safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
- Thread starter
- #21
Andiko langu linahusu uisilamu na sio nchi fulani.Hiyi ni sheria ya nchi husika ,tena wamesema kula hadharani .
Kuvaa nguo hata chupi ni ruksa ukiwa kwako ila sio hadharani kama barabarani ,kufanya mapenzi ni ruksa sio kosa ila kufanya kweny hadhara na kujirekodi kurusha mtandao ndio kosa
Ujumbe wangu ni kuwa sijaona katazo la uisilamu wenyewe likisema kwamba ni dhambi kula mbele ya mtu aliyefunga.
Elewa ninaposema uisilamu,sijataja nchi.
Kama kuna Nchi inakataza ijue tu keamba inakataza kwa utashi wake na sio sheria ya Dini inasema hivyo