Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Nilitaka kusema hili ila umeniwahi.Mwanamke kama huyu ukikuta tango kwenye frij yake usile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kusema hili ila umeniwahi.Mwanamke kama huyu ukikuta tango kwenye frij yake usile
Nakutaadharisha mkuu, huko PM yatakayo kukuta usije ukarudi hapa kwa msangao na kuwasema wana jeiefu....[emoji23][emoji23]MBONA MAGARI YANAANGUKA KILA SIKU NA HUACHI KUYAPANDA,TULIZA MSHONO MKUU NJOO PM
Na mbona watu wanakufa kila siku sasa kwa nini yeye amezaliwa?MBONA MAGARI YANAANGUKA KILA SIKU NA HUACHI KUYAPANDA,TULIZA MSHONO MKUU NJOO PM
Chunga mwandiko wako kijana, usije sema hatuku kukanya...[emoji41][emoji41]Naruhusiwa kukupenda..??
Hii jamaa nilisha istukia kitambo sana, nakumbuka hata ilipelekea nikaingia nae kwenye msuguano mkali ambao ulisababisha nipigwe ban.Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
Kuna nini nyuma ya pazia mkuu..?Chunga mwandiko wako kijana, usije sema hatuku kukanya...[emoji41][emoji41]
yan kama nakuona vile 😅😅😅 na tumbo lakoBado halijapunguaa[emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu ni Me, sema nahisi ni mtatuliwa maarufuHii jamaa nilisha istukia kitambo sana, nakumbuka hata ilipelekea nikaingia nae kwenye msuguano mkali ambao ulisababisha nipigwe ban.
Kasome 1 Wakorintho 6:9, na hakikisha umeelewa ile aya ya pilikutoka mwisho utalipata jibuKuna nini nyuma ya pazia mkuu..?
Jamaa anawatega vijana, hasa ambao hawajawahi kumshtukia.Halafu ni Me, sema nahisi ni mtatuliwa maarufu
Ninayo Bible ya kiingereza mkuu ndo mistari hiyohiyo au..?Kasome 1 Wakorintho 6:9, na hakikisha umeelewa ile aya ya pilikutoka mwisho utalipata jibu
Mbona unapingana na kauli ya serikali ya awamu ya tano? Tufyatue tuNakuunga mkono, usiolewe na wala usizae kwani ajira zenyewe hazitoshi kwa kila mtu, watu wanazaliana sana, Big up!
Unafiga gani na 7,9 au 8 tuanzie hapo au kijelele miaka 29 hujaolewaMm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
Duuuh SIWEZI Seema...
Duuuh... Mkuu kufanya masturbation haiitaji hivyo vitu..kwa mtazamo wangu
Sidhani baana...Sijawai waza kujiingizia Tango kwa maeneo hayo.
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].yan kama nakuona vile [emoji28][emoji28][emoji28] na tumbo lako
Mods wakimpiga ban huyu wanipige pia ya wiki, nawaruhusu. Huyu tangu huko anajiandikia na kuchanganya madesa. I wonder mods hawamuoni au wanapenda anavyojichanganyia jinsia! Au nao wanafurahia uandishi wa ajabu ajabu hivi.Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF