani ajira zenyewe hazitoshi kwa kila mtu, watu wanazaliana sana, Big up!
Mbona unapingana na kauli ya serikali ya awamu ya tano? Tufyatue tu
 
Unafiga gani na 7,9 au 8 tuanzie hapo au kijelele miaka 29 hujaolewa
 
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume

Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF

Atakuwa dume huyu, kutaka kutuchafua wanawake
 
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume

Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
Mods wakimpiga ban huyu wanipige pia ya wiki, nawaruhusu. Huyu tangu huko anajiandikia na kuchanganya madesa. I wonder mods hawamuoni au wanapenda anavyojichanganyia jinsia! Au nao wanafurahia uandishi wa ajabu ajabu hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…